Tanzania kusitisha Mkataba wa Uwekezaji baina yake na Uholanzi

Habari wadau!
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ilifikia kufanya Uamuzi mgumu wa kusitisha Mkataba wa Uwekezaji ulioingia na Nchi ya Netherland kuanzia tarehe 1 Aprili 2019.

Mkataba huo unajulikana kama Reciprocal Protection of Investimate Treaty.

My Take:
Kwa mimi ambaye nilibahatika kuupitia Mkataba huo, Hatuna budi Kumshukuru Rais MAGUFULI kwa nia yake ya Dhati kutetea Maslahi ya ya Wananchi wake na Taifa kwa ujumla kwani mojawapo ya Mapungufu ya Mkataba huo ilikua ni Mazingira ya Kutunyonya Sisi Watanzania.

Swala Unyonyaji linakuja tu pale ambapo Tanzania bado hatuna wawekezaji wa kutosha ambao wanaoweza kushindana na wawekezaji wa Netherland kwa Masharti ambayo ni nafuu na Rafiki kwa Nchi hizi Mbili.

HONGERA SERIKALI YA RAIS MAGUFULI KWA KUTETEA MASLAHI YA WATANZANIA NA TAIFA KWA UJUMLA.

View attachment 1051715


"The Government of the United Republic of Tanzania notified the Government of the Kingdom of the Netherlands in September 2018 of its intention to end the existing reciprocal protection of investment treaty between Tanzania and the Netherlands. Despite efforts to seek a temporary extension of the existing treaty and/or a speedy start of negotiations for a new investment protection treaty no progress has been made so far.


The implication of this development is that as per 1 April 2019 new Netherlands’ investors in Tanzania (and new Tanzanian investors in the Netherlands) can no longer rely on the preferential protection that the treaty provided. This means for new investors that they will have to rely onnational legislation and regulations for protection of their investment. It also means that they will have to seek legal redress, if and when needed, through national courts. Access to international arbitration will no longer be possible, unless a new agreement is reached that will cover that option.


However, existing investors should take note of the fact that the treaty’s comprehensive protection for investments made before the date of termination (1 April 2019) continues to apply for a period of fifteen years (until 1 April 2034). In view of the time needed for negotiations and ratification of an eventual new treaty the Embassy expects that it can take up to 3 to 5 years before an eventual new investment protection treaty becomes effective. Potential investors are advised to take this recent development into consideration when preparing decisions on investment in Tanzania."

SOURCE: UBALOZI WA NETHERLAND TANZANIA
Kwani wakati wanaingia huo mkataba hivyo vipengele hawakuviona?au ndo maigizo kutaka kujiona watu wanafanya kazi ya maaana Kwa taifa kumbe ni maigizo tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau!
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ilifikia kufanya Uamuzi mgumu wa kusitisha Mkataba wa Uwekezaji ulioingia na Nchi ya Netherland kuanzia tarehe 1 Aprili 2019.

Mkataba huo unajulikana kama Reciprocal Protection of Investimate Treaty.

My Take:
Kwa mimi ambaye nilibahatika kuupitia Mkataba huo, Hatuna budi Kumshukuru Rais MAGUFULI kwa nia yake ya Dhati kutetea Maslahi ya ya Wananchi wake na Taifa kwa ujumla kwani mojawapo ya Mapungufu ya Mkataba huo ilikua ni Mazingira ya Kutunyonya Sisi Watanzania.

Swala Unyonyaji linakuja tu pale ambapo Tanzania bado hatuna wawekezaji wa kutosha ambao wanaoweza kushindana na wawekezaji wa Netherland kwa Masharti ambayo ni nafuu na Rafiki kwa Nchi hizi Mbili.

HONGERA SERIKALI YA RAIS MAGUFULI KWA KUTETEA MASLAHI YA WATANZANIA NA TAIFA KWA UJUMLA.

View attachment 1051715


"The Government of the United Republic of Tanzania notified the Government of the Kingdom of the Netherlands in September 2018 of its intention to end the existing reciprocal protection of investment treaty between Tanzania and the Netherlands. Despite efforts to seek a temporary extension of the existing treaty and/or a speedy start of negotiations for a new investment protection treaty no progress has been made so far.


The implication of this development is that as per 1 April 2019 new Netherlands’ investors in Tanzania (and new Tanzanian investors in the Netherlands) can no longer rely on the preferential protection that the treaty provided. This means for new investors that they will have to rely onnational legislation and regulations for protection of their investment. It also means that they will have to seek legal redress, if and when needed, through national courts. Access to international arbitration will no longer be possible, unless a new agreement is reached that will cover that option.


