Tangu Deception aanze kampeni yake kuhusu UKIMWI, kuna yeyote humu ndani ambaye amemuamini?

Nimegusia ugonjwa wa kansa ambao hadi leo, pamoja na kuua watu wengi, haujapata kinga. Hauwezi kupata kinga kwa kuwa kirusi chake hakijagunguliwa.

Deception, ni hakika HIV)AIDS imekuwa IMANI. Imekuwa imani kwa kuwa toka mwanzo wake inahusiswa na kifo (hakuna tiba) na ati inaambukizwa kwa kujamiiana! Uwongo mtupu kisayansi hadi sasa.
 
Mkuu ujue haya mambo ni suala la logic tu.Nitasema kwa ufupi....kwamba makundi yote haya mawili,yaani lile la 1 na lile la 3,yanajua kwamba AIDS haisababishwi na retrovirus aliyepewa jina la HIV.Sasa kwa kuwa huo ndio ukweli,basi kimantiki,jina la HIV linakosa maana yake,yaani kama hicho kirusi kilichopewa jina la 'HIV' hakina tabia inayoakisi jina hilo basi jina lenyewe linakosa maana.Yaani ni sawa na wewe kuniita mimi ng'ombe,wewe kuniita mimi jina hilo haina maana kwamba mimi ndio nimeshakuwa ng'ombe au nina sifa ya ng'ombe,la hasha,ni jina tu ambalo wewe umeamua kunipa kutokana na sababu unazozijua wewe.Sasa hili kundi lingine linaposema hakuna kabisa HIV,liko sahihi kabisa kwa maana hiyo hapo juu......lakini lile kundi lingine lina bypass maana ya HIV na badala yake wanatumia abbreviation hii ya HIV kama jina tu alilopewa retrovirus....pia na kundi hili wanajua wazi kabisa kwamba huyo HIV hakuwahi kutolewa moja kwa moja kutoka kwa mtu anayeshukiwa kuwa naye....na huo ndio ukweli.Sasa hapa kuna wale wanaodadavua HIV kama jina tu na wale wanaodadavua HIV kama maana yake ilivyo kwa kirefu....wote wako sahihi.


Mkuu Deception, thanks kwa kuifafanua logic hiyo. Nimejifunza kitu hapo.

Ila naona MD wetu From Sir With Love kakimbia na kuususia mjadala huu.

-Kaveli-
 
Sir with Love: nashukuru kuwa tayari kufanya "exclusive interview" na 'deception'.

Hili suala la HIV/AIDS ni nyeti kwa kuwa linagusa kila nyanja ya maisha yetu kiuchumi, kisiasa, kijamaii nk.

Naamini wewe na 'deception' mnatuma tafiti za wanasayansi waliobobea katika utafiti na kuweka tafiti zao kwenye majarida au hufikisha kwenye makongamano.

Kama mmoja wenu amejihusisha katika tafiti ya HIV/AIDS atupe kwa ufupi tu matokeo ya kazi yake.

Hasa "interviews" hizi zinatoa maswali mengi kuhusu HIV/AIDS:





Mkuu Mwengeso umetumia factor gani ku upload hizi video! Maana nimejaribu sana kuzileta humu naambiwa zina bit nyingi, nabwaga manyanga.
 
Huyu jamaa kwa muda mrefu amekuwa akieleza kuwa hakuna UKIMWI wala HIV bali ni hoax flani hivi iliyoanzishwa na watu ilikupiga hela. Kwa maana wauze ARV ila hakuna cha UKIMWI wala nini.

Hamaanishi kuwa ukimwi umetengenezwa ili wauze dawa bali hakuna hata huo ugonjwa.

Mimi huwa ninachojiulizaga ''ni kweli huyu jamaa yuko tayari kuchukua damu ya mtu ambaye sisi tunaamini ana HIV na viral load ya kutosha tumchome yeye Deception au tumchukue mdada mwenye ngoma halafu apige bila condom?''

kwa kweli mimi simuamini,wenzangu nyie vipi?
Kama yeye ana ngoma hawezi kuogopa sindano yenye damu yenye HIV+.
 
