kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Suala hili limekuwa la kawaida kila inapokuwepo mechi kubwa.
Mechi za Simba na Yanga mnakata umeme zikiwa zimebaki dakika chache kuanza kwa mechi,halafu ikishaanza,dakika kumi baadae mnaurudisha.
Hii ni dharau na ukiritimba uliopitiliza kwa wateja.Hata hamuogopi utawala wa sasa?
Wapenzi wa soka tuna hasira sana na ninyi.Haya maudhi tuliyazoea zamani kabla ya mh.Magu,lakini sasa mmeanza mazoea. Inasikitisha
Mechi za Simba na Yanga mnakata umeme zikiwa zimebaki dakika chache kuanza kwa mechi,halafu ikishaanza,dakika kumi baadae mnaurudisha.
Hii ni dharau na ukiritimba uliopitiliza kwa wateja.Hata hamuogopi utawala wa sasa?
Wapenzi wa soka tuna hasira sana na ninyi.Haya maudhi tuliyazoea zamani kabla ya mh.Magu,lakini sasa mmeanza mazoea. Inasikitisha