TIB, inafanya hiyo kazi tayar,
Tatizo makampuni mengi yanafanya kazi kiujanja janja, hayana cash flow nzuri,mali za kuaminika wala wataalam wakuaminika!
Wataalam wao wanahamhama sana, na mitambo ni full kukodisha ndo maana hawaend benk wala hawapati kazi kubwa kubwa