TanRoad kibaha vp?

TanRoad kibaha vp?

mwajungwa

Member
Joined
Jul 1, 2014
Posts
22
Reaction score
3
Naomba kuuliza wadau kwa mwenye taarifa kuhusu nafasi zilizotangazwa na Tanroad kibaha kama wameishaanza kuita watu kwaajili ya interview.
 
Naomba kuuliza wadau kwa mwenye taarifa kuhusu nafasi zilizotangazwa na Tanroad kibaha kama wameishaanza kuita watu kwaajili ya interview.
Ngoja waje watujuze, maana hata mimi niliomba.
 
Naomba kuuliza wadau kwa mwenye taarifa kuhusu nafasi zilizotangazwa na Tanroad kibaha kama wameishaanza kuita watu kwaajili ya interview.
Yaan ku apply uli apply kimya bila kuwashirikisha wenzako humu halafu kwny kuitwa interview ndo unakuja kuwauliza humu.

Watu washanza Kazi kabisa uko
 
Yaan ku apply uli apply kimya bila kuwashirikisha wenzako humu halafu kwny kuitwa interview ndo unakuja kuwauliza humu.

Watu washanza Kazi kabisa uko
Wewe ndiye hukuliona tangazo. kwa taarifa tu hata mimi hilo tangazo lao la kazi nililiona humu humu JF.
 
Back
Top Bottom