Tangu apate ujauzito Hataki tufanye mapenzi

Tangu apate ujauzito Hataki tufanye mapenzi

Huwa naenda nae clinic, na wakati anaaza clinic nilimuuliza dr na dr alisema ujauzito uko ok na kila k2 kipo normal anipe tu taratibu, but yeye hataki, kweli ni mbishi sana kwenye eneo hili, sometime najuta why nilitoa mahali mapema.

Shukuru unanyimwa hiyo maneno tuu!! Wengine tulipigwa ban kusogea hata alipo ila anataka akuone!! Ukiondoka kosa, ukiwepo kosa lakini tulivumilia mpaka mwisho!!

Kifupi vumilia ajifungue, we endelea kumjali tu kwa kila hali. Akijifungua akaendelea hivyo ujue hilo ni janga
 
Mpe elimu kuwa hawezi beba nyingine kabla hajajifungua hiyo, huenda anajua akikupa atapata mimba nyingine.
 
Kaka usijute wala usiahirishe kumuoa huyo mrembo! Naomba utambue k wamba hakuna atakayekuja hapa na jibu specific kuhusu issue yako. Bro ni hivi pregnancy is very complex kila mwanamke inamjia kivyake, mwingine anapenda ngono balaa, mwingine kwa mbaali sana, mwingine hataki kabisa, mwingine akimuona mmewe anaanza kukunja USO, misonyo kibao ukipanda kitandani yeye anashuka. Mwingine mmewe akiwa hayupo anachukua shati lake lenye jasho anaweka chini ya mto ndo alale. Mda mchache atakwambia kaniletee hiki Nina hamu nacho, unaweza kwenda tena mbali ukileta anagusa kidogo hali tena. Hizo kazi unazosema hafanyi sio amri yake ni hali ndio inayomfanya awe mvivu. La msingi unalotakiwa kufanya ni kumfanyisha mazoezi kwa kutembea nae umbali mrefu kidogo kumtayarisha awe shupavu wakati wa kujifungua. Akijifungua atarudi kwenye hali yake ya kawaida ila atakua bussy na mwanawe hilo lisikutishe m-support kwako huu utakua ni mda mzuri kwako kufanya mazoezi kwani hutaruhusiwa kujamiiana ila ni pale tu wakati wa kumzibua masikio na macho!
 
Muelewe mwenzio,kila mtu na style yake akiwa na mimba kuna wengine wanaupenda mchezo hatari akiwa na mimba wengine hawataki hata kuusikia,mwengine wanaweza kukuchukua mpaka basi...
 
Hahahah experience nyingine raha sana. ....


Shukuru unanyimwa hiyo maneno tuu!! Wengine tulipigwa ban kusogea hata alipo ila anataka akuone!! Ukiondoka kosa, ukiwepo kosa lakini tulivumilia mpaka mwisho!!

Kifupi vumilia ajifungue, we endelea kumjali tu kwa kila hali. Akijifungua akaendelea hivyo ujue hilo ni janga
 
ni ujauzito tu ndio unamfanya hivyo,wewe muoe,akishajifungua hata kuwa hivyo
 
Unalalamika wakati hata haujamuoa,kwa maelezo yako unaonekana ni muoga wa maisha. Umuache ili umuoe mwingine, na huyo mtoto akue bila baba? Na ukimuoa mwingine huyo ndio atakuchukia mpaka anajifungua,sababau atakuwa na historia yako tena atakufanyia makusudi, sasa cjui nae utamuacha!

Mimba ndivyo zilivyo,wanawake wengine wakiwa wajawazito, utakuta wanawapenda sana waume zao, wengine wanawachukia hata wakiwaona wanatema mate, wangine wako normal. Ila wakisha jifungua ile hali inaisha, hivyo mvumilie, ukipewa hiyo mimba hata dakiki 1 utazimia.
 
Back
Top Bottom