Mkuu Deception, thanks kwa kuifafanua logic hiyo. Nimejifunza kitu hapo.

Ila naona MD wetu From Sir With Love kakimbia na kuususia mjadala huu.

-Kaveli-
Nafikiri labda ametingwa na majukumu,anaweza kurudi baada ya muda,tuvute subra.Lakini mimi nilimtaka sana kaka yake mkuyati,From Sir With Love hajui hata basics,sasa mkuyati akija ndio itakuwa vizuri,kwa maana nikimnyoosha yeye waziwazi itasaidia wengine kujua kwamba hawa ma MD wetu hawajui ukweli.wa suala hili.Lakini tatizo ni kwamba huwa hawaendelei na kumaliza hoja,wanapoona Maji yako shingoni wanakimbia halafu wanarudi pale hoja inapobadilika......wameshindwa kujibu maswali yote yenye utata...sasa nataka watu waniulize mimi maswali yote ambayo wao wanadhani yana utata nami nitayajibu kwa ufasaha kabisa,kama mtu akishindwa kuelewa basi nabwaga manyanga kwa maana mtu huyo HIV/AIDS kwake itakuwa ni kama IMANI.
 
Sasa hapa inabidi uwaulize kwamba,kuna njia gani wanaitumia kujua kwamba mama huyu mjazito amepata majibu false +?jibu ni kwamba HAKUNA...so long as hali ya ujauzito ndio imesababisha majibu positive,basi ataendelea kutest hivyo kwa muda mrefu mpaka hali itakapobadilika,sasa kwa muda huo wote hawa ma MD na manesi wetu hawana subira,lazima watamwaznishia dozi tu,na baya zaidi sasa hivi hakuna kusubiri,ukipata majibu + papo hapo unapewa zigo la ARVs,unajua kwanini wamefanya hivyo?Kuna sababu hapa nikipata muda nitaeleza baadaye......ndio maana niliwahi kusema kwamba there is no way to test for HIV....na kama watu wangekuwa wepesi kuelewa wangejua kwamba hata hicho kitu kinachoitwa 'false positive' hakipo,ni fiction tu,ili kuwepo na false positive lazima kuwepo na true positive...sasa kama hakuna hata hiyo true positive utawezaje kuwa na false positive?



Mkuu hili suala sio kizungumkuti kabisa....wafundishwaji wenyewe ndio kizungumkuti...yaani pamoja na evidence zote hizo tena nyingine zinatoka kwa haohao wagunduzi,lakini bado unaliona kizungumkuti?Yale mambo ambayo watu wanayaona yana utata si kweli kwamba yana utata...ukiamua kuelewa unaelewa tu kirahisi sana...tatizo watu wameshakuwa brainwashed tayari kwa muda mrefu kiasi kwamba wanalichukulia suala hili kama IMANI...na ndio maana wanakuwa wagumu kuelewa ukweli.
Hivi mkuu kwani wapimaji wa HIV wanajuaje kwamba huyu ana HIV na huyu hana? Maana nasikia kuna vifaa vidogo vinavyotumika kupimia HIV, damu inadondoshwa kwenye kifaa hicho na kisha mpimaji anadondoshea matone ya dawa kwenye kidude hicho chenye damu na kisha anasuburi kwa muda wakati dawa hiyo ikijichanganya na damu na baada ya muda sijui kuna mstari wa kijani sijui mwekundu ambao damu ikionekana hapo basi ana-conclude kwamba wewe ni ve+ au ve- tena bila kuchungulia kwenye mashine wala nini. Yaani inavyoonekana ni kwamba vijidudu hivyo vinavyoitwa HIV havijulikani hata na wanaopima ugonjwa huo. Je, kuna namna ambayo wataalamu wa MD wanayotumia kuviona vijidudu hivyo?
 
