Tanzania mpya ninayoiona

Tanzania mpya ninayoiona

tity

Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
44
Reaction score
15
1. Naona wawekezaji wengi wakifunga makampuni yao na kukimbia nchi.

2. Naona mzunguko wa pesa ukipungua kwa kasi kikubwa.

3. Naiona tanzania yenye watumishi wengi wa uma wakiwa na maisha duni.

4. Naona biashara nyingi zikidoda (manunuzi kupungua)

5. Naona watanzania wengi wakikimbilia vijijini baada ya kushindwa kuishi mjini.

6. Naona ajira kwenye mashirika binafsi zikiwa adimu sana kuliko za serikalini.

7. Naona shilingi ikiimarika lakini maisha kuwa duni sana.

8. Naona ongezeko la wizi, makahaba, watoto wa mtaani na mateja.

"HIKI NDICHO NINACHOKIONA MIMI SIO LAZIMA UKUBALIANE NA MIMI"
 
True wafanyakazi wengi watapigwa lidandasi makampuni binafsi
 
Mlizoea kupokea hongo, kutoa hongo, kutokufanya kazi huku mkiiba fedha za Umma.
 
Mlizoea kupokea hongo, kutoa hongo, kutokufanya kazi huku mkiiba fedha za Umma.

Unajaribu kumtisha nani, JPM? Unapoteza pumzi. Kama wewe ni mtumishi wa umma au ulikuwa unanufaika kwa ufisaddi BADILIKA AU HAMA NCHI.
 
Nina wasiwasi na wewe ni miongoni mwao(Yuda Escarioti yule mwivi aliyemsalit Yesu kwa vipande 30 vya pesa kisha akajinyonga). Nyambafu jiandae kujinyonga na wewe kama Yuda, utaisoma namba, hapa kazi tuu. Watoto wa mitaani watatoka wapi wakati Magufuli anajenga jamii imara shule bure kwa kila mtoto, anaboresha maisha ya walala hoi ili waweze kumudu kulea watoto wao na vizuri na kupunguza ongezeko la watoto wa mitaani. ajira binafisi za magabachori unyanyasaji tuu hakuna mishahara acha ujinga wewe. Makahaba watatoka wapi wakati wateja wao ni hao wezi na hela yao ya wizi imebanwa. Mateja hawatakuwepo kwanza madawa ya kulevya yatatoka wapi wakati dawa ya mazungu iko jikoni bado kidogo tuu watainywa chezea Buludoza wewe. Tanzania ijayo naona wafanya biashara halali wakishamiri, wezi na wakwepa kodi wakiangami na kuwaachia uwanja wale wanaofanya biashara kihalali. ajira binafsi zitazidi kuongezeka na mishahara ya ajira binafisi itaboresheka. naiona Tanzania ijayo wafanya kazi wa ajira za umma wakiwa na heshima kwani mishahara yao itaboreshwa vizuri kwa vile sericali itakuwa na pesa ya kutosha. hatuhitaji wafanya abiashara wezi na magabachori, nchi yetu imevunwa vya kutosha imefika kipindi tunasema sasa basi inatosha. Hongera Mh Raisi Dr Magufuli tunakutegemeza kwa maombi. Nilikuwa sio CCM lakini kwa mtindo huu nimeamua kukiokokea chama cha mapinduzi nahitaji card na nguo za kijani kinjano. sasa ni wakati wa ukombozi.

President Dr Magufuli is trying to restore Tanzanian's value and indeed we should support him. Our values are anchored in Hardworking, Self-Reliance, belief in freedom, tolerance of others, accepting personal and social responsibility, respecting and upholding the rule of law. These are the things we should try to live by every day. Our freedom doesn't come from a thin air but It is rooted in our History National Unity and hardworking. Viva Magufuli Viva we are always behind you.


1.naona wawekezaji wengi wakifunga makampuni yao na kukimbia nchi

2.naona mzunguko wa pesa ukipungua kwa kasi kikubwa

3.naiona tanzania yenye watumishi wengi wa uma wakiwa na maisha duni

4.naona biashara nyingi zikidoda(manunuzi kupungua)

5.naona watanzania wengi wakikimbilia vijijini baada ya kushindwa kuishi mjini

6.naona ajira kwenye mashirika binafsi zikiwa adimu sana kuliko za serikalini

7.naona shilingi ikiimarika lakini maisha kuwa duni sana

8.naona ongezeko la wizi,makahaba,watoto wa mtaani na mateja

"HIKI NDICHO NINACHOKIONA MIMI...SIO LAZIMA UKUBALIANE NA MIMI"
 
Back
Top Bottom