ni muda gani watakuwa na fikra hizo? wao wanataka siasa za kusifiwa na kuonekana itv. toka mwanzo sikukubaliana na uamuzi wa kutoka mle ndani,nadhani kuna udikteta kwa wenyeviti na makatibu wakuu waliolazimisha jambo hili la kutoka,kama kuzomea na matusi wote walifanya,kama kauli ya lukuvi hata wao wana kauli mbovu nyingi tu zaidi ya wanawaita intarhamwe,ni upuuzi tu huu
UKAWA chondechonde, msitudanye sisi watu wazima. Niko tayari kuutetea ukweli huu hata aje nani. Kama mmeshindwa kuzuia wizi wa kura za katiba ya CCM, kwa wajumbe wenu 67 wa UKAWA, mtawezaje kuzuia wizi wa kura wa katiba hiyo itakapopigwa nchi nzima. Haiingii akilini mwangu na wala haitaingia, ukweli huu unabaki kama ulivyo.
Msituambie mnasubiri wananchi kuikataa. Mtalinda kura vipi nchi nzima wakati mmeshindwa kulinda za watu wenu 67. Nimekasirika sana. UKAWA mmekuwa kama siyo wanasiasa. Hamkuwa strategic enough kwa hilo la kuzuia wizi wa kura. Bora mnyamaze tu.
UKAWA chondechonde, msitudanye sisi watu wazima. Niko tayari kuutetea ukweli huu hata aje nani. Kama mmeshindwa kuzuia wizi wa kura za katiba ya CCM, kwa wajumbe wenu 67 wa UKAWA, mtawezaje kuzuia wizi wa kura wa katiba hiyo itakapopigwa nchi nzima. Haiingii akilini mwangu na wala haitaingia, ukweli huu unabaki kama ulivyo.
Msituambie mnasubiri wananchi kuikataa. Mtalinda kura vipi nchi nzima wakati mmeshindwa kulinda za watu wenu 67. Nimekasirika sana. UKAWA mmekuwa kama siyo wanasiasa. Hamkuwa strategic enough kwa hilo la kuzuia wizi wa kura. Bora mnyamaze tu.
UKAWA chondechonde, msitudanye sisi watu wazima. Niko tayari kuutetea ukweli huu hata aje nani. Kama mmeshindwa kuzuia wizi wa kura za katiba ya CCM, kwa wajumbe wenu 67 wa UKAWA, mtawezaje kuzuia wizi wa kura wa katiba hiyo itakapopigwa nchi nzima. Haiingii akilini mwangu na wala haitaingia, ukweli huu unabaki kama ulivyo.
Msituambie mnasubiri wananchi kuikataa. Mtalinda kura vipi nchi nzima wakati mmeshindwa kulinda za watu wenu 67. Nimekasirika sana. UKAWA mmekuwa kama siyo wanasiasa. Hamkuwa strategic enough kwa hilo la kuzuia wizi wa kura. Bora mnyamaze tu.
samahani naomba kuuliza,eti ukawa ndo nini?
Hamna story hapa, walichemka. Sasa angalia walivyomleta mtu wa NCCR wa Zanzibar anaugulia kwenye TV. wanawanasheria kibao, si wangechukua kiapo halafu wakichakachua wana-challenge kura za kupitisha katiba pendekezwa mahakamani. Hawa-kuwa strategic. nilishasema nikamalizaMkuu we noma kweli, hawa jamaa watakuja na story zao za kila siku, wakija kwangu mi nitawadunda mangumi kilo kumi, washamba kweli hawa jamaa.
Haya maoni yetu ni ngumi toshaMkuu we noma kweli, hawa jamaa watakuja na story zao za kila siku, wakija kwangu mi nitawadunda mangumi kilo kumi, washamba kweli hawa jamaa.
Toa utetezi wa kutosha kuhusu uwehu wanguWe stabiliza ni mwehu? Hata we unaweza kulinda,ila kama unaona yalofanyika bungeni kuwa sahihi bac we ni mmojawao.Hapana imeleta chuki nawatu kutishiwa maisha.Kwani kila mpiga kura nilazima aseme ndiyo?
jukumu la kuleta demokrsia ktk nchi sio jukumu la ukawa ni lako,sasa wafanyeje wako nje ya bunge,hivyo ni jukumu letu wananchi kupinga rasimu hiyo isije kwetu.....tatizo la nchi hii ni aina ya watu wake ambao sio watu wanaowajibika.