Tanzania na Misri, nani mwenye demokrasia?

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,976
Neno demokrasia ni neno ambalo kila kukicha linakosa maana yake halisi!

Neno Demokrasia kwa sasa limekuwa kama lungu linalotumiwa na Mabeberu wa nchi za Magharibi katika kutimiza malengo yao na sio kutimiza malengo ya nchi wahusika.

Kwa sasa tunaambiwa Tanzania imeshindwa kutimiza matakwa ya kidemokrasia katika Uchaguzi Mkuu 2015 mpaka Marekani ameamua kukata misaada yake kwa Tanzania.

Mimi sina tatizo na uamuzi wa Marekani kwa sababu pesa ni yao na wanaweza kuamua kuitumia wapendavyo, tatizo langu ni sababu wanayotoa katika kusitisha misaada kwa Tanzania. Marekani wanataka kutuaminisha kuwa maamuzi yao yamefanyika based only kwenye misingi ya demokrasia ambayo wanadai lazima iwe inclusive and representative.

Swali la kujiuliza, hivi Tanzania na Misri, nani mwenye demokrasia ambayo ni inclusive and representative?

Kuanzia mwaka 1948 mpaka 2015, Marekani imetoa msaada unaokadiriwa kuwa $76 billion kwa serikali ya Misri. Kipindi chote cha utawala wa Muhammad Hosni El Sayed Mubarak kuanzia mwaka 1981 mpaka 2011, Marekani alikuwa anaongoza kwa kutoa misaada kwenye utawala wake pamoja na uwepo wa ukandamizaji wa kile Marekani anakiita demokrasia.

Mwaka 2013, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Misri, Jenerali Abdel Fattah Al-Sisi ambaye kwa sasa ni Rais alipindua serikali ya Mohamed Morsi ambayo ilichaguliwa na wananchi wa Misri katika Uchaguzi ambao ulikuwa huru na haki. Pamoja na Mapinduzi yaliyofanyika Misri, hatukuwahi kusikia Marekani akiinyima misaada kwa sababu ya kusigina demokrasia.

Hata Uchaguzi uliofanyika baada ya Jenerali Fattah Al-Sisi kufanya mapinduzi ya kijeshi ambapo katika uchaguzi huo alipata ushindi wa asilimia zaidi ya 96 wakati inafahamika uchaguzi huo haukuwa huru na haki lakini serikali ya Marekani iliutambua na kumkaribisha Rais Field Marshall Abdel Fattah Al-Sisi kukutana na Rais Obama kwenye Ikulu ya Marekani.

Kwa sasa Misri ni police state kitu ambacho ni kinyume na maana ya neno demokrasia katika definition ya Marekani.

Katika mwaka wa fedha wa 2017, Rais Obama ameomba kwenye Congress kiasi cha $1.3 billion kama msaada kwa Misri katika nyanja za kijeshi na pia ameomba kiasi cha $150 million kama msaada wa kiuchumi.

Kwa kutumia vigezo vya Marekani, nani mwenye demokrasia kati ya Tanzania na Misri au kuna masuala mengine yamejificha nyuma ya pazia la geopolitical game.
 
Umeandika maneno meeeeengi!!! kuna haja gani ya kujilinganisha na Misri? wao ni misri na sisi ni tanzania! tusitafute justifications za kijinga, yaliyotokea ni ujinga wa ccm mjilaumu wenyewe!!!
 
" ukiona baba kakasirika asubuhi ujue jana kalala njaa"
U s a naona kashajua hana upenyo tena kwa taifa hili so lazima figisu figisu aweke
Kuna swali nimekuuliza naona unalikwepa na kuendelea kuandika ujinga humu, SABABU WALIZOZITOA MCC NI KWA MANUFAA YAO AU YETU?
 
Mkuu hii misaada imekuwa ni kiini macho, na kinachosingiziwa ni demokrasia. Huo mzani wao wa demokrasia unabadilika kama kinyonga kwa kuangalia maslahi yao. Misaada hii imekuwa kama kinga ya kupenyeza kile wanachokihitaji, hivi kweli demokrasia ya Tanzania unaweza kuilinganisha na Misri?
Hawa watu wa Misri wako gerezani, na kila kukicha kuna hukumu za ajabu hadi unashangaa, hebu kumbuka wale waandishi wa Aljazera wanavyoendelea kusota gerezani. Watu wamepiga kelele, wameandamana ili jamaa watolewe lakini watawala wamekaza uzi na wanaendelea kupokea misaada kutoka marekani kama kawaida. Jaribu wewe uone!
Ifike mahala tuwe makini nao, watakuja na ajenda za ushoga kwa kigezo cha kukandamiza haki za binaadamu sijui watu mnaowashabikia mtajificha wapi!
 
