Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,902 95,408 Feb 23, 2021 #1 ๐๐๐Tanzania ni barazani pa wenye mizaha!
Bishop Hiluka JF-Expert Member Aug 12, 2011 7,140 14,678 Feb 23, 2021 #2 Dah! WHO wanapaswa kutupa tuzo.... wia in dhe rait traki... Mi ๐ tena...
DreezyD98 JF-Expert Member Nov 6, 2020 1,503 2,664 Feb 23, 2021 #3 Huyo jamaa mwenye koti la draft ametoa ulimi nje kama analamba asali๐๐
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,945 122,211 Feb 23, 2021 #4 DreezyD98 said: Huyo jamaa mwenye koti la draft ametoa ulimi nje kama analamba asali Click to expand...
DreezyD98 said: Huyo jamaa mwenye koti la draft ametoa ulimi nje kama analamba asali Click to expand...
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,945 122,211 Feb 23, 2021 #5 Weka na ile ya Kabudi akibugia Dawa ya Madagascar
DreezyD98 JF-Expert Member Nov 6, 2020 1,503 2,664 Feb 23, 2021 #6 Mwifwa said: Weka na ile ya Kabudi akibugia Dawa ya Madagascar Click to expand... Hivi zile dawa walibugia wenyewe? Mbona hakuna majibu yaliyotolewa kama zilifanya kazi au la๐๐๐
Mwifwa said: Weka na ile ya Kabudi akibugia Dawa ya Madagascar Click to expand... Hivi zile dawa walibugia wenyewe? Mbona hakuna majibu yaliyotolewa kama zilifanya kazi au la๐๐๐
Mwifwa JF-Expert Member Apr 3, 2017 46,945 122,211 Feb 23, 2021 #7 DreezyD98 said: Hivi zile dawa walibugia wenyewe? Mbona hakuna majibu yaliyotolewa kama zilifanya kazi au la Click to expand... Ungemuuliza Kabudi hili swali ungeona rangi halisi ya Macho yake
DreezyD98 said: Hivi zile dawa walibugia wenyewe? Mbona hakuna majibu yaliyotolewa kama zilifanya kazi au la Click to expand... Ungemuuliza Kabudi hili swali ungeona rangi halisi ya Macho yake
MWANDENDEULE JF-Expert Member May 24, 2015 3,885 6,631 Feb 24, 2021 #8 Hata mabeberu walikunywa kikombe cha babu lakini leo hii wanatushangaa tukipiga nyungu na kuagiza wataalamu wetu kuingia kazini.
Hata mabeberu walikunywa kikombe cha babu lakini leo hii wanatushangaa tukipiga nyungu na kuagiza wataalamu wetu kuingia kazini.
Mnyatiaji JF-Expert Member Dec 13, 2018 3,706 4,759 Feb 24, 2021 #9 Hivi babu wa loliondo bado ajaona fursa apa kupiga pesa ya COVIDOL kimasihara sihara hivi๐๐
mrangi JF-Expert Member Feb 19, 2014 80,873 106,130 Feb 24, 2021 #10 Babu wa loliondo alituingiza kingi Ova