Tangu Deception aanze kampeni yake kuhusu UKIMWI, kuna yeyote humu ndani ambaye amemuamini?

Ahsante mkuu.Ila ni kwamba nilishindwa kuzileta kwenye huu uzi. Ninazo kwenye maktaba yangu.
Sawa. Taarifa niliyopata, kutoka kitengo cha UKIMWI hapa nchini, watafiti wanaamini UKIMWI ni ugonjwa na kirusi chake kinaonekana
 
Bushman10.

Usikubali kuaminishwa fikra za mtu bila utetezi.

Hujamwelewa Deception. Anasema HIV haipo. Nimemwonyesha under electron microscope anasema hivo sio HIV.

AIDS ni ugonjwa unaosababishwa na upungufu wa Kinga mwilini. Hilo sina ubishi.

HIV ikiingia kwenye mwili matokeo yake huvamia askari wanaopambana na magonjwa yaani CD4.

Ila kama utapata virusi vya HIV ukawa unakula lishe vizuri na unameza dawa vizuri na kwa utaratibu mzuri basi utaishi vizuri.

Ila kuna wakati dawa za ARV huwa zinafeli baada ya kutumia kwa muda mrefu. Zikifeli kama utakuwa hukupata second line treatment basi uwezekano wa kupata AIDS ni mkubwa sana. Kwa maana dawa zitakuwa hazisaidii Kinga yako iwe imara.

Kwa hiyo virusi vya HIV vipo, na ukimwi upo.

Usiende peku peku kwa sababu Deception kasema hakuna HIV. Jali afya yako.

Dawa zozote sio ARV tu zina madhara. Kumbuka Tanzania tunatumia generic ARV na ni gharama nafuu. Ila kuna dawa kwa wenzetu huko ni nzuri zaidi ambazo ni brand names lakini ni bei kubwa sana ila less toxic.

mkuu hapo kwenye second line treatment ndo inakuwaje
 
Madokta wameishiwa sera au?

Nadhani,watakuwa wameambiana inbox wasijadili suala hili,nadhani.Au labda wameona huu mziki mnene.Na ni kweli mimi sibahatishi,najua kweli,na nisichokijua huwa sipendi kukijadili sana.Ndio maana hawa ma MD wanabaki kurukaruka tu,wanakurupuka kupinga,wanapoona maji yako shingoni wanapotea halafu wanarudi tena watu wakishasahau.

Siku za watu kujua ukweli wa suala hili haziko mbali,siku hizo zikifika kuna watu wataaibika sana.Humu JF kuna watu wachache wameshajua ukweli.
 
mkuu hapo kwenye second line treatment ndo inakuwaje
Hakuna kitu hapo,usijisumbue,ukweli ni huu ninaokupa mimi,huu ukweli ndio utakaokutoa kwenye utumwa wa kufikiria madude yote hayo ya ajabu ajabu.

Huyo MD anasema kuna wakati ARVs huwa zinafeli ukizitumia kwa muda mrefu,lakini ukweli ni kwamba ARVs hazifeli bali mwili ndio unafeli kumudu sumu za ARVs.ARVs hazifeli kwa kuwa hazina kazi yoyote ya muhimu mwilini,sasa kama kitu hakifanyi kazi yoyote muhimu utasemaje kimefeli?

Kuthibitisha kwamba ARVs hazina umuhimu mwilini,fuatilia huko mitaani kuna watu wengi hawatumii ARVs kwa zaidi ya miaka 10 na wamepimwa HIV+ lakini hawaumwi,wana afya njema kama au zaidi ya wale waliopimwa HIV-.Ukitaka kuona utaona tu,na kama hutaki kuona hutaona.

Doctor anasema pia eti kwasababu Tanzania tunatumia generic ARVs zenye gharama nafuu,mbona hasemi wale watu wakubwa wenye pesa zao hapa Tanzania huwa wanatumia ARVs za gharama sana wanazinunua kwa pesa zao wenyewe,kikopo kimoja ni Tshs 200,000/= na bado zinawadhuru wanakufa?