Hivi mkuu kwani wapimaji wa HIV wanajuaje kwamba huyu ana HIV na huyu hana? Maana nasikia kuna vifaa vidogo vinavyotumika kupimia HIV, damu inadondoshwa kwenye kifaa hicho na kisha mpimaji anadondoshea matone ya dawa kwenye kidude hicho chenye damu na kisha anasuburi kwa muda wakati dawa hiyo ikijichanganya na damu na baada ya muda sijui kuna mstari wa kijani sijui mwekundu ambao damu ikionekana hapo basi ana-conclude kwamba wewe ni ve+ au ve- tena bila kuchungulia kwenye mashine wala nini. Yaani inavyoonekana ni kwamba vijidudu hivyo vinavyoitwa HIV havijulikani hata na wanaopima ugonjwa huo. Je, kuna namna ambayo wataalamu wa MD wanayotumia kuviona vijidudu hivyo?
swali nzuri hata mimi linanichanganyaga ebu wajuzi watatujuza... pia na napenda watujeze wanajuaje cd4 za mtu zimeshuka
 
MBONA WATU WANAKUFA NA MAGONJWA KAMA MAGONJWA YOTE YANATIBA? ACHA UPUMBAVU
Wewe ndio mjinga, kufa lazima tufe hakuna atakae baki na ugonjwa ni sababu tuu ya kifo cha mtu ili msije sema UCHAWI maana hamkawii.Kila ugonjwa una tiba yake na kikitokea kifo sio kwamba ugonjwa ndio uliomuua bali ni sababu tu ANAYEFISHA NI MWENYE-EZI MUNGU TUUU.
 
Deception acha kupotosha jamii. Unaposema matumizi ya mara kwa mara ya madawa hospitali unazungumzia nini? Mara kwa mara unaipima vipi? Mara kwa mara ni ngapi? Siku, mwezi, wiki au miaka mingapi?

Hivi unaelewa kila dawa duniani ina benefits vs risks? Achana na dawa. Leo kapige mayai yaliyochemshwa kama kumi hivi, halafu leta mrejesho wake. Mayai ni dawa? mbona yamekupa effects. Hakuna dawa duniani haina madhara na kwa kawaida dawa kabla haijaenda kwa mlaji lazima ipitie regular stages of testing kuanzia wanyama na hata binadamu wa race tofauti ndiyo iwe released ili iwe na less na less toxicity. Unapopewa dawa na Dk. akakuambia unywe maji mengi, hatungi haya mambo maji yanasaidia dawa iliyobaki itoke mwilini kupitia mkojo au vinginevyo ili madhara yasiwepo.

Huwezi ukasema uzazi wa mpango unasababisha AIDS. Acha basi kujifanya unajua wakati hujui. Mpaka Antibiotics zinasababisha AIDS. ahh basi mkuu nimenyanyua mkono.:p:p:p:p. Ama kweli ndiyo maana unasema HIV haipo. Umepeleka kesi kusingizia dawa.



Deception acha kuandika kitu usichokifahamu. Ugonjwa wa ngozi wa Vitiligo hauna dawa. Hakuna dawa ambayo inaweza kusimamisha process ya Vitiligo. Hakuna na hakuna dawa inayoweza kurudisha celi za melanocytes, hakuna acha kupotosha. Dawa zilizopo ni za kuimprove skin appearance. Nenda kaangalie hawa mastaa wote jinsi Vitiligo inavyowaathiri, halafu njoo uelezee kwanini hawaponi na hela zao zote. 18 Celebrities with Vitiligo
wewe ndo unapotosha jamii kwa mambo uliokariri.
 
Deception acha kupotosha jamii. Unaposema matumizi ya mara kwa mara ya madawa hospitali unazungumzia nini? Mara kwa mara unaipima vipi? Mara kwa mara ni ngapi? Siku, mwezi, wiki au miaka mingapi?

Hivi unaelewa kila dawa duniani ina benefits vs risks? Achana na dawa. Leo kapige mayai yaliyochemshwa kama kumi hivi, halafu leta mrejesho wake. Mayai ni dawa? mbona yamekupa effects. Hakuna dawa duniani haina madhara na kwa kawaida dawa kabla haijaenda kwa mlaji lazima ipitie regular stages of testing kuanzia wanyama na hata binadamu wa race tofauti ndiyo iwe released ili iwe na less na less toxicity. Unapopewa dawa na Dk. akakuambia unywe maji mengi, hatungi haya mambo maji yanasaidia dawa iliyobaki itoke mwilini kupitia mkojo au vinginevyo ili madhara yasiwepo.