Neno demokrasia ni neno ambalo kila kukicha linakosa maana yake halisi!

Neno Demokrasia kwa sasa limekuwa kama lungu linalotumiwa na Mabeberu wa nchi za Magharibi katika kutimiza malengo yao na sio kutimiza malengo ya nchi wahusika.

Kwa sasa tunaambiwa Tanzania imeshindwa kutimiza matakwa ya kidemokrasia katika Uchaguzi Mkuu 2015 mpaka Marekani ameamua kukata misaada yake kwa Tanzania.

Mimi sina tatizo na uamuzi wa Marekani kwa sababu pesa ni yao na wanaweza kuamua kuitumia wapendavyo, tatizo langu ni sababu wanayotoa katika kusitisha misaada kwa Tanzania. Marekani wanataka kutuaminisha kuwa maamuzi yao yamefanyika based only kwenye misingi ya demokrasia ambayo wanadai lazima iwe inclusive and representative.

Swali la kujiuliza, hivi Tanzania na Misri, nani mwenye demokrasia ambayo ni inclusive and representative?

Kuanzia mwaka 1948 mpaka 2015, Marekani imetoa msaada unaokadiriwa kuwa $76 billion kwa serikali ya Misri. Kipindi chote cha utawala wa Muhammad Hosni El Sayed Mubarak kuanzia mwaka 1981 mpaka 2011, Marekani alikuwa anaongoza kwa kutoa misaada kwenye utawala wake pamoja na uwepo wa ukandamizaji wa kile Marekani anakiita demokrasia.

Mwaka 2013, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Misri, Jenerali Abdel Fattah Al-Sisi ambaye kwa sasa ni Rais alipindua serikali ya Mohamed Morsi ambayo ilichaguliwa na wananchi wa Misri katika Uchaguzi ambao ulikuwa huru na haki. Pamoja na Mapinduzi yaliyofanyika Misri, hatukuwahi kusikia Marekani akiinyima misaada kwa sababu ya kusigina demokrasia.

Hata Uchaguzi uliofanyika baada ya Jenerali Fattah Al-Sisi kufanya mapinduzi ya kijeshi ambapo katika uchaguzi huo alipata ushindi wa asilimia zaidi ya 96 wakati inafahamika uchaguzi huo haukuwa huru na haki lakini serikali ya Marekani iliutambua na kumkaribisha Rais Field Marshall Abdel Fattah Al-Sisi kukutana na Rais Obama kwenye Ikulu ya Marekani.

Kwa sasa Misri ni police state kitu ambacho ni kinyume na maana ya neno demokrasia katika definition ya Marekani.

Katika mwaka wa fedha wa 2017, Rais Obama ameomba kwenye Congress kiasi cha $1.3 billion kama msaada kwa Misri katika nyanja za kijeshi na pia ameomba kiasi cha $150 million kama msaada wa kiuchumi.

Kwa kutumia vigezo vya Marekani, nani mwenye demokrasia kati ya Tanzania na Misri au kuna masuala mengine yamejificha nyuma ya pazia la geopolitical game.
Msemakweli hoja yako ni ipi haswa hapo Mkuu!
Misri na Tanzania kwanini zifananishwe
cha msingi ni kuangalia hoja za mcc na kupima kama zina ukweli
Kisha kuangalia uhitaji wetu wa huo msaada
na iwapo tukiona tuna uhitaji ni sehemu gani ya kurekebisha
hata kama hatuuhitaji tuangalie pia ni wapi palipoleta doubt juu ya nchi yetu.
 
Tatizo sio demokrasia nadhani hamuwajui wa-Marekani, siku zote wanaangalia wapi kuna maslahi.
Hata Tz inatakiwa tuangalie wapi kuna maslahi kama hatuna maslahi na huo msaada bas tuwapotezee lakini binafsi naona tunauhitaji,kuna muelekeo mzuri katika kujitegemea lakini bado hiyo njia ni ndefu
 
Hata Tz inatakiwa tuangalie wapi kuna maslahi kama hatuna maslahi na huo msaada bas tuwapotezee lakini binafsi naona tunauhitaji,kuna muelekeo mzuri katika kujitegemea lakini bado hiyo njia ni ndefu

Hakuna anayekataa, wala kuupotezea huo msaada, tunauhitaji sana, lakini si kwa hii danganya toto wanayotumia wa-Marekani eti "Demokrasia".
 