Watu watake wasitake,ARVs ndizo zinazosababisha vifo kwa wale wanaozitumia,na ARVs zenyewe ndizo zinazosababisha AIDS/UKIMWI,huu ukweli haupingiki.Kama yuko Daktari anapinga hili ajitokeze hapa tuweke proofs halafu tuone.

NB:
Sasa nakusaidia wewe hapa.Tafuta kikopo cha ARVs halafu fungua ndani utaona karatasi imekunjwa,kunjua hiyo karatasi usome,utaona imeorodhesha madhara yote ya ARVs kwa watumiaji.
Sasa yanakili madhara hayo yote kisha tembelea vituo vya afya walikolazwa watu mahututi wanaotumia ARVs baada ya kusingiziwa eti wana HIV.Chunguza hao watu wana matatizo gani kisha linganisha na yale uliyoorodhesha kutoka kwenye karatasi ile ndani ya kikopo cha ARVs.Utaona yanafana kabisa,hayapishani hata kidogo.

Baada ya hapo jiulize sasa,kipi sahihi kati ya yafuatayo;
1.ARVs zimefeli?
2.ARVs ndizo zimesababisha matatizo hayo?

Fanya hiyo homework.Kujua ukweli wa jambo hili si kitu rahisi kama wengi wanavyofikiria,unatakiwa ufanye utafiti wa hali ya juu,vinginevyo utabaki kuwa mshabiki tu.

Sasa huo ni uthibitisho wa kwanza.Uthibitisho wa pili nitakupa ukishafanya hiyo homework kwanza.Nataka wewe mwenyewe ushiriki katika kuuona huu uthibitisho,mimi kuelezea ukweli kama huu bila kuzunguka zunguka au bila kificho ndio kunawafanya hawa ma MD wetu wanikimbie au kuleta porojo tu zisizo na uhusiano na mada husika inayojadiliwa.
 
Kuna jamaa amevuta juzi, kwa sababu ya fangasi kupanda hadi kichwani, chanzo cha hayo wataalam wanakwambia alikatiza doz ya A R V, na wanasema ukiwa mtumiaji wa muda mrefu siku ukiacha kutumia miezi miwili mingi unazikwa.
Sasa hapa ndipo ninapokuwa naielewa concept ya wanaosema hiv hakuna, na ninaisaport kwa kufikiria hv siku arv zikaachwa kugaiwa bure, basi tutazika maelfu kwa muda wa ndani ya miezi miwili.... All in alll hii ni sayansi sio imani, ngoja niendelee kujiuliza tena na tena
 
Hakuna kitu hapo,usijisumbue,ukweli ni huu ninaokupa mimi,huu ukweli ndio utakaokutoa kwenye utumwa wa kufikiria madude yote hayo ya ajabu ajabu.

Huyo MD anasema kuna wakati ARVs huwa zinafeli ukizitumia kwa muda mrefu,lakini ukweli ni kwamba ARVs hazifeli bali mwili ndio unafeli kumudu sumu za ARVs.ARVs hazifeli kwa kuwa hazina kazi yoyote ya muhimu mwilini,sasa kama kitu hakifanyi kazi yoyote muhimu utasemaje kimefeli?

Kuthibitisha kwamba ARVs hazina umuhimu mwilini,fuatilia huko mitaani kuna watu wengi hawatumii ARVs kwa zaidi ya miaka 10 na wamepimwa HIV+ lakini hawaumwi,wana afya njema kama au zaidi ya wale waliopimwa HIV-.Ukitaka kuona utaona tu,na kama hutaki kuona hutaona.

