juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,449
- Thread starter
-
- #21
Kwangu yote sawa tu,maana sikumbuki ni lini niliwasha tv yangu.umesahau na kumshauri apige marufuku hata kuonyesha Live vipindi vya mipira,taarifa ya habari,ziara za wakubwa na mambo mengine yanayofanana na hayo na ikiwezekana afungie TV zote zibaki redio tu,
Hayo hayanihusu mimiIla mfundishen kiinglishi maana anatuaibisha wakuu
Mkuu unamchukia??? Si mumfundishe tu?? Au unaona raha anavyochapia??Hayo hayanihusu mimi
Bora leo umejionyesha rangi yako halisi afu huwa unajiita chadema bila aibu.....
Unasahau ni mikutano hyo hyo ilizaa mchakato wa katiba mpya, ilizaa uwajibikaji baada ya kuibuliwa tuhuma nyingi za kifisadi ambazo watu kma mramba na yona wakachukuliwa hatua....
ilizaa kukosoa serikali ili ijirekebishe mfano gharama za safari za nje na ukubwa wa baraza la mawaziri na mengi sana yenye tija kwa maendeleo anyway kma unaona KUZUIA MIKUTANO YA kukosoa na kuisimamia serikali kwenye uwajibikaji ni swala la kupongezwa basi sawa tena mwambie na 2020 apunguze gharama kwa kutoweka uchaguzi aendelee tu hadi atakapojiskia.
Mtegemea cha nduguye hufa masikini ni wakati sasa wa kutumia chetu kiswahili ndio lugha yetu ni vyema kuitangazaIla mfundishen kiinglishi maana anatuaibisha wakuu
Lowasa mbona haumsemiBora leo umejionyesha rangi yako halisi afu huwa unajiita chadema bila aibu.....
Unasahau ni mikutano hyo hyo ilizaa mchakato wa katiba mpya, ilizaa uwajibikaji baada ya kuibuliwa tuhuma nyingi za kifisadi ambazo watu kma mramba na yona wakachukuliwa hatua....
ilizaa kukosoa serikali ili ijirekebishe mfano gharama za safari za nje na ukubwa wa baraza la mawaziri na mengi sana yenye tija kwa maendeleo anyway kma unaona KUZUIA MIKUTANO YA kukosoa na kuisimamia serikali kwenye uwajibikaji ni swala la kupongezwa basi sawa tena mwambie na 2020 apunguze gharama kwa kutoweka uchaguzi aendelee tu hadi atakapojiskia.
Sasa si tumeshajua ukweli wa mambo na tatizo lilianzia kwa RAIS DHAIFU sasa unataka tuendelee kumuita lowassa fisadi??Lowasa mbona haumsemi
NDIO asignment yako hiyo toka lumumba!Mkuu,hayo mengine hayanihusu,
Atakua mnafiki uyu sio bure,unaweza mpongeza pogba kweeli??sio bureAiseeee. Mpongeze basi na hayo mengine
Kwani English ni nn kwake hata asipojua?Ila mfundishen kiinglishi maana anatuaibisha wakuu
Hata la kuongeza mapato yanayotokana na kodi alikuhusu?!Mkuu,hayo mengine hayanihusu,
Mkishiba maswali NOAiseeee. Mpongeze basi na hayo mengine
Asee ahsante kwa taarifa mkuu sasa mazishi lini ya hyo ukawa tuhudhurie??UKAWA imekufa,
CUF inakufa
Mbowe anafilisika.
It seems you wrote while dreamingKwanza niseme tu wazi kwamba Magufuli sikumpigia kura na wala sitakuja nimpigie kura hata hiyo 2020. Japokuwa nilijua atashinda na ninajua pia hata 2020 atashinda na safari hii nahisi atashinda kwa kishindo.
Ila kiukweli pamoja sikumpa kura yangu kuna mambo mawili tu nampongeza tangu aingie madarakani. Kuna vingi kafanya ,mfano kanunua ndege,kabana matumizi,kazuia safari za nje kwa wateule wake,kajenga airport huko Chato,mapato TRA yameongezeka,kazuia mianya ya rushwa na wizi.
Kaleta mahakama ya mafisadi japo haina wafungwa,kaondoa wanafunzi na wafanyakazi hewa,,aisee ni mengi kafanya. Ila mimi hayo yote hayanihusu maana sio mwajiriwa wa mtu wala wa serikali na sifikilii kuajiliwa.kwa hiyo hayo hayanihusu kabisa. Mimi alichonifurahisha ni
1: Kupiga marufuku mikutano ya vyama vya siasa,kwa kweli nampa hongera raisi,kwa sababu hii mikutano inaleta uongo na kudumaza akili za watanzania,ni mikutano hiihii ilisema Lowassa ni mwizi na fisadi papa,na ni mikutano hiihii ikaja kusema Lowasa sio mwizi bali ni mwanamabadiliko. Kwa hiyo kitendo cha rais kuzuia hii mikutano ni cha kupongezwa na kila mweye akili timamu. Hii mikutano haikuwa na tija bali ni kupoteza muda tu na kusemasema wau
2: Kuzuia bunge live kwa kweli amecheza kama pele. maana ilifikia hatua wabunge wanatafuta umaarufu tu bungeni ila majimboni kwao hawana cha maana. Sasa safari hii wakae wafanye maedeleo majimboni, yale mambo ya kupata ubunge kwa sababu tu ya umaarufu wako hayapo tena. Maana kuna watu ni wabunge tu ila wanajulikana Tanzania nzima ova ni mbunge wa taifa. Sasa safari hii ubunge wataupata kutokana na maedeleo wanayoleta majimboni na sio kwa umaarufu tu. Na natamani rais asilegeze kamba,ashikilie hapohapo.
Ukawa imekufa..? nani kasema..! CUF inakufa..!UKAWA imekufa,
CUF inakufa
Mbowe anafilisika.