Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
PPF
PPFmmiliki ni nani?
PPFmmiliki ni nani?
Hapo hakuna yumani fesi kabisa!Kwani tanesiko hawakumpigia kura?
Jumlisha na pesa ya kubomolea hapo, alafu hilo jengo kwa sasa thamani yake ni zaidi ya bilioni 20
Hatari ndugu hilo jengo halina tofali aisee ni nondo za hatari na zege kali chini mpaka juuThamani ya makisio ya 1998 ilikuwa billion 51 km sijakosea, Air condition iliyopo juu ya jengo inadhamani ya km billion 1.5 estimation
Uwe na usiri basi ha ha haKhaa!
Ni billion 2 mkuuThamani ya makisio ya 1998 ilikuwa billion 51 km sijakosea, Air condition iliyopo juu ya jengo inadhamani ya km billion 1.5 estimation
AiseeHili jengo likivunjwa narudisha cheti changu UDSM.Huu ni upumbavu na kamwe siwezi kukubaliana nao.
Unataka kusema kua"Tanesco; niwapangaji?Kwani lile Jengo lilikuwa la Tanesco au Lilikuwa limekodishwa na Tanesco.. Kwa kifupi Mwenye Umiliki wa Jengo lile siyo Tanesco Tanesco wanalipa Kodi hicho kilimuuzi Mkuu tangu akiwa Waziri...
Wangelikwepa mngesema mbona Kimara wakazi hawakuwakwepa, hamkosi jambo nyie.
Ndio maana nataka kujua hiyo tender atapewa nani na kwa utaratibu gani.Kwan lazima barabara inyooke??
Lakini kulikuwa na zuio la mahakama. Na kwa vile kesi bado iko mahakamani huwezi jua ushindi waweza kuwa kwenu na fidia ikalipwa. Hivyo sio sahihi kushabikia lile jengo kubomolewa kwa sababu zenu zilivunjwa, kufanya hivyo ni kuhalalisha kuwa kilichotendwa kwenu nacho kilikuwa sahihiLibomolewe tu mbona sisi za kwetu tumebomoa kwa maumivi makubwa.!
na uzuri kwenye hilo la road reserve halinaga figisu figisu kwa kuwa mita haiwezi kubadilishwa na kuwa centmeterUmenena hapo juu, mahakama ndo chombo cha kutolea haki, bila kupepesa macho hii ishu ya libomolewe au lisibomolewe ikienda mahakamani, saa mbili na robo asubuhi judge atasema toa hiyo kitu iko ndani ya hifadhi ya barabara.
Hapana mwenye jengo hakusaidia ficemKwani tanesiko hawakumpigia kura?
Aanh...sikujua hilo..kumbe lile jengo sio mali ya Tanesiko?Hapana mwenye jengo hakusaidia ficem