Doctor anasema pia eti kwasababu Tanzania tunatumia generic ARVs zenye gharama nafuu,mbona hasemi wale watu wakubwa wenye pesa zao hapa Tanzania huwa wanatumia ARVs za gharama sana wanazinunua kwa pesa zao wenyewe,kikopo kimoja ni Tshs 200,000/= na bado zinawadhuru wanakufa?

Watu watake wasitake,ARVs ndizo zinazosababisha vifo kwa wale wanaozitumia,na ARVs zenyewe ndizo zinazosababisha AIDS/UKIMWI,huu ukweli haupingiki.Kama yuko Daktari anapinga hili ajitokeze hapa tuweke proofs halafu tuone.

NB:
Sasa nakusaidia wewe hapa.Tafuta kikopo cha ARVs halafu fungua ndani utaona karatasi imekunjwa,kunjua hiyo karatasi usome,utaona imeorodhesha madhara yote ya ARVs kwa watumiaji.
Sasa yanakili madhara hayo yote kisha tembelea vituo vya afya walikolazwa watu mahututi wanaotumia ARVs baada ya kusingiziwa eti wana HIV.Chunguza hao watu wana matatizo gani kisha linganisha na yale uliyoorodhesha kutoka kwenye karatasi ile ndani ya kikopo cha ARVs.Utaona yanafana kabisa,hayapishani hata kidogo.

Baada ya hapo jiulize sasa,kipi sahihi kati ya yafuatayo;
1.ARVs zimefeli?
2.ARVs ndizo zimesababisha matatizo hayo?

Fanya hiyo homework.Kujua ukweli wa jambo hili si kitu rahisi kama wengi wanavyofikiria,unatakiwa ufanye utafiti wa hali ya juu,vinginevyo utabaki kuwa mshabiki tu.

Sasa huo ni uthibitisho wa kwanza.Uthibitisho wa pili nitakupa ukishafanya hiyo homework kwanza.Nataka wewe mwenyewe ushiriki katika kuuona huu uthibitisho,mimi kuelezea ukweli kama huu bila kuzunguka zunguka au bila kificho ndio kunawafanya hawa ma MD wetu wanikimbie au kuleta porojo tu zisizo na uhusiano na mada husika inayojadiliwa.
hivi mkuu inakuaje wale ambao tayari walikua wameathirika na afya kutetereka na wakianziwa arvs wanafufuka na wananepa kabisa? pia unaposema arvs ni sumu kila dawa ya kiwandani si ni sumu? maana kuna wanaotumia dawa za presha, kisukari na wameambiwa watumie maisha yao yote?
 
Kuna jamaa amevuta juzi, kwa sababu ya fangasi kupanda hadi kichwani, chanzo cha hayo wataalam wanakwambia alikatiza doz ya A R V, na wanasema ukiwa mtumiaji wa muda mrefu siku ukiacha kutumia miezi miwili mingi unazikwa.
Sasa hapa ndipo ninapokuwa naielewa concept ya wanaosema hiv hakuna, na ninaisaport kwa kufikiria hv siku arv zikaachwa kugaiwa bure, basi tutazika maelfu kwa muda wa ndani ya miezi miwili.... All in alll hii ni sayansi sio imani, ngoja niendelee kujiuliza tena na tena
kwa nini aliacha huyu mgonjwa mkuu alikosa dawa au washauri?
 
Huyu jamaa kwa muda mrefu amekuwa akieleza kuwa hakuna UKIMWI wala HIV bali ni hoax flani hivi iliyoanzishwa na watu ilikupiga hela. Kwa maana wauze ARV ila hakuna cha UKIMWI wala nini.

Hamaanishi kuwa ukimwi umetengenezwa ili wauze dawa bali hakuna hata huo ugonjwa.

