Tanzania bara - zanzibar kumiliki ardhi

Tanzania bara - zanzibar kumiliki ardhi

matunge88

Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
58
Reaction score
26
Habari wana JF
Nataka kumiliki Ardhi hapa zenji...lakini kuna wadau wananiambia kwa kuwa mimi ni mtanganyika hairuhusiwi. Je hii ni haki kwa watz tuliopo zanzibar. Mbona wao bara wanamiliki. Nisaidieni nifanyeje
 
...lakini kuna wadau wananiambia kwa kuwa mimi ni mtanganyika hairuhusiwi.
Hao wadau waliokwambia hivyo wako right.

It is just that simple.

Kwa sheria ya Baraza la Wawakilishi la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar.

Lakini wapemba na waarabu wa Unguja wamejaa tele wanamiliki ardhi Kariakoo, Namanga, Ilala, Tegeta, mikoani, kote nchi nzima kasoro uchagani. Wachagga they don't take that huey ya Wapemba kuja Tanganyika kuchukua maeneo kumiliki na kufanya biashara wakati kwao wametuandikia sheria vitabuni ya kutupiga marufuku Watanganyika kuonekana tumethubutu kununua ardhi Zanzibar.


THE LAND TENURE ACT, 12 - 1992
ENACTED by the House of Representatives of Zanzibar.


Right of a Grant of land.

24.(1) The right of occupancy shall only be granted to
Zanzibaris who are above the age of eighteen.

"Zanzibari" means:

(a) any person who is a citizen of Tanzania in
accordance with the laws relating to citizenship
and that he was born or has been residing in
Zanzibar before and up to the 12th of January
1964;

(b) any person who, as from the 26th day of April,
1964 is a citizen of Tanzania and was born in
Zanzibar with both of his parents being
Zanzibaris or either his father or mother being
Zanzibari in accordance with the Zanzibari Act,
1985;

(c) any person who is a citizen of Tanzania and was
born or has been residing in Zanzibar before the
26th day of April, 1964; and

(d) any person who is a citizen of Tanzania with
both of his parents being Zanzibaris or either his
father or mother being Zanzibari in accordance
with paragraph (a), (b) or (c) above.


57: Zanzibari requirement.

If it is determined that:

(a) any grantee is, at any time, proved to be a non-
Zanzibari; or


(b) an interest holder-makes, or attempts to make, a
transfer of his right of occupancy to a non-Zanzibari;

an order of termination shall be issued by the Minister which
shall provide that the right of occupancy is terminated and
the land shall be vacated forthwith.
 
Habari wana JF
Nataka kumiliki Ardhi hapa zenji...lakini kuna wadau wananiambia kwa kuwa mimi ni mtanganyika hairuhusiwi. Je hii ni haki kwa watz tuliopo zanzibar. Mbona wao bara wanamiliki. Nisaidieni nifanyeje



nenda kwa sheha na barua mwambie chonde chonde sheha sijengi kanisa kabisa hapa wala klabu ya pombe! sheha atakusainisha pahala kukana kanisa na klabu za pombe watakuruhu kujenga.
 

We kajaribu tu. kule tatizo ni dini tu na pombe. nothing else. Ukiacha hilo la kujenga, tuseme kiu inakusumbua unataka uoe fastafasta we kimbilia tu msikitini kusilimu. kesho utakuwa tayari ushapata bibi wa kuona. yakhee keshakuwa mwenzetu huyu. ushanifahamu?

Na kwa taarifa yako watoto wa kule wanawapenda sana nyie wala ugali kutoka bara. uwa hawasemi tu. tatizo dini! ukisilimu tu baaasi....utakuja unambie?! nipo hapa.
 
Wako sawa kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini sio kila mtanzania ni mzanzibari, na haya ni matokeo ya mfumo mzuri wa serikali mbili.

hata hivyo nani amekuambia tanganyika kuna anayemiliki ardhi?, labda ambayo isiyofaa kwa matumizi ya kilimo au yenye madini; kama kwa bahati mbaya umezaliwa kwenye ardhi yenye madini; atapewa muwekezaji leseni bila ya wewe kujua, inafika siku moja unashangaa jamaa wanakuambia tumekuja kutathmini mazao yako ili tukulipe miti na migomba yako uondoke
 
Wako sawa kwasababu kila Mzanzibari ni Mtanzania lakini sio kila mtanzania ni mzanzibari, na haya ni matokeo ya mfumo mzuri wa serikali mbili.

hata hivyo nani amekuambia tanganyika kuna anayemiliki ardhi?, labda ambayo isiyofaa kwa matumizi ya kilimo au yenye madini; kama kwa bahati mbaya umezaliwa kwenye ardhi yenye madini; atapewa muwekezaji leseni bila ya wewe kujua, inafika siku moja unashangaa jamaa wanakuambia tumekuja kutathmini mazao yako ili tukulipe miti na migomba yako uondoke

Zanzibar ardhi ni mali ya wazanzibari na Tanganyika ardhi ni mali ya CCM, CCM wanaweza kukufukuza wakati wowote wakampa muwekezaji.

Kwa tadhmini yangu uwezo wa akili na uzoefu wa viongozi wa CCM ni mdogo kupindukia kiasi cha kuweka hatarini usalama wa ardhi na Taifa kwa vizazi vijavyo
 
Hao wadau waliokwambia hivyo wako right.

It is just that simple.

Kwa sheria ya Baraza la Wawakilishi la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar.

Lakini wapemba na waarabu wa Unguja wamejaa tele wanamiliki ardhi Kariakoo, Namanga, Ilala, Tegeta, mikoani, kote nchi nzima kasoro uchagani. Wachagga they don't take that huey ya Wapemba kuja Tanganyika kuchukua maeneo kumiliki na kufanya biashara wakati kwao wametuandikia sheria vitabuni ya kutupiga marufuku Watanganyika kuonekana tumethubutu kununua ardhi Zanzibar.


THE LAND TENURE ACT, 12 - 1992
ENACTED by the House of Representatives of Zanzibar.


Right of a Grant of land.

24.(1) The right of occupancy shall only be granted to
Zanzibaris who are above the age of eighteen.

"Zanzibari" means:

(a) any person who is a citizen of Tanzania in
accordance with the laws relating to citizenship
and that he was born or has been residing in
Zanzibar before and up to the 12th of January
1964;

(b) any person who, as from the 26th day of April,
1964 is a citizen of Tanzania and was born in
Zanzibar with both of his parents being
Zanzibaris or either his father or mother being
Zanzibari in accordance with the Zanzibari Act,
1985;

(c) any person who is a citizen of Tanzania and was
born or has been residing in Zanzibar before the
26th day of April, 1964; and

(d) any person who is a citizen of Tanzania with
both of his parents being Zanzibaris or either his
father or mother being Zanzibari in accordance
with paragraph (a), (b) or (c) above.


57: Zanzibari requirement.

If it is determined that:

(a) any grantee is, at any time, proved to be a non-
Zanzibari; or


(b) an interest holder-makes, or attempts to make, a
transfer of his right of occupancy to a non-Zanzibari;

an order of termination shall be issued by the Minister which
shall provide that the right of occupancy is terminated and
the land shall be vacated forthwith.

Nashukuru mkuu...kunipa somo. Nimeshaelewa sasa. Nirudi Bara tu huku nimeshindwa kwa hali hii.
 
We kajaribu tu. kule tatizo ni dini tu na pombe. nothing else. Ukiacha hilo la kujenga, tuseme kiu inakusumbua unataka uoe fastafasta we kimbilia tu msikitini kusilimu. kesho utakuwa tayari ushapata bibi wa kuona. yakhee keshakuwa mwenzetu huyu. ushanifahamu?

:typing:

Na kwa taarifa yako watoto wa kule wanawapenda sana nyie wala ugali kutoka bara. uwa hawasemi tu. tatizo dini! ukisilimu tu baaasi....utakuja unambie?! nipo hapa.
Mi na Yesu wangu, nimwache kisa mwanake. Impossible aisee!
Hata hivyo sina mpango wa kuja huko hivi karibuni.
 
