Eliphaz the Temanite
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 3,018
- 1,147
Leo umeme umekatika zaidi ya 7.. TAZARA KILIMO TEMEKE.... Unafungua computer unaaanza kufanya kazi dk 2 umeeenda kama mna matengenezo si mkate moja kwa moja.
Hiki ni kitu gani hiki... Jana pia maeneo ya Tabata hivi hivi.... On and offffff.... Muhongo sijui hata anasikiaga huko yuko busy na mkaa wa mawe..
Hiki ni kitu gani hiki... Jana pia maeneo ya Tabata hivi hivi.... On and offffff.... Muhongo sijui hata anasikiaga huko yuko busy na mkaa wa mawe..