Tangazo la epuka michepuko


Pasco wa JF
 
Last edited by a moderator:
kwanza nae nackia ni carrier sasa kwann yeye hakuacha michepuko? Au ndo mtasema zipo njia nyingi za kuupata? Lakini michepuko ndo kila ki2
 

Acha wivu, ulitaka upewe ww
 
wanawake ndo wanajua mvuto wa mwanaume uko wapi. we mleta mada n
i mwanamke? hadi uone sura mbaya ya kibonde? au mwenzetu unavutiwa na jinsia moja. tena usisahau weka picha yako tuone unavyovutia.

Un muda gan toka umetoka mwezin dada debon
 
Sio tetesi, kibond na mkewe wanaishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi longtime kitambo, nadhani thats why amekubali kuwa balozi na alishaikubali hali yake thts why yuko happy
Hata mm hzo tetes nlizisikia muda mrefu sana,na lisemalwo lipo kama halpo laja,i second u
 
Mkuuu Ram hapo sasa umenena ukwel yule coz n n postv ndo maana amekubali kuwa baloz wao,nawao walilenga mtu wao lakn kwenye kusambaza ujumbe kama ujumbe hakustahl hata kdogo wato watoto kama kina Milard Ayo,hbaba, na celebrities kbao wenye ushawish mkubwa bt sio hyu jamaa na mpangilio mbovu wa meno yake
 
wanawake ndo wanajua mvuto wa mwanaume uko wapi. we mleta mada n
i mwanamke? hadi uone sura mbaya ya kibonde? au mwenzetu unavutiwa na jinsia moja. tena usisahau weka picha yako tuone unavyovutia.

Watu wanamchukia Kibonde kutokana na mapenzi yake kwa CCM na mchezo wake wa kuviponda vyama vya upinzani.
 

Huu ni utoto sasa!
 
Hahahaa na lile domo ndo kabisa akawa ameharibu tangazo
 
Kwahiyo ukiwa n sura ngumu kma mpoto lazma uhonge ili upendwe.kwel wanaume tuna kazi
 
Usikute kunamengine ambayo mtu akimuona kbondo anariflekti kichwani mwake km yapo semeni tu ...maana lile si tangazo tu wapendwa
 
Wamezingatia uhalisia wa mhusika. Yeye tayari anaishi kwa kutumaini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…