libent
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 382
- 84
hivi ulishawakujiuliza hawa wanasiasa wetu tunaowashabikia wana malengo mazuri ya kuleta maendeleo maana kila kukicha ni malumbano ndani ya vyama vyao hawa wanavuana magamba (ccm), hawa wanafukuzana kwenye chama(nccr-mageuzi), hawa wanaleteana mabaunsa yaani green guard (cuf)