Hongera sana uongozi mpya wa Tanesco.mambo yanakwenda kisasa .nimeripoti ubovu wa mita wamebadilisha chini ya saa 24.zamani ingechukua miezi na mpaka utoe rushwa.kila kitu sasa tanesco ni digital online.hakuna tena ubabaishaji.ukiomba umeme leo kama vigezo vipo sahihi mara moja unafungiwa umeme.zile habari za kibabaishaji mara hakuna mita.mara hakuna nguzo.mara savea hana usafiri imekuwa historia.bajaji za tansco zinafuata wateja hakuna tena ile kero ya changia mafuta mara nauli nk.kwa ufanisi huu mlio onyesha naona Tanesco inakwenda kuwa moja ya mashirika ya umma yenye mafanikio makubwa karibuni.shirika sasa linaendeshwa kisasa yaani kidigitali zaidi