However, existing investors should take note of the fact that the treaty’s comprehensive protection for investments made before the date of termination (1 April 2019) continues to apply for a period of fifteen years (until 1 April 2034). In view of the time needed for negotiations and ratification of an eventual new treaty the Embassy expects that it can take up to 3 to 5 years before an eventual new investment protection treaty becomes effective. Potential investors are advised to take this recent development into consideration when preparing decisions on investment in Tanzania."

SOURCE: UBALOZI WA NETHERLAND TANZANIA
TAREHE 1 APRIL 2019, KWELI?
 
Hili zee linafanya mambo madogo madogo mazuri mengi ili kuficha yale mabaya makubwa anayofanya na watanzania wengi vilaza hawaliona hilo wanadanganyika na mdomo wa mzee. Nimeamini illeterates ni illeterates tu, wape pipi hata ukiua mjomba wao watakupenda tu.
Vilaza wa ufipa kila kitu hayaelewi
 
Upotoshaji at its best hili kumpaka sifa Rais Magufuli.Huo mkataba ajaufuta bali serikali imekataa kuendelea nao kwani kuna kifungu kinachosema baada ya muda fulani nchi husika zitafanya mapitio kuona kama wataendeleza hayo makubaliano au la-kutokana na faida zake.So kusema ameufuta hapana.Kama angefuta kwa nguvu angekiona cha mtema kuni.

Lakini tunafuta huu wa uholanzi.Soon tunaenda kuukubali hule wa EPA.Tunaruka mkojo,then tunakanyaga nnya.Kisa mabeberu waligoma kutoa michuzi.Tumeufyata sasa.

Mwisho kila kitu kusema Magufuli amefanya hivi mala vile.Ni ujuha wa kiwango cha juu.Kujipendekeza kuliko pitiliza.Kwa nini usiseme serikali imefanya.Kuna ubaya gani?
 
Hivi hawakuusoma huo mkataba mwanzo kabla ya kuusaini? Hata leo wameamua kuusitisha.
Mfano unatiliana mkataba na landlord kwa mwaka lakini kila mwezi utalipa million 1, kufika miezi 4 wewe unataka kusitisha mkataba?. Hapa lazima atakupeleka mahakamani na kudai malipo ya miezi 8 ilio bakia. Ndio ninavyoona juu ya huu mkataba aliosaini Magu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Hilo jina la mkataba lenyewe lilitakiwa liwatoe nduki achilia mbali kuusoma!
 
Habari wadau!
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ilifikia kufanya Uamuzi mgumu wa kusitisha Mkataba wa Uwekezaji ulioingia na Nchi ya Netherland kuanzia tarehe 1 Aprili 2019.

Mkataba huo unajulikana kama Reciprocal Protection of Investimate Treaty.

My Take:
Kwa mimi ambaye nilibahatika kuupitia Mkataba huo, Hatuna budi Kumshukuru Rais MAGUFULI kwa nia yake ya Dhati kutetea Maslahi ya ya Wananchi wake na Taifa kwa ujumla kwani mojawapo ya Mapungufu ya Mkataba huo ilikua ni Mazingira ya Kutunyonya Sisi Watanzania.

Swala Unyonyaji linakuja tu pale ambapo Tanzania bado hatuna wawekezaji wa kutosha ambao wanaoweza kushindana na wawekezaji wa Netherland kwa Masharti ambayo ni nafuu na Rafiki kwa Nchi hizi Mbili.

HONGERA SERIKALI YA RAIS MAGUFULI KWA KUTETEA MASLAHI YA WATANZANIA NA TAIFA KWA UJUMLA.

View attachment 1051715


"The Government of the United Republic of Tanzania notified the Government of the Kingdom of the Netherlands in September 2018 of its intention to end the existing reciprocal protection of investment treaty between Tanzania and the Netherlands. Despite efforts to seek a temporary extension of the existing treaty and/or a speedy start of negotiations for a new investment protection treaty no progress has been made so far.


The implication of this development is that as per 1 April 2019 new Netherlands’ investors in Tanzania (and new Tanzanian investors in the Netherlands) can no longer rely on the preferential protection that the treaty provided. This means for new investors that they will have to rely onnational legislation and regulations for protection of their investment. It also means that they will have to seek legal redress, if and when needed, through national courts. Access to international arbitration will no longer be possible, unless a new agreement is reached that will cover that option.


However, existing investors should take note of the fact that the treaty’s comprehensive protection for investments made before the date of termination (1 April 2019) continues to apply for a period of fifteen years (until 1 April 2034). In view of the time needed for negotiations and ratification of an eventual new treaty the Embassy expects that it can take up to 3 to 5 years before an eventual new investment protection treaty becomes effective. Potential investors are advised to take this recent development into consideration when preparing decisions on investment in Tanzania."

SOURCE: UBALOZI WA NETHERLAND TANZANIA
NASHAURI TUMUONGEZEE MUDA RAIS MADARAKANI AFUTE NA ULE MKATABA WA GESI
 
Nimeusoma huo mkataba kuna kipengele sijakipenda, kipengele kinachotaka serikali ichukue hatua polepole kupunguza incentives kwa local industries zinazodeal na issues kama zile investors wanazofanya nchini. kwa nini serikali ipunguze incentives badala ya kuziongeza kwa local industries ikibidi?

Article 3
6) By way ot exception to the principle of the treatment of investments established in paragraph 2) of this Article, in case of the United Republic of Tanzania. limited incentives may be granted only to its nationals and industries in order to protect infant industries, provided they do not significantly affect the investments and activities of nationals and companies of the other Contracting Party in connection with an investment. Subject to the strengthening of the capacity of local industries. the United Republic of Tanzania shall eliminate progressively such special incentives
Ulikuwa mkataba wa hovyo sana! Lakini heading tu ni kichefuchefu.
 
Kiingereza kigumu? Imeandikwa waliosaini kabla ya kuvunjwa (April 2019) wataendelea na terms za mkataba huo hadi 2034. Kilichofanyika Tz hawata renew hivyo hamna tena hizo favor.
Sasa hapo umevunjwa vipi? Kama umekodi duka kutoka 2015 mpaka 2025 lakini kufika 2019 unasema navunja mkataba. Lakini nitakuwepo mpaka 2025, ambayo hio 2025 ndio mwisho wa mkata kwanini wasinge subiri mpaka ifike muda wa ku renew mkataba nao ndio wakasema hatutofanya hivyo? Jee rais atakae kuwepo 2034 tutajuaje kama ataendelea nao au laa? Huu ni uigizaji tu hakuna lolote
 
The problem with you guys is that you don't read but always spilling the beans - the beast-like behaviour. The said BIT with the Netherlands had elapsed since last October 2018, and what the Government has just done is rescinding to renew the treaty. Don't be chatterbox, read
However, existing investors should take note of the fact that the treaty’s comprehensive protection for investments made before the date of termination (1 April 2019) continues to apply for a period of fifteen years (until 1 April 2034). In view of the time needed for negotiations and ratification of an eventual new treaty the Embassy expects that it can take up to 3 to 5 years before an eventual new investment protection treaty becomes effective

Soma halafu mfate mwanasheria akufahamishe vizuri hapo
 
Kuna mwekezaji was kiholanzi anataka kiumizwa, Nyie ngojeni tu. Stay tuned
Shell wamegoma kukubali kurekebisha makubaliano ya uwekezaji gesi. Wanachelewesha uwekezaji LNG kwa makusudi! Wamekataa kuungana na Equinor kitu ambacho kingepunguza gharama ya uwekezaji na kuongeza mapato kwa Tanzania.
 
CCM Imeshirikiana kupita kiasi na mabeberu kuinyonya nchi.damage waliyoifanyia taifa hili haitaweza kufahamika.na majuzi wameongea na beberu kwenye simu kisha wanajisifu.tutapata tabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wadau!
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ilifikia kufanya Uamuzi mgumu wa kusitisha Mkataba wa Uwekezaji ulioingia na Nchi ya Netherland kuanzia tarehe 1 Aprili 2019.

Mkataba huo unajulikana kama Reciprocal Protection of Investimate Treaty.

My Take:
Kwa mimi ambaye nilibahatika kuupitia Mkataba huo, Hatuna budi Kumshukuru Rais MAGUFULI kwa nia yake ya Dhati kutetea Maslahi ya ya Wananchi wake na Taifa kwa ujumla kwani mojawapo ya Mapungufu ya Mkataba huo ilikua ni Mazingira ya Kutunyonya Sisi Watanzania.

Swala Unyonyaji linakuja tu pale ambapo Tanzania bado hatuna wawekezaji wa kutosha ambao wanaoweza kushindana na wawekezaji wa Netherland kwa Masharti ambayo ni nafuu na Rafiki kwa Nchi hizi Mbili.

HONGERA SERIKALI YA RAIS MAGUFULI KWA KUTETEA MASLAHI YA WATANZANIA NA TAIFA KWA UJUMLA.

View attachment 1051715


"The Government of the United Republic of Tanzania notified the Government of the Kingdom of the Netherlands in September 2018 of its intention to end the existing reciprocal protection of investment treaty between Tanzania and the Netherlands. Despite efforts to seek a temporary extension of the existing treaty and/or a speedy start of negotiations for a new investment protection treaty no progress has been made so far.


The implication of this development is that as per 1 April 2019 new Netherlands’ investors in Tanzania (and new Tanzanian investors in the Netherlands) can no longer rely on the preferential protection that the treaty provided. This means for new investors that they will have to rely onnational legislation and regulations for protection of their investment. It also means that they will have to seek legal redress, if and when needed, through national courts. Access to international arbitration will no longer be possible, unless a new agreement is reached that will cover that option.


However, existing investors should take note of the fact that the treaty’s comprehensive protection for investments made before the date of termination (1 April 2019) continues to apply for a period of fifteen years (until 1 April 2034). In view of the time needed for negotiations and ratification of an eventual new treaty the Embassy expects that it can take up to 3 to 5 years before an eventual new investment protection treaty becomes effective. Potential investors are advised to take this recent development into consideration when preparing decisions on investment in Tanzania."

SOURCE: UBALOZI WA NETHERLAND

Create a problem and then solve it
 
Tumeshaanza tumeshawafukuza kwenye korosho ,na tuna mafanikio makubwa viwanda viko busy kubangua .wakulima wanaendelea kuandamana kuunga mkono juhudi kwa furaha.
Wawekezaji wanini nchi tajiri hii, wangetangaza kufukuza wawekezaji wote tuanze upya. Miwekezaji mijizi yote KASORO WACHINA hawa ni rafiki wetu wa ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili zee linafanya mambo madogo madogo mazuri mengi ili kuficha yale mabaya makubwa anayofanya na watanzania wengi vilaza hawaliona hilo wanadanganyika na mdomo wa mzee. Nimeamini illeterates ni illeterates tu, wape pipi hata ukiua mjomba wao watakupenda tu.
ipo siku utamuelewa tu
 
Tumeshaanza tumeshawafukuza kwenye korosho ,na tuna mafanikio makubwa viwanda viko busy kubangua .wakulima wanaendelea kuandamana kuunga mkono juhudi kwa furaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe kwenye historia ulishasoma china ilishatuweka watumwa.wachina ndio kila kitu hao wengine wanafki tu,lazima mikataba yao tuiangalie kwa umakini.Tukiona inatuzingua tunaichinjilia mbali.UTAELEWA TUUUUUUUU
 
Habari wadau!
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Chini ya Rais JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI ilifikia kufanya Uamuzi mgumu wa kusitisha Mkataba wa Uwekezaji ulioingia na Nchi ya Netherland kuanzia tarehe 1 Aprili 2019.

Mkataba huo unajulikana kama Reciprocal Protection of Investimate Treaty.

My Take:
Kwa mimi ambaye nilibahatika kuupitia Mkataba huo, Hatuna budi Kumshukuru Rais MAGUFULI kwa nia yake ya Dhati kutetea Maslahi ya ya Wananchi wake na Taifa kwa ujumla kwani mojawapo ya Mapungufu ya Mkataba huo ilikua ni Mazingira ya Kutunyonya Sisi Watanzania.

Swala Unyonyaji linakuja tu pale ambapo Tanzania bado hatuna wawekezaji wa kutosha ambao wanaoweza kushindana na wawekezaji wa Netherland kwa Masharti ambayo ni nafuu na Rafiki kwa Nchi hizi Mbili.

HONGERA SERIKALI YA RAIS MAGUFULI KWA KUTETEA MASLAHI YA WATANZANIA NA TAIFA KWA UJUMLA.

View attachment 1051715


"The Government of the United Republic of Tanzania notified the Government of the Kingdom of the Netherlands in September 2018 of its intention to end the existing reciprocal protection of investment treaty between Tanzania and the Netherlands. Despite efforts to seek a temporary extension of the existing treaty and/or a speedy start of negotiations for a new investment protection treaty no progress has been made so far.


The implication of this development is that as per 1 April 2019 new Netherlands’ investors in Tanzania (and new Tanzanian investors in the Netherlands) can no longer rely on the preferential protection that the treaty provided. This means for new investors that they will have to rely onnational legislation and regulations for protection of their investment. It also means that they will have to seek legal redress, if and when needed, through national courts. Access to international arbitration will no longer be possible, unless a new agreement is reached that will cover that option.


However, existing investors should take note of the fact that the treaty’s comprehensive protection for investments made before the date of termination (1 April 2019) continues to apply for a period of fifteen years (until 1 April 2034). In view of the time needed for negotiations and ratification of an eventual new treaty the Embassy expects that it can take up to 3 to 5 years before an eventual new investment protection treaty becomes effective. Potential investors are advised to take this recent development into consideration when preparing decisions on investment in Tanzania."

SOURCE: UBALOZI WA NETHERLAND TANZANIA
Sasa huo ubovu wa mkataba,uliwekwa Mbinguni na maraika au?yaani mnafanya madudu wenyewe,mnayarekebisha harafu mnataka msifiwe!!!Total https://jamii.app/JFUserGuide ups!!!
Mnakunya! Mnazoa!,harafu mnataka tuwashangilie?akili za kibashite !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom