Nadhani Bwana Chin anafanya hayo yote kutokana na uzalendo na mapenzi kwa nchi yake, tofauti na watu kama MmawiaBavarianifahLAKI si pesa ambao inaonekana wazi kabisa kuwa walikuwa wanategemea kunufaisha matumboyao wenyewe!
Nadhani Bwana Chin anafanya hayo yote kutokana na uzalendo na mapenzi kwa nchi yake, tofauti na watu kama MmawiaBavarianifahLAKI si pesa ambao inaonekana wazi kabisa kuwa walikuwa wanategemea kunufaisha matumboyao wenyewe!
Sijataja sababu na wala siijui, nilichokisema ni kwamba iwe ni kwa sababu yeyote ile, jamaa ameonyesha kiwango cha juu sana kuanzia kampeni hadi sasa hivi. Wakubwa wasipompoza hawatakua wamemtendea sawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.