Naomba nielekeze kidogo
Katika mikataba hii ya sasa lazima upige 'capacity charge' hii inalipwa whether amezalisha, yuko idle, anakarabatiwa etc...lengo ni kuencourage investors,
Unaweza kuleta mtambo wa hela nyingi sana lakini muda uliouleta TANESCO mabwawa yamejaa na wanazalisha bila kuhitaji ziada labda kwaajili ya 'voltage improvement' tu! So kujilinda na hasara capacitY charge inawekwa...
Angalizo...si TZ tu..ni kote ulimwenguni!