Tanzania na Kenya zinajitenga na Afrika? Ufa waibuka Bonde la Ufa na kuongeza uwezekano Afrika kugawanyika

Japo itachukua muda mrefu pengine hata vizazi na vizazi lakini hii ilitegemewa kwa sababu bonde la ufa ni changa na bado linaendelea kukua. Ufa huu unahusisha nchi kama nne ambazo ni somali, sehemu ya Ethiopia, Kenya na Tanzania.

Ikikamilika sehemu ya bonde la ufa litageuzwea kuwa bahari na hivyo hizi nchi nilizozitaja zitakuwa kama kisiwa kama ilivyo Madagascar

Kuna uwezekano aidha ikaichukua Tanzania yote au ikaigawa Tanzania katikati. Lake zone na Western zone zikabakia magharibi na Northern, eastern na southern zones zikahamishiwa kwenye makazi mapya

great-rift-valley-africa-map.jpg
 
Japo itachukua muda mrefu pengine hata vizazi na vizazi lakini hii ilitegemewa kwa sababu bonde la ufa ni changa na bado linaendelea kukua. Ufa huu unahusisha nchi kama nne ambazo ni somali, sehemu ya Ethiopia, Kenya na Tanzania. Ikikamilika sehemu ya bonde la ufa litageuzwea kuwa bahari na hivyo hizi nchi nilizozitaja zitakuwa kama kisiwa kama ilivyo Madagascar
Kuna uwezekano aidha ikaichukua Tanzania yote au ikaigawa Tanzania katikati. Lake zone na Western zone zikabakia magharibi na Northern, eastern na southern zones zikahamishiwa kwenye makazi mapya
View attachment 722882
Video ya Suswa hii hapa
 
Hapana

...................................
Factors zilizosababisha kugawanyika kwa haya mabara ni nyingi tuu ukiacha hili suala la bonde la ufa, other factors ni kama Volcanic Eruptions, Earthquake n.k

Kingine ni kwamba kuna kitu kinaitwa plates, hizi plate ni sehemu ambazo ziko active mda wote yaan ndivyo vipande vilivyomeguka na vingine vitaendelea kumeguka

Mfano hapa tulipo ni Somali plate, plate ambayo inataka kumeguka kutoka Nebula Plate ambayo ndani yake kuna Africa

Active plates nyingine ndo zile ambazo kila leo utasikia Earthquake imetokea mfano zile za bahari ya Pacific na Uchina... Maeneo ya Japan, Ufilipino, Taiwan,

Sehemu nyingine ni zile ambazo Tsunamis zinatokea

Kwahiyo hizi plate ndizo zilifanya kutokea kwa mabara kumeguka
Ndugu umeelezea vizuri mwishoni lakini ulisema kuwa earthquakes na volcanicity ndio factors mojawapo

Mimi naona earthquakes na volcanicity ni matokeo ya plates activities na kwa hiyo sio busara kuziweka kama factors kwa sababu hizi zina affect eneo dogo sana. Hizi ni effects ndogo sana ukilinganisha na zile forces zinazoikabili dunia kila siiku kupitia kwenye visahani vikubwa na vidogo (Major and minor plates).

Conventional current kupitia kwenye tabia ya hivyo visahani ndio major causes of drifting. Continental Drift ndipo inapoingia hapo ambayo ni large mass ya miamba kuhama na hivyo kutokea mabara tofauti. Tangu enzi za pangea land (bara moja duniani) na hata sasa tuna mabara zaidi ya 7.
Kumbuka pia kuwa earth crust iko inaelea kwenye uji mzito na mkubwa unaoitwa Mantle na hivyo hizi current zinapovuma husababisha vitu vingi vikiwepo matetemeko, volcanicity na drifting

Hii ya bonde la ufa kugawa Africa ni ndani ya hiyo hioyo concept ya conventional current. Miamba ikiachana inatengeneza bahari. na ikikutana na kugombana inatengeneza milima (mfano ni milima ya Himalaya kule Tibet )
Soma zaidi concept ya Plates hapa: continental drift
Demostration video
 
Kuibuka kwa ufa mkubwa katika eneo la Suswa katika Bonde la Ufa kusini magharibi mwa Kenya kumezua wasiwasi kuhusu uthabiti wa eneo la Afrika Mashariki kijiolojia.

Wataalamu wanasema kutokea kwa ufa huo katika jimbo la Nakuru ni shughuli ya kijiolojia inayochukua muda mrefu ambayo imekuwa ikiendelea kwa muda.

Hilo limezua hatari ya kuanza kutokea tena kwa mitetemeko ya ardhi na milipuko ya volkano.

Wanajiolojia wanasema baada ya mamilioni ya miaka, bara la Afrika litapasuka na kuwa vipande viwili.

Angalia hiyo Video kuona hali ilivyo kwa sasa. Chanzo BBC

 
images-32.jpg

Crevasse ilitokea huko Ethiopia(kabla ya hii ya Kenya) baada ya tetemeko na mlipuko
 
Hehe kwani Madagascar imeungana? Au yenyewe ni bara tofauti? Hizi headlines nyingine
 
Back
Top Bottom