Tanzania imara inahitaji mambo matatu

Tanzania imara inahitaji mambo matatu

tufahamishane

Member
Joined
Jun 22, 2024
Posts
28
Reaction score
30
Salam ndugu zangu wa Tanzania.

Tanzania ni nchi nzuri sana pengine kuliko nchi nyingine yoyote katika ukanda wa maziwa makuu na Jangwa la Sahara.

Ukiangalia bendera Ramani na Historia ya Tanzania utagundua kuwa Tanzania ni nchi ya kutamaniwa na kila mtu.

Tanzania ili iendelee kustawi inaitaji mambo matatu
1: Viongozi wazalendo wenye uwezo KIU na moyo wa dhati wa kuwaunganisha Wa Tanzania bila kuwa bagua kwa dini zao tamaduni au makabila Yao.

2: Kila Mtanzania avenue tabia ya uzalendo aipende nchi take afanye kazi kwa bidii na wa Tanzania wore tujenge tabia ya kulipa Kodi kwa uaminifu

3: Wote tujenge tabia ya kumpenda Mungu akubudu na kufanya ibada kila siku
Mambo hayo yakifanyika Tanzania itakuwa nchi imara isiyoweza kuyumbishwa na upepo wowote
 
Walioondolewa adaui ujinga Ndiyo hao wakipewa dhamana huahirisha kufikiri Kwa nafsi a. k. a kujizima data dawa ni jamii kuamka kukataa ujinga
 
Hizo ndo hadeeth wanazo tumia kurubuni vijana wakati wakienda JkT,.
 
Hayo hayatowezekana chiniya CCM

CCM wenyewe ndio wavunjaji maadili,

Wanaunga mkono USHOGA ambao unamkera sana MUNGU wetu.

Wanapiga sana hela za Umma bila kuhojiana pale zinapoibwa fedha za Umma na mmoja wao.

Ubadhirifu mkubwa wa fedha za Umma ndani ya serikali ya CCM ikiwemo kutumia kwa kuimarisha siasa na mifumo ya udhibiti wa wengine.

Kwanza CCM ingoke.

Amani ya kweli n pale kila mmoja atakaposhi bila hofu na kutowa maoni bila hofu,sio kufuatilwa kwenye mitandao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom