kuna viongozi, mawazir, MRPC,makamishna wameenda Loliondo kwa babu vyeo vidumu. Je kweli hawa hawaend kwa wengne wakaambiwa leten viungo vya albino mtadumu madarakan. Mfano wameleta FBI Kwa kifo cha mtu mmoja kwanin wasilete kwa ajil ya maalbino? Tafakari