Misri kuwa chini ya brotherhood ni hatari kwa taifa la israel. Tanzania kuwa chini ya ccm ni hatari kwa demokrasia africa.
Kwa hiyo demokrasia ni taifa la Israel lisiwe kwenye hatari!

Nadhani umesoma heading ya mada na kutoa comment!

Kama umesoma mada yote utakuwa hujaelewa msingi wa mada yangu!

Kama umeelewa msingi wa mada yangu utakuwa ulichokiandika ni upumbavu!

Sorry!
 
Mimi nashangaa kwa nini maccm yanahaha na hili suala wakati yamesema yako tayari kufa njaa kuiachia zanzibar,sasa kulia lia kwa nini?
 
Neno demokrasia ni neno ambalo kila kukicha linakosa maana yake halisi!

Neno Demokrasia kwa sasa limekuwa kama lungu linalotumiwa na Mabeberu wa nchi za Magharibi katika kutimiza malengo yao na sio kutimiza malengo ya nchi wahusika.

Kwa sasa tunaambiwa Tanzania imeshindwa kutimiza matakwa ya kidemokrasia katika Uchaguzi Mkuu 2015 mpaka Marekani ameamua kukata misaada yake kwa Tanzania.

Mimi sina tatizo na uamuzi wa Marekani kwa sababu pesa ni yao na wanaweza kuamua kuitumia wapendavyo, tatizo langu ni sababu wanayotoa katika kusitisha misaada kwa Tanzania. Marekani wanataka kutuaminisha kuwa maamuzi yao yamefanyika based only kwenye misingi ya demokrasia ambayo wanadai lazima iwe inclusive and representative.

Swali la kujiuliza, hivi Tanzania na Misri, nani mwenye demokrasia ambayo ni inclusive and representative?

Kuanzia mwaka 1948 mpaka 2015, Marekani imetoa msaada unaokadiriwa kuwa $76 billion kwa serikali ya Misri. Kipindi chote cha utawala wa Muhammad Hosni El Sayed Mubarak kuanzia mwaka 1981 mpaka 2011, Marekani alikuwa anaongoza kwa kutoa misaada kwenye utawala wake pamoja na uwepo wa ukandamizaji wa kile Marekani anakiita demokrasia.

Mwaka 2013, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Misri, Jenerali Abdel Fattah Al-Sisi ambaye kwa sasa ni Rais alipindua serikali ya Mohamed Morsi ambayo ilichaguliwa na wananchi wa Misri katika Uchaguzi ambao ulikuwa huru na haki. Pamoja na Mapinduzi yaliyofanyika Misri, hatukuwahi kusikia Marekani akiinyima misaada kwa sababu ya kusigina demokrasia.

Hata Uchaguzi uliofanyika baada ya Jenerali Fattah Al-Sisi kufanya mapinduzi ya kijeshi ambapo katika uchaguzi huo alipata ushindi wa asilimia zaidi ya 96 wakati inafahamika uchaguzi huo haukuwa huru na haki lakini serikali ya Marekani iliutambua na kumkaribisha Rais Field Marshall Abdel Fattah Al-Sisi kukutana na Rais Obama kwenye Ikulu ya Marekani.

Kwa sasa Misri ni police state kitu ambacho ni kinyume na maana ya neno demokrasia katika definition ya Marekani.

Katika mwaka wa fedha wa 2017, Rais Obama ameomba kwenye Congress kiasi cha $1.3 billion kama msaada kwa Misri katika nyanja za kijeshi na pia ameomba kiasi cha $150 million kama msaada wa kiuchumi.

Kwa kutumia vigezo vya Marekani, nani mwenye demokrasia kati ya Tanzania na Misri au kuna masuala mengine yamejificha nyuma ya pazia la geopolitical game.


Ujinga na unafiki ndio unaokusumbua. Kwa akili zako za kuunga unga ulifikiri MCC= CCM sio?
 
Ujinga na unafiki ndio unaokusumbua. Kwa akili zako za kuunga unga ulifikiri MCC= CCM sio?
Wewe unasumbuliwa na upumbavu na mtindio wa ubongo!

Kwa akili zako unadhani MCC ni jina lako?

Unafaa kupuuzwa kana ulivyo upuuzi wako.
 
Back
Top Bottom