Dawa kuvunja hili dude linaloitwa muungano halafu kila nchi ife na watu wake. Upuuzi huu, muungano gani huu wa kisanii na kinyonyaji. Nauchukia sana.
 
Hao wadau waliokwambia hivyo wako right.

It is just that simple.

Kwa sheria ya Baraza la Wawakilishi la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar.

Lakini wapemba na waarabu wa Unguja wamejaa tele wanamiliki ardhi Kariakoo, Namanga, Ilala, Tegeta, mikoani, kote nchi nzima kasoro uchagani. Wachagga they don't take that huey ya Wapemba kuja Tanganyika kuchukua maeneo kumiliki na kufanya biashara wakati kwao wametuandikia sheria vitabuni ya kutupiga marufuku Watanganyika kuonekana tumethubutu kununua ardhi Zanzibar.


THE LAND TENURE ACT, 12 - 1992
ENACTED by the House of Representatives of Zanzibar.


Right of a Grant of land.

24.(1) The right of occupancy shall only be granted to
Zanzibaris who are above the age of eighteen.

"Zanzibari" means:

(a) any person who is a citizen of Tanzania in
accordance with the laws relating to citizenship
and that he was born or has been residing in
Zanzibar before and up to the 12th of January
1964;

(b) any person who, as from the 26th day of April,
1964 is a citizen of Tanzania and was born in
Zanzibar with both of his parents being
Zanzibaris or either his father or mother being
Zanzibari in accordance with the Zanzibari Act,
1985;

(c) any person who is a citizen of Tanzania and was
born or has been residing in Zanzibar before the
26th day of April, 1964; and

(d) any person who is a citizen of Tanzania with
both of his parents being Zanzibaris or either his
father or mother being Zanzibari in accordance
with paragraph (a), (b) or (c) above.


57: Zanzibari requirement.

If it is determined that:

(a) any grantee is, at any time, proved to be a non-
Zanzibari; or


(b) an interest holder-makes, or attempts to make, a
transfer of his right of occupancy to a non-Zanzibari;

an order of termination shall be issued by the Minister which
shall provide that the right of occupancy is terminated and
the land shall be vacated forthwith.

Kwanini kasoro UCHAGANI Kuna nini huko WAPEMBA na WAARABU hawawezi kumiliki ARDHI?
 
Mbona sasa mimi nilikuwa nasubiria mwezi ujao ufike nikajenge mabanda ya yule mnyama wetu, Kwa hiyo ndo tuseme biashara hakuna tena?
 
Hii dar ni ya wazenji nasikia ktk muungano ndio wengine mukaja kukaaaaaa Je kuna ukweli
 
Nashukuru mkuu...kunipa somo. Nimeshaelewa sasa. Nirudi Bara tu huku nimeshindwa kwa hali hii.

hili suala la umiliki wa ardhi ni tatizo, nilisikia bungeni siku moja wakiliongelea wabunge wao walilitetea wakidai ardhi kule ni finyu inawatosha wao tu, wakisema wapewe na wabara itakuwa issue
 
Habari wana JF
Nataka kumiliki Ardhi hapa zenji...lakini kuna wadau wananiambia kwa kuwa mimi ni mtanganyika hairuhusiwi. Je hii ni haki kwa watz tuliopo zanzibar. Mbona wao bara wanamiliki. Nisaidieni nifanyeje


Achana na hao wadau wako. Wabara tupo huku kibao na tunamiliki ardhi kama kawa. Tena huku bei ya viwanja ni rahisi rahisi tofauti na Tanganyika. Nenda Michamvi au huku Mkokotoni tunaishi kwa raha mustarehe.

Kama watu wana vyeti feki vya kuzaliwa na kadhalika unashindwa kupata cheti cha kukufanya utimize hayo masharti ili upate kumiliki ardhi?! Tanzania hii ndugu yangu, kila unachotaka unapata kazi ni kwako kuonana na wahusika wa kukusaidia.
 
