Tanesco yadaiwa billion 860 za umeme

Tanesco yadaiwa billion 860 za umeme

hazole1

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
4,319
Reaction score
3,919
b42e4b66367149c29b2fa7c841adc876.jpg
 
Hiyo ni pesa nyingi sana na sijui hiyo pesa italipwaje na wakati huo mpaka saizi serikali imeshindwa kuikomboa bombardier

Na sijajua kama hilo deni kama litashikana kulipwa je ni nini kitatokea.
 
Nani tena Anaidai Tanesco Yetu, mbona Tanesco walisema wao ndio wanawadai wateja wao na Mh.Rais akawaambia wawakatie umeme wasio lipa?
 
Na makampuni yanayo zalisha umeme na kuizia tanesco.
Kuna kampuni moja hivi nimeisahau jina kidogo tanesco wamewahi kuwaagiza mitambo ya kufua umeme wale jamaa waliileta mitambo na walipo ileta ile mitambo tanesco lile swala ndio wakalipeleka bungeni. na bunge likakataa kuinunua ile mitambo.
Na tanesco walicho sema ni kwamba wao wanasikiliza zaidi ushauri wa wanasiasa kuliko wataalamu.

Wale jamaa wakaondoka wakaenda kuiza ile mitambo nchi jirani na wakaenda mahakama ya kusuruhisha maswala ya kibiashara na tanzania kesi ikawashindwa ikaamuliwa tanzania walipe pesa nyingi sana.

Kisa kufuata maamuzi ya wanasiasa kuliko wataalamu.
 
Back
Top Bottom