Sio tanesco tuu na nyumba zilizomo pembezoni mwa barabara ya morogoro zimepiga alama ya x kuanzia ubungo mataa hadi kimara mita 90
Kwani lile Jengo lilikuwa la Tanesco au Lilikuwa limekodishwa na Tanesco.. Kwa kifupi Mwenye Umiliki wa Jengo lile siyo Tanesco Tanesco wanalipa Kodi hicho kilimuuzi Mkuu tangu akiwa Waziri...Halafu wajenge tena kwa kodi zetu?? Huu ni upumbavu mkubwa
Alikuwa amekodi kwa nani? Term zao zilikuwejeKwani lile Jengo lilikuwa la Tanesco au Lilikuwa limekodishwa na Tanesco.. Kwa kifupi Mwenye Umiliki wa Jengo lile siyo Tanesco Tanesco wanalipa Kodi hicho kilimuuzi Mkuu tangu akiwa Waziri...
Khaa!Dog it Dog hyo inaitwa
Alikuwa amekodi kwa Mwenye Jengo ambayo kwa taarifa za kunyapia nyapia siyo Goverment...Alikuwa amekodi kwa nani? Term zao zilikuweje
Nmebadili MkuuKhaa!
Mkuu Akili sisi tunahoji ni nani huyo ambaye alitafuna mapesa yoote hayo kwa kipindi iko chooteAlikuwa amekodi kwa Mwenye Jengo ambayo kwa taarifa za kunyapia nyapia siyo Goverment...
Wewe ulitakaje?tuendelee kuvunja tu maana ndio tunacho kiweza, kubomoa