Tanesco wameshakata umeme

Tanesco wameshakata umeme

mwisho2016

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2016
Posts
724
Reaction score
625
Hawa watu wanamambo ya ajabu sana

Kama ni mvua hakuna DSM umeme unaenda wapi.

Umeme ni nishati muhimu isiyopaswa kuzima 24/7 ukikatwakatwa kuna adha za hatari sana
 
Utakuta mitambo imefeli harafu wao wamenyoosha miguu majumbani kwao.
 
Back
Top Bottom