Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 3,982
- 4,750
hivi hapa wadau inakuaje? anyway sijui mimi ni mshamba au wa kale! hili tangazo la mama mjamzito halinifulahishi hata kidogo na mbaya zaidi linatoka saa mbilimbili umepiga pozi na familia mnaangalia habari mara hao na uingizaji wao!
hivi tumeshindwa kutumia njia nyingine kueleza ni kwa jinsi gani huduma katika vituo vya afya zimeboreshwa mpaka kuwadharililisha wanawake? hivi kweli ?
mbaya zaidi wadada wa mjini wanaanza kuamini kuwa tendo la kuzaa ni tendo hatari sana kiasi kuwa wanafikiria ni bora ukipata mimba uitoe! linawajengea uoga wa ndoa watoto wetu na hasa ukichukulia kizazi tulichokilea hakina uwezo mkubwa wa kufikiri lakini kinajua vizuri kingereza na techinologia (wako digital zaidi)
nini hikina tamaduni na ustaharabu wetu unaruhusi hiki kitu kiwe hivi?
sijui nisaidie kwa kunielimisha nielewe vizuri nisikeleke tena.
hivi tumeshindwa kutumia njia nyingine kueleza ni kwa jinsi gani huduma katika vituo vya afya zimeboreshwa mpaka kuwadharililisha wanawake? hivi kweli ?
mbaya zaidi wadada wa mjini wanaanza kuamini kuwa tendo la kuzaa ni tendo hatari sana kiasi kuwa wanafikiria ni bora ukipata mimba uitoe! linawajengea uoga wa ndoa watoto wetu na hasa ukichukulia kizazi tulichokilea hakina uwezo mkubwa wa kufikiri lakini kinajua vizuri kingereza na techinologia (wako digital zaidi)
nini hikina tamaduni na ustaharabu wetu unaruhusi hiki kitu kiwe hivi?
sijui nisaidie kwa kunielimisha nielewe vizuri nisikeleke tena.