Huwezi ukasema uzazi wa mpango unasababisha AIDS. Acha basi kujifanya unajua wakati hujui. Mpaka Antibiotics zinasababisha AIDS. ahh basi mkuu nimenyanyua mkono.:p:p:p:p. Ama kweli ndiyo maana unasema HIV haipo. Umepeleka kesi kusingizia dawa.



Deception acha kuandika kitu usichokifahamu. Ugonjwa wa ngozi wa Vitiligo hauna dawa. Hakuna dawa ambayo inaweza kusimamisha process ya Vitiligo. Hakuna na hakuna dawa inayoweza kurudisha celi za melanocytes, hakuna acha kupotosha. Dawa zilizopo ni za kuimprove skin appearance. Nenda kaangalie hawa mastaa wote jinsi Vitiligo inavyowaathiri, halafu njoo uelezee kwanini hawaponi na hela zao zote. 18 Celebrities with Vitiligo
Mkuu hakuna ugonjwa usio na tiba acheni mambo mliokariri kwenye vitabu vya wazungu ambao ni binadamu wenzenu.Magonjwa yote yana tiba isipokuwa kifo.
 
Mkuu wewe ni ignorant sana.

Unafikiri unajua lakini hujui.

Unacheza tu na maneno wala huprove chochote. Umekalia tu ulichoaminishwa na you tube.

Watu wamekuacha wee, ukaona upo sahihi kukalia you tube.

Umekalia tu isolation na purification.

Ukienda maabara kucheck ugonjwa huwa unawaambia wafanye isolation na purification?

Acha kupotosha jamii.

Credible researchers hawawezi kukaa hapa na kubishana na wewe. Ndiyo maana watu wapo kimya. Sio kwamba upo right.

Nipe credible researchers wa 2016 anayesema HIV haipo. Achana na scientist wako wa miaka ya themanini.
Kuna kirusi mwingine kagundulika recently?
 
nipe TIBA YA UKIMWI,CANCER na EBORA?

1.Ukimwi si ugonjwa....hivyo unatakiwa kujua suala hili ambalo ni very basic
2.Sio EBORA ni EBOLA.....hata hivyo hakuna ugonjwa kama huo,EBOLA ni fiction tu
3.Cancer ni ugonjwa halisi,sasa hapa ndio naweza kukujibu.Ili uelewe kuhusu cancer na tiba yake,ingia kwenye link hii hapa chini.....

Hidden cancer cures
 
Me nilisomaga ile thread nzima na mwisho wa siku nikajikuta naamini hoja za deception, na sijawahi kuwa huru na amani kiasi hiki katika maisha yangu. Na nina imani baada ya miaka 20 story za ukimwi zitakuwa nadra sana km bikra uswahilini

NB. Me sio doctor na kujieleza siwezi, so msianze kurundika maswali kwangu
 
ndugu yangu mmoja alipima wakati wa ujauzito akakutwa ni + akaanza kua anagawa ovyo utamu wake, kunajamaa akawa ndio anakula na kusaza apo kwa uyo ndugu yangu, kunasiku jamaa ikabidi nimueleze hali alisi ya huyo ndugu yangu, jamaa alishangaa sana ikabidi aende kupima tena kwa miezi mitatu mitatu, madactari hawaoni kitu na jamaa yuko -
najiuliza pia je kaukosaje mana huyo dem alikua hatumii dozi na walibaatika kuzaanae.?

mwingine pia ana wake wawili ajabu mke mkubwa kila baada ya miezi3 anapima na hana kitu, ila mwanaume na mke mdogo ni wagonjwa, japo saizi lila mtu analala kivyake ila napata maswali mengi sana juu ya huu ugonjwa asee.
mhh????????
 
Me nilisomaga ile thread nzima na mwisho wa siku nikajikuta naamini hoja za deception, na sijawahi kuwa huru na amani kiasi hiki katika maisha yangu. Na nina imani baada ya miaka 20 story za ukimwi zitakuwa nadra sana km bikra uswahilini

NB. Me sio doctor na kujieleza siwezi, so msianze kurundika maswali kwangu

napita mkuuuuuu maana hutaki maswali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom