Tangu Chadema ianze kugombea Urais wa JMT Lowassa ndio aliongoza Wabunge wengi, kisha Dr Slaa, Mbowe na mwisho Tundu Lisu

Tangu Chadema ianze kugombea Urais wa JMT Lowassa ndio aliongoza Wabunge wengi, kisha Dr Slaa, Mbowe na mwisho Tundu Lisu

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,521
Chadema ilianza kugombea Urais wa JMT. Mwaka 2005 kabla ya hapo waliokuwa wanamuumga mkono Prof. Lipumba wa CUF

Kumbukumbu za Chadema zinaonyesha 2010 Dr Slaa alifanikiwa kuingiza Jumla ya Wabunge 48 wakiwemo wa viti maalumu.

2015 Lowassa aliingiza Wabunge wa kuchaguliwa 34 na viti maalumu 36 Jumla 70.

2020 Tundu Lisu aliingiza mbunge mmoja wa kuchaguliwa na 19 wa viti maalumu Jumla 20.

Ikumbukwe kuwa ubora wa Wagombea Urais wa JMT husaidia kupata Wabunge wengi kwenye majimbo.

Mungu ni mwema wakati wote.
 
Chadema ilianza kugombea Urais wa JMT.mwaka 2005 kabla ya hapo waliokuwa wanamuumga mkono Prof.Lipumba wa CUF

Kumbukumbu za Chadema zinaonyesha 2010 Dr Slaa alifanikiwa kuingiza Jumla ya Wabunge 48 wakiwemo wa viti maalumu

2015 Lowassa aliingiza Wabunge wa kuchaguliwa 34 na viti maalumu 36 Jumla 70

2020 Tundu Lisu aliingiza mbunge mmoja wa kuchaguliwa na 19 wa viti maalumu Jumla 20

Ikumbukwe kuwa ubora wa Wagombea Urais wa JMT husaidia kupata Wabunge wengi kwenye.majimbo

Mungu ni mwema wakati wote
Ni kwa sababu wanatofautiana ubora wa siasa. Wewe angalia hata mahudhurio ya wapiga kura wao katika mikutano yao ya uchaguzi mkuu. Hapa juu picha ya kwanza ni mkutano wa dr Slaa katika uchaguzi mkuu mwaka 2010. Picha ya pili ni mkutano wa Lowasa katika uchaguzi mkuu 2015. Picha ya tatu mkutano wa Lisu alipotoka ulaya, katika mkutano wa uchaguzi mkuu 2020. Chini ni Mbowe na yeye halikadhalika katika mkutano wake wa kuomba kura sehem fulani. So kila picha ukibonyeza na kuifungua utaona mahudhurio ya wapiga kura wao wa uraisi na ubunge.
download (2).jpeg
images (84).jpeg
images (7).jpeg
images (19) (1).jpeg
 
Bila Mbowe kukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo na busara (judgement error) mwaka 2015 ya kumpokea Lowassa kama mgombea, mwaka 2025 CHADEMA ingechukua nchi kiurahisi sana.

Lakini kosa lile moja tu litaicost CHADEMA miaka mingine 30 kufikia ilipokuwa imefikia; sasa hivi wanamongonyoka tu, na Mbowe safari za Ikulu imekuwa ndiyo mtaji tu. Uongozi wa kisiasa huhitaji hekima na uvumilivu sana, ambayo Mbowe hana. Akibanwa, anataka kutatua kwa fujo bila hata kuangalia sheria zinasemaje.

Tangu CHADEMA ilipopoteza uanachama wangu, itabidi wafanye kazi kubwa sana ya kumtafuta Kichuguu mwingine kama mmoja wa wapiga debe wao wakuu kabla hawajafikia kiwango cha kuingia Ikulu tena. Mbowe kaiharibu sana CHADEMA ambayo alikabidhiwa na waasisi waliokuwa watu makini sana akina Edwin Mtei na Bob Makani
 
Chadema ilianza kugombea Urais wa JMT.mwaka 2005 kabla ya hapo waliokuwa wanamuumga mkono Prof.Lipumba wa CUF

Kumbukumbu za Chadema zinaonyesha 2010 Dr Slaa alifanikiwa kuingiza Jumla ya Wabunge 48 wakiwemo wa viti maalumu

2015 Lowassa aliingiza Wabunge wa kuchaguliwa 34 na viti maalumu 36 Jumla 70

2020 Tundu Lisu aliingiza mbunge mmoja wa kuchaguliwa na 19 wa viti maalumu Jumla 20

Ikumbukwe kuwa ubora wa Wagombea Urais wa JMT husaidia kupata Wabunge wengi kwenye.majimbo

Mungu ni mwema wakati wote
Ni kweli kabisa. Lakini je na mazingira yalikua sawasawa kwa wagombea hao wote? Au yalikua tofauti?
 
Nikweli Mgombea wa Urais huwabeba Wabunge na Madiwani pia Lakini 2015 CDM kupata Wabunge wengi, nadhani Sababu kuu ni ule Muunganiko wao Maarufu UKAWA, huu ulichagiza Sana kwa Vile vyama vinne kuunganisha Nguvu hali iliyopelekea kura zao kutogawanyika, Sasa huwezi kulinganisha Chaguzi ya 2015 na 2010 au 2020 Ni tofauti Mno kwa Muktadha huu. Ahsante
 
Chadema ilianza kugombea Urais wa JMT.mwaka 2005 kabla ya hapo waliokuwa wanamuumga mkono Prof.Lipumba wa CUF

Kumbukumbu za Chadema zinaonyesha 2010 Dr Slaa alifanikiwa kuingiza Jumla ya Wabunge 48 wakiwemo wa viti maalumu

2015 Lowassa aliingiza Wabunge wa kuchaguliwa 34 na viti maalumu 36 Jumla 70

2020 Tundu Lisu aliingiza mbunge mmoja wa kuchaguliwa na 19 wa viti maalumu Jumla 20

Ikumbukwe kuwa ubora wa Wagombea Urais wa JMT husaidia kupata Wabunge wengi kwenye.majimbo

Mungu ni mwema wakati wote
Na weye unahesabu mwaka 2020 kulikuwa na uchaguzi?Umeshiba mapera ya Mtwivila si bure!
 
Bila Mbowe kukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo na busara (judgement error) mwaka 2015 ya kumpokea Lowassa kama mgombea, mwaka 2025 CHADEMA ingechukua nchi kiurahisi sana. Lakini kosa lile moja tu litaicost CHADEMA miaka mingine 30 kufikia ilipokuwa imefikia; sasa hivi wanamongonyoka tu, na Mbowe safari za Ikulu imekuwa ndiyo mtaji tu. Uongozi wa kisiasa huhitaji hekima na uvumilivu sana, ambayo Mbowe hana. Akibanwa, anataka kutatua kwa fujo bila hata kuangalia sheria zinasemaje. Tangu CHADEMA ilipopoteza uanachama wangu, itabidi wafanye kazi kubwa sana ya kumtafuta Kichuguu mwingine kama mmoja wa wapiga debe wao wakuu kabla hawajafikia kiwango cha kuingia Ikulu tena. Mbowe kaiharibu sana CHADEMA ambayo alikabidhiwa na wassisi waliokuwa watu makini sana akina Edwin Mtei na Bob Makani
Sasa, umeanza kuandika upuuzi.Yaani weye uwe mkubwa kuliko chama?Teh!
 
Chadema ilianza kugombea Urais wa JMT.mwaka 2005 kabla ya hapo waliokuwa wanamuumga mkono Prof.Lipumba wa CUF

Kumbukumbu za Chadema zinaonyesha 2010 Dr Slaa alifanikiwa kuingiza Jumla ya Wabunge 48 wakiwemo wa viti maalumu

2015 Lowassa aliingiza Wabunge wa kuchaguliwa 34 na viti maalumu 36 Jumla 70

2020 Tundu Lisu aliingiza mbunge mmoja wa kuchaguliwa na 19 wa viti maalumu Jumla 20

Ikumbukwe kuwa ubora wa Wagombea Urais wa JMT husaidia kupata Wabunge wengi kwenye.majimbo

Mungu ni mwema wakati wote
Unaongelea uchaguzi upi huo Lisu aliingiza Mbunge mmoja? maana kama ni WA 2020, Chadema haikupata hata mbunge mmoja kihalali, kutokana na ujambazi uliofanywa na CCM, huyo mmoja walimpa baada ya kugundua "wamekimbia mpaka wamepitiliza kwao" wakaja kugundua eeeh kumbe wanahitaji kambi ya upinzani bungeni.

Kwa akili za ccm unakuta kwenye jimbo kura za uraisi za Chadema ni nyingi kuliko alizopewa Mbunge wa chadema! yaani watu walimpa kura Mbowe, harafu wote hawakumpa kura Mbunge wa chadema!

Hivi nyie CCM huwa hamna akili au ni vilaza tu?
 
Na weye unahesabu mwaka 2020 kulikuwa na uchaguzi?Umeshiba mapera ya Mtwivila si bure!
Sasa hizo chaguzi zengine ambazo walikuwa wanabalance ndio ulikuwa unaona ni uchaguzi ila 2020 ndio unaona si uchafuzi? Wengine tulishaona uchaguzi wa Tanzania si uchaguzi bali ni ujinga ujinga tu ndio wengine tuliacha kushiriki uchaguzi wa aina hiyo kabla hata ya 2020.
 
Unaongelea uchaguzi upi huo Lisu aliingiza Mbunge mmoja?maana kama ni WA 2020,Chadema haikupata hata mbunge mmoja kihalali,kutokana na ujambazi uliofanywa na ccm,huyo mmoja walimpa baada ya kugundua "wamekimbia mpaka wamepitiliza kwao"wakaja kugundua eeeh kumbe wanahitaji kambi ya upinzani bungeni,
Kwa akili za ccm unakuta kwenye jimbo kura za uraisi za Chadema ni nyingi kuliko alizopewa Mbunge wa chadema!!yaani watu walimpa kura Mbowe,harafu wote hawakumpa kura Mbunge wa chadema!!!
Hivi nyie ccm huwa hamna akili au ni vilaza tu?
Hayo ni matokeo ya kuridhika na zile chaguzi za hila zenye kufanywa na ccm kwenye miaka yote kisa tu watu fulani wao walikuwa wanashinda na kuingia bungeni, 2020 mnasema haukuwa uchaguzi bali uchafuzi ila kama huo uchafuzi utaendelezwa 2025 basi mtauzowea tu kama mlivyozowea zile chaguzi zengine ambazo ccm ilikuwa lazima ishinde kivyovyote vile uchaguzi mkuu.
 
Je, mazingira ya kisiasa waliyopambana hao watu wote yalilingana?

Support waliyopata hao wagombea zililingana?
 
Chadema ilianza kugombea Urais wa JMT.mwaka 2005 kabla ya hapo waliokuwa wanamuumga mkono Prof.Lipumba wa CUF

Kumbukumbu za Chadema zinaonyesha 2010 Dr Slaa alifanikiwa kuingiza Jumla ya Wabunge 48 wakiwemo wa viti maalumu

2015 Lowassa aliingiza Wabunge wa kuchaguliwa 34 na viti maalumu 36 Jumla 70

2020 Tundu Lisu aliingiza mbunge mmoja wa kuchaguliwa na 19 wa viti maalumu Jumla 20

Ikumbukwe kuwa ubora wa Wagombea Urais wa JMT husaidia kupata Wabunge wengi kwenye.majimbo

Mungu ni mwema wakati wote
Mwaka 2005 bado chama chenye nguvu ilikua ni CUF, 2010 CHADEMA ndio ilikua imeshaanza kujitanua vizuri, 2015 LOWASA alishinda.

Hiyo 2020 unaanzaje kuita ni uchaguzi?
 
Bila Mbowe kukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo na busara (judgement error) mwaka 2015 ya kumpokea Lowassa kama mgombea, mwaka 2025 CHADEMA ingechukua nchi kiurahisi sana. Lakini kosa lile moja tu litaicost CHADEMA miaka mingine 30 kufikia ilipokuwa imefikia; sasa hivi wanamongonyoka tu, na Mbowe safari za Ikulu imekuwa ndiyo mtaji tu. Uongozi wa kisiasa huhitaji hekima na uvumilivu sana, ambayo Mbowe hana. Akibanwa, anataka kutatua kwa fujo bila hata kuangalia sheria zinasemaje. Tangu CHADEMA ilipopoteza uanachama wangu, itabidi wafanye kazi kubwa sana ya kumtafuta Kichuguu mwingine kama mmoja wa wapiga debe wao wakuu kabla hawajafikia kiwango cha kuingia Ikulu tena. Mbowe kaiharibu sana CHADEMA ambayo alikabidhiwa na wassisi waliokuwa watu makini sana akina Edwin Mtei na Bob Makani
we unaumwa
 
Mwaka 2005 bado chama chenye nguvu ilikua ni CUF, 2010 CHADEMA ndo ilikua imeshaanza kujitanua vizuri, 2015 LOWASA alishinda.
Hiyo 2020 unaanzaje kuita ni uchaguzi?
Chaguzi za miaka yote ni kwamba uchaguzi mkuu lazima ccm ndio atangazwe mshindi kwa vyovyote vile kwa kutumia hila zote ila tulishazowea uchaguzi wa aina hiyo haukuitwa uchafuzi kisa tu watu fulani walikuwa wanapata nafasi ya kuingia bungeni.
 
Bila Mbowe kukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo na busara (judgement error) mwaka 2015 ya kumpokea Lowassa kama mgombea, mwaka 2025 CHADEMA ingechukua nchi kiurahisi sana. Lakini kosa lile moja tu litaicost CHADEMA miaka mingine 30 kufikia ilipokuwa imefikia; sasa hivi wanamongonyoka tu, na Mbowe safari za Ikulu imekuwa ndiyo mtaji tu. Uongozi wa kisiasa huhitaji hekima na uvumilivu sana, ambayo Mbowe hana. Akibanwa, anataka kutatua kwa fujo bila hata kuangalia sheria zinasemaje. Tangu CHADEMA ilipopoteza uanachama wangu, itabidi wafanye kazi kubwa sana ya kumtafuta Kichuguu mwingine kama mmoja wa wapiga debe wao wakuu kabla hawajafikia kiwango cha kuingia Ikulu tena. Mbowe kaiharibu sana CHADEMA ambayo alikabidhiwa na wassisi waliokuwa watu makini sana akina Edwin Mtei na Bob Makani
Bavicha watakushambulia
 
Back
Top Bottom