Tanzania graduate bank

Tanzania graduate bank

MTOTO KITAA

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2013
Posts
245
Reaction score
116
wakuu, nimefikilia kuwa kuna uwezo wa kuw na benk ya kuwawezesha graduate wetu. kwa kuanzia tunaweza kuanza na mfuko wa graduate( graduate fund au saccos). nimekuja na wazo hili kwa kuona jf na wengine ikiwemo mim tunaangaika na ajira na pia wanasiasa wanasema tujiajir wakat benk zimetutenga. tutapataje mtaji? tutaendeshaje, jins ya kuasaidia graduate,na mfumo mzima wa shughur yote mi ninayo kichwn. ombi langu naomba graduate wezangu tushilikiane kwa wazo langu hili, naomba vijana kumi ambao wapo tayar kujitolea kwa kutimiza ndoto hii, kwn naamin tutapoteza mda ila tutafanikiwa, kama upo tayar ni PM, nitakwambie tukutane wap,mi naishi dar asanten
 
Very brilliant idea. I fully support your idea. Any time you you wanna like to meet me let me know. Nipo Dar
 
Weka executive summary ya hiyo idea kwanza tone feasibility yake...

Usijikute Albert Einstein...

Kuna mmoja alikuja na idea akasema Graduates wakopeshwe mitaji na commercial banks alafu dhamana iwe Vyeti vyao.
 
Gud idea, we are together...let's communicate
 
idea ni nzuri kwa kweli ila naogopa mwenzenu niliambiwa kuwa MJINI NI SHULE!
 
Back
Top Bottom