Kwanini kasoro UCHAGANI Kuna nini huko WAPEMBA na WAARABU hawawezi kumiliki ARDHI?
Kwa sababu Wachagga wana mwamko na upeo mkubwa wa kulinda udau wao wa kiuchumi na kiuhai, existential and economic interests, kama vile ardhi na himaya za masoko. Mpemba hawezi kwenda uchaggani ku take over ardhi na kufanya biashara ovyo ovyo kama mtaa wa Congo ilhali wao kwao Zanzibar wameandika sheria ya Baraza la Wawakilishi inayotamka wazi wazi kwamba Mtanganyika marufuku kununua ardhi Zanzibar, again, kwa sheria ya Baraza la Wawakilishi, Zanzibar!

Halafu unanambia niupende Muungano, nitaupenda pendaje? Unaninyima ardhi halafu yangu unataka tushee? Utu gani huo?

Babu yangu Nyerere ametuingiza kwenye mkataba unaosema hivi, kuanzia leo tuna share wanawake zetu, lakini wa kwako wa kwako wa kwangu wa kwako, umchakachue, ntakumwagia tindikali! Sikubali!
 
Hamjui tu, mbona Wamasai wamehamia na wanamiliki kila kitu, fuata sheria mkuu, Wazanzibari ni watu wema.
 
Hao wadau waliokwambia hivyo wako right.

It is just that simple.

Kwa sheria ya Baraza la Wawakilishi la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mtanganyika haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar.

Lakini wapemba na waarabu wa Unguja wamejaa tele wanamiliki ardhi Kariakoo, Namanga, Ilala, Tegeta, mikoani, kote nchi nzima kasoro uchagani. Wachagga they don't take that huey ya Wapemba kuja Tanganyika kuchukua maeneo kumiliki na kufanya biashara wakati kwao wametuandikia sheria vitabuni ya kutupiga marufuku Watanganyika kuonekana tumethubutu kununua ardhi Zanzibar.


THE LAND TENURE ACT, 12 - 1992
ENACTED by the House of Representatives of Zanzibar.


Right of a Grant of land.

24.(1) The right of occupancy shall only be granted to
Zanzibaris who are above the age of eighteen.

"Zanzibari" means:

(a) any person who is a citizen of Tanzania in
accordance with the laws relating to citizenship
and that he was born or has been residing in
Zanzibar before and up to the 12th of January
1964;

(b) any person who, as from the 26th day of April,
1964 is a citizen of Tanzania and was born in
Zanzibar with both of his parents being
Zanzibaris or either his father or mother being
Zanzibari in accordance with the Zanzibari Act,
1985;

(c) any person who is a citizen of Tanzania and was
born or has been residing in Zanzibar before the
26th day of April, 1964; and

(d) any person who is a citizen of Tanzania with
both of his parents being Zanzibaris or either his
father or mother being Zanzibari in accordance
with paragraph (a), (b) or (c) above.


57: Zanzibari requirement.

If it is determined that:

(a) any grantee is, at any time, proved to be a non-
Zanzibari; or


(b) an interest holder-makes, or attempts to make, a
transfer of his right of occupancy to a non-Zanzibari;

an order of termination shall be issued by the Minister which
shall provide that the right of occupancy is terminated and
the land shall be vacated forthwith.
Suali la kujiuliza kwanini wazanzibari waliamua kufanya hivyo ? Kwa kukufafanunulia, kumbuka kwamba zanzibar ni Taifa la wazanzibari na zanzibar ni visiwa vidogo, na lina eneo dogo, tumeungana na watu milioni 44 , kwa akili yako wewe mwenyewe, nikuulize suali, wazanzibari kama wakubali watanganyika wamiliki ardhi zanzibar, hivi waje milioni 5 tu ah tano wengi milioni 2 tu kila mtu apewe ardhi hivi zanzibar utaiyangaliaje ? Naona watu watakaa juu ya miti, na wazanzibari wenyewe hawatakuwa na na future ya vizazi vyao vya baadae kuwa na eneo na wao wakaja kuishi ndani ya zanzibar.

Na ndio lengo kuu la kuwadhuiya wageni kutomiliki ardhi.
 
Back
Top Bottom