No way!, kinachomater kwenye tangazo its not look, its impact!. Tangazo lina a very big impact!, kwa sababu Kibonde ni public figure, well known, anauwezo wa kujieleza na anakubalika sana!.
Lingekuwa ni tangazo la kuuza bidhaa fulani, hapo ningekubaliana na wewe, use attractive face to draw attention ya mtazamaji, ndipo aione bidhaa yako!. Lile ni tangazo la "attitude change!", lazima lifanywe na mature person, public figure, local celeb, anayekubalika, atakayeleta impact kwa jamii!, Kibonde amefiti kwenye hizo idara zote!.
Mimi binafsi, Kibonde namkubali sana kama mtangazaji na ni mhamasishaji mzuri, tatizo lake, namuona kama mjinga mjinga fulani!, namna pekee ya kuuondoa huo ujinga ujinga fulani ni "kusoma vitabu!, kuongeza maarifa, au kwenda shule kuongeza elimu!", other wise katika idara nyingine zote yuko ok!.
Pasco.
Hawa jamaa cjui wametumia vigezo gani tu kumkabidhi ubalozi Ndugu Ephraim KIBONDE kutoa video advert ya tangazo hili ilihali dental formula yake haijakaa sawa na hana good visual kwa screen?
Mytake; Upande wa audio sawa saut yake ipo juu bt sio kwenye Video kila nkikiona hlo tangazo nachefuka sana wakuu,,,achen ukiritimba wapeni ubaloz watu waliojaliwa kuwa na muomekano mzur ili wawez kuwa mabaloz wazur wa kitu huska.
Nawasilisha wakuuu
wanawake ndo wanajua mvuto wa mwanaume uko wapi. we mleta mada n
i mwanamke? hadi uone sura mbaya ya kibonde? au mwenzetu unavutiwa na jinsia moja. tena usisahau weka picha yako tuone unavyovutia.
Hata mm hzo tetes nlizisikia muda mrefu sana,na lisemalwo lipo kama halpo laja,i second u
wanawake ndo wanajua mvuto wa mwanaume uko wapi. we mleta mada n
i mwanamke? hadi uone sura mbaya ya kibonde? au mwenzetu unavutiwa na jinsia moja. tena usisahau weka picha yako tuone unavyovutia.
Hawa jamaa cjui wametumia vigezo gani tu kumkabidhi ubalozi Ndugu Ephraim KIBONDE kutoa video advert ya tangazo hili ilihali dental formula yake haijakaa sawa na hana good visual kwa screen?
Mytake; Upande wa audio sawa saut yake ipo juu bt sio kwenye Video kila nkikiona hlo tangazo nachefuka sana wakuu,,,achen ukiritimba wapeni ubaloz watu waliojaliwa kuwa na muomekano mzur ili wawez kuwa mabaloz wazur wa kitu huska.
Nawasilisha wakuuu
Hahahaa na lile domo ndo kabisa akawa ameharibu tangazo
Un muda gan toka umetoka mwezin dada debon