babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
Wana jamvi hii imekaaje naomba mawazo yenu hapa, nchi yetu inaongoza kwa vivutio kibao barani mwetu, mito,bahari,maziwa, na vitu vingine vingi. sasa kuna hili lingine la wananchi kuwa na mwamko wa mabadiko chanya kuwazidi watawala wao je hii nayo ni sifa ingine kwa taifa letu na nini madhara yake?