Shiraka hili la Umeme limeshindwa kazi Jama hapa Arusha imekua kero kila Siku ni kukata Umeme sasa wamekuja na staili Mpya ikifika saa mbili au tatu usiku wakata umeme kila Siku ukiwapigia Simu kutoa ripoti utasikia kuna Waya sehemu Fulani umekatika swali je huo Waya ni kila Siku unakatika? Na ni muda huo huo unakatika? Naomba jibu Tanesco