Captain22
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 630
- 285
Salamu wakuu!
Kwa uchunguzi wangu wa haraka, Tanzania huenda ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na mifuko mingi ya hifadhi ya jamii. Ifuatayo ndiyo mifuko ya hifadhi ya jamii hapa JMT: NSSF, PPF, LAPF, PSPF, GEPF. Kutokana na mlolongo huu wa mifuko ya hifadhi ya jamii, kumetokea tofauti kubwa katika ukokotoaji wa mafao ya mwanachana na aina ya mafao yatolewayo hali iliyopelekea kunyanganyana wanachama kati ya mifuko hiyo. Kuanzishwa kwa Social Security Regulatory Authority (SSRA) kulilenga kuleta harmony katika sekta hii jambo ambalo limeshindikana.
Swali je kwa nini tusiwe na mfuko mmoja tuu badala ya kuwa na mlolongo huu wote hadi kulazimika kuwa na regulatory authority?
Kwa uchunguzi wangu wa haraka, Tanzania huenda ndiyo nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na mifuko mingi ya hifadhi ya jamii. Ifuatayo ndiyo mifuko ya hifadhi ya jamii hapa JMT: NSSF, PPF, LAPF, PSPF, GEPF. Kutokana na mlolongo huu wa mifuko ya hifadhi ya jamii, kumetokea tofauti kubwa katika ukokotoaji wa mafao ya mwanachana na aina ya mafao yatolewayo hali iliyopelekea kunyanganyana wanachama kati ya mifuko hiyo. Kuanzishwa kwa Social Security Regulatory Authority (SSRA) kulilenga kuleta harmony katika sekta hii jambo ambalo limeshindikana.
Swali je kwa nini tusiwe na mfuko mmoja tuu badala ya kuwa na mlolongo huu wote hadi kulazimika kuwa na regulatory authority?