Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,180
- 7,354
TANROADS kwa kushirikiana na Manispaa ya Morogoro tunaomba muweke taa za kuongozea magari maeneo kadhaa mjini Morogoro kupunguza ajali na adha zingine.
Imekuwa ni karibia kila siku kushuhudiwa ajali zinazopelekea vifo kwenye makutano kadhaa mjini Morogoro, matukio ambayo yanaweza kupunguzwa kwa 100% kama maeneo hayo yatawekwa taa za kuongozea magari.
Maeneo hatarishi zaidi ni pamoja na
1. Barabara ya Modeko inapoingia kwenye barabara kuu ya kwenda Iringa
2. Makutano ya barabara eneo la Fire
3. makutano ya barabara eneo la Masika
4. Barabara ya Mazimbu inapoingia barabara kuu ya Dodoma
5. Barabara ya kuingia stendi kuu Msamvu
Na maeneo mengine ambayo naamini wanayajua...
Nawasilisha
Imekuwa ni karibia kila siku kushuhudiwa ajali zinazopelekea vifo kwenye makutano kadhaa mjini Morogoro, matukio ambayo yanaweza kupunguzwa kwa 100% kama maeneo hayo yatawekwa taa za kuongozea magari.
Maeneo hatarishi zaidi ni pamoja na
1. Barabara ya Modeko inapoingia kwenye barabara kuu ya kwenda Iringa
2. Makutano ya barabara eneo la Fire
3. makutano ya barabara eneo la Masika
4. Barabara ya Mazimbu inapoingia barabara kuu ya Dodoma
5. Barabara ya kuingia stendi kuu Msamvu
Na maeneo mengine ambayo naamini wanayajua...
Nawasilisha