Tanesco wampinga prof Mhongo waziwazi

Kajolijo

JF-Expert Member
May 30, 2016
3,364
4,612
Unaweza kusema kuwa sasa shirika la umeme nchini Tanesco limepingana na kauli za waziri alizotoa na kusema kuwa kamwe umeme hautapanda kwani tanesco wanajitosheleza, waziri huyo makini na ambae ni mtendaji kuliko siasa na ambae amekuwa akikaririwa na vyombo mbalimbali vya habari na kusema kuwa kukatika kwa umeme tanzania itakuwa historia amepingwa vikali na tanesco baada ya kuongeza umeme kuanzia mwakani
cc0ab2f174cff555d5d86eb1edc8470b.jpg
 
EWURA ni mzigo kwa watumiaji wa umeme hawawezi kututetea kabisa hivyo daima Tanesco watawatumia EWURA kutuumiza na kumpinga Waziri ukichukua EWURA wana %katika Malipo yetu
 
Back
Top Bottom