mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Nimegusia ugonjwa wa kansa ambao hadi leo, pamoja na kuua watu wengi, haujapata kinga. Hauwezi kupata kinga kwa kuwa kirusi chake hakijagunguliwa.
Deception, ni hakika HIV)AIDS imekuwa IMANI. Imekuwa imani kwa kuwa toka mwanzo wake inahusiswa na kifo (hakuna tiba) na ati inaambukizwa kwa kujamiiana! Uwongo mtupu kisayansi hadi sasa.
Deception, ni hakika HIV)AIDS imekuwa IMANI. Imekuwa imani kwa kuwa toka mwanzo wake inahusiswa na kifo (hakuna tiba) na ati inaambukizwa kwa kujamiiana! Uwongo mtupu kisayansi hadi sasa.