kichwa kikubwa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 2,275
- 1,698
Aliinywa peke yake akaimaliza yote.Kabla ya kuhangaika na chanjo tumuulize kwanza Profesa Kabudi kuhusu mrejesho wa ile dawa ya Madagascar.
Aliinywa peke yake akaimaliza yote.Kabla ya kuhangaika na chanjo tumuulize kwanza Profesa Kabudi kuhusu mrejesho wa ile dawa ya Madagascar.
Mimi nafikiri elimu itolewe .
Sio kila anayekufa kwa changamoto za upumuaji basi amekufa na Corona..
Hata nimonia pia usababisha changamoto za upumuaji
Au tuite Ni mlipuko wa nimonia maana miaka ya nyuma haikuwa hivi.
Mficha maradhi kifo humuumbua.
Ni mwenda wazimu tuu anayeweza kudhani Mwenyezi Mungu anaweza kuipendelea Tanzania zaidi ya Jerusalem, Mecca,Madina , Vatican na Canterbury
Jiwe aagize chanjo ambayo sisi tusio muaamini tununue chanjo
Fools paradise
Tatizo sasa hivi ukisema mtu kafa kwa nimonia utaambiwa hiyo ni corona wanaficha kwa kudanganya kuwa ni nimonia.Mimi nafikiri elimu itolewe .
Sio kila anayekufa kwa changamoto za upumuaji basi amekufa na Corona..
Hata nimonia pia usababisha changamoto za upumuaji
Tatizo wote wanatumia nguvu,hao wanaosema corona hakuna na hao wanaosema ipo wote wanatumia nguvu na kuna msukumo wa siasa nyuma yake.Corona ipo kila mtu ajiongeze mwenyewe kama kweli unapenda watu wako basi chukuwa tahadhari.
Siasa ina sehemu zake lakini sio katika mambo ya msingi kama haya, ndio maana mkuu kila mkutano analazimisha watu waamini hakuna hasa katka siku za karibuni ukiona mtu anatumia nguvu sana kukanusha kitu basi ujuwe kuna jambo.
Sawa sawa ukiona mtu anaapa sana miungu wote hajafanya basi tia shaka. Naunga mkono hoja yako.
Kabisaa this people are sociopathOgopa sana watanzania wanamuombea Tanzania vifo vya COVID ili tu kuprove failure ya serikali. Yaani hao watu waogope kama ukoma!
Mimi Ni mwanataaluma wa Public health nachotambua Ni kosa kutangaza Hali ya hatarii au mlipuko ukiwa muhudumu katika sekta ya Afya taarifaa zotee zinatakiwa kupitia mfumo wa IDSR(integrated disease surveillance and response) na mwenye mamlaka ya kutangaza Ni wazirii au mtu mwingine mwenye dhamana huyo daktarii anakiuka miiko ya msingii kabisa... Hafai.Daktari unafahamu kuwa uko chini ya wizara ?
HujakoseaaaWaliobuni hii biashara ya corona lazima watakua wanamuangalia rais wetu John Pombe Magufuli kwa jicho la husda sana.
Au nakosea ndugu yangu Sumu ?
Hapana unakosea sana katika hili, mimi namuunga mkono Rais kuondoa hofu katika jamii ila ni juu yetu kuwa waangalifu ugonjwa upo.
Halafu wanunuzi wa chanjo Tz wala sio walengwa kama tunaongelea biashara, nchi tajiri duniani wameanza au wameshanunua dawa in advance ndio wenye pesa nchi nyingi za Africa tutakuja kupewa bure tu.
Kumbuka chanjo za watoto zote ni bure kutoka UN hatulipi kitu na matokeo chanjo wa watoto sote tunajuwa faida yake. siasa pembeni corona ipo ndio maana unaona siku za karibuni raisi kila mara anaongelea hilo hatuna corona sababu anajuwa hofu iko.
Hawana sababu ya kutulenga sisi maana sio wanunuzi hata tungekubali corona ipo zaidi tungepata misaada na chanjo za bure.
Wamarekani, Wachina na Urusi wanagombea "abiria" wa chanjo zao...wapo wanamwagiana fitina!ucheni unafiki na uongo, hakuna mtu aliyesema virusi vya corona ni kitu ca kufikirika..... nadhani Rais na watanzania tunaamini hii kitu ni real ndio maana tukaamua kumuachia Mungu maana yeye ndio mjuzi wa kila kitu.
Kuhusu chanjo najua serikali ILIWEKA MAMBO CLEAR KABISA KWAMBA HAINA MPANGO WA KUAGIZA HIZO CHANJO INSTEAD INAENDELEA NA UTAFIT WA LOCAL MEDICS,
Ahsante.
Wameishaanza kugombania masoko yenye walaji wengi kama India, Brazil, Afrika, nk! Watengenezaji wa chanjo wa Marekani, Urusi na Uchina wanapakua chanjo hata kabla " hazijaiva" kuwahi wateja!Waliobuni hii biashara ya corona lazima watakua wanamuangalia rais wetu John Pombe Magufuli kwa jicho la husda sana.
Au nakosea ndugu yangu Sumu ?
Wameishaanza kugombania masoko yenye walaji wengi kama India, Brazil, Afrika, nk! Watengenezaji wa chanjo wa Marekani, Urusi na Uchina wanapakua chanjo hata kabla " hazijaiva" kuwahi wateja!
View attachment 1681130
Sio ukoma tu,ni uchawi kabisa! Utaombeaje taifa lako mabaya ili Hali nawe umo humo humo.Ogopa sana watanzania wanamuombea Tanzania vifo vya COVID ili tu kuprove failure ya serikali. Yaani hao watu waogope kama ukoma!
Ubinafsi na roho mbaya vimewapiga upofu wa fikra na moyoSio ukoma tu,ni uchawi kabisa! Utaombeaje taifa lako mabaya ili Hali nawe umo humo humo.
Tatizo sasa hivi ukisema mtu kafa kwa nimonia utaambiwa hiyo ni corona wanaficha kwa kudanganya kuwa ni nimonia.
Lakini tusisahau kuwa Corona inaambukiza vipi nimonia nayo inaambukiza?.
Mimi sipingi TANZANIA kuwa na Corona Ila taarifa ziwe za ukweli.
Tangu tarehe 17 mwezi wa 3.mwaka 2020.mpaka Leo Kama Corona ingekuwepo TUNGEKUFA WENGI sanaaa.
Na wagonjwa wangeongeza lakini mbona hatuwaoni hao wagonjwa
Kufa utaanza wewe mpiga zumali,wenzako chanjo wamepata tayari.Tusubiri ufe wewe ili tuamini.