Wahitaji wa umeme ni wengi sana lakini hawawezi kulipia "Service Line" Busara ingetumika badala ya kugawa pesa hizi kwa wachache basi pawepo na "RUZUKU YA NGUZO" ili na walala hoi waoine mwanga wa umeme kabla Mwenyezi Mungu hajachukua maisha yao hapa duniani.