Mimi huwa ninachojiulizaga ''ni kweli huyu jamaa yuko tayari kuchukua damu ya mtu ambaye sisi tunaamini ana HIV na viral load ya kutosha tumchome yeye Deception au tumchukue mdada mwenye ngoma halafu apige bila condom?''

kwa kweli mimi simuamini,wenzangu nyie vipi?
Sio kila upiga bila kondom unaweza kuambukizwa kama unalala na mwenye virus. Mm nimelala na wenye virus tofauti tofauti mara 4 kavu kavu lkn sijawahi kuambukizwa. Inategemea matayarisho yako kabla ya tendo.
 
hivi mkuu inakuaje wale ambao tayari walikua wameathirika na afya kutetereka na wakianziwa arvs wanafufuka na wananepa kabisa? pia unaposema arvs ni sumu kila dawa ya kiwandani si ni sumu? maana kuna wanaotumia dawa za presha, kisukari na wameambiwa watumie maisha yao yote?
Wewe Inaonekana ni mgeni kwenye mada hii,hayo maswali yako yote nilishayajibu zamani sana na hakuna hata MD mmoja aliyeweza kupinga majibu niliyotoa.Hivi nikikuuliza swali moja tu kwamba ARVs zinatibu ugonjwa gani utajibu vipi?Wewe umeona wapi mtu anaumwa sana na amedhoofika halafu anapewa ARVs peke yake na anapona na kunenepa?Nipe Mfano mmoja tu wa mgonjwa kama huyo.....unajua tatizo la watu wengi kwenye suala hili huwa wanapenda sana kuzungumza mambo kwa hisia au kwa kusikia vijiweni bila wao wenyewe Kuona na kuchunguza kile wanachokiona.Sasa nipe Mfano wa mgonjwa kama huyo na unieleze alikuwa anaumwa nini hasa?Halafu tuanze kujadili kama kweli ugonjwa aliokuwa nao huyo mtu unapona kwa kula ARVs.
 
Wewe Inaonekana ni mgeni kwenye mada hii,hayo maswali yako yote nilishayajibu zamani sana na hakuna hata MD mmoja aliyeweza kupinga majibu niliyotoa.Hivi nikikuuliza swali moja tu kwamba ARVs zinatibu ugonjwa gani utajibu vipi?Wewe umeona wapi mtu anaumwa sana na amedhoofika halafu anapewa ARVs peke yake na anapona na kunenepa?Nipe Mfano mmoja tu wa mgonjwa kama huyo.....unajua tatizo la watu wengi kwenye suala hili huwa wanapenda sana kuzungumza mambo kwa hisia au kwa kusikia vijiweni bila wao wenyewe Kuona na kuchunguza kile wanachokiona.Sasa nipe Mfano wa mgonjwa kama huyo na unieleze alikuwa anaumwa nini hasa?Halafu tuanze kujadili kama kweli ugonjwa aliokuwa nao huyo mtu unapona kwa kula ARVs.
plz ebu nisaidie kazi ya hizi arvs mwilini mwa binadamu napenda kuelewa deception
 
plz ebu nisaidie kazi ya hizi arvs mwilini mwa binadamu napenda kuelewa deception
ARVs hazina kazi yoyote ya maana mwilini zaidi ya hasara tu.ARVs ndizo zinazosababisha UKIMWI kwa wale wanaozitumia kwa muda mrefu.Pole sana kama elimu hii itakwenda kinyume na unachokijua sasa,lakini huo ndio ukweli,dunia hii haiko kama uijuavyo,kuna mambo mengi uyajuayo sasa ni ya Uongo sana zaidi ya hili la HIV.
 
ARVs hazina kazi yoyote ya maana mwilini zaidi ya hasara tu.ARVs ndizo zinazosababisha UKIMWI kwa wale wanaozitumia kwa muda mrefu.Pole sana kama elimu hii itakwenda kinyume na unachokijua sasa,lakini huo ndio ukweli,dunia hii haiko kama uijuavyo,kuna mambo mengi uyajuayo sasa ni ya Uongo sana zaidi ya hili la HIV.
asante mkuu ubarikiwe..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom