ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,084
- 84,978
My Take
Kufikia 2030 ,zaidi ya 50% ya Watanzania watakuwa wanatumia Nishati safi ya umeme,gesi na mkaa Mbadala ambapo lengo la serikali ni kufikia 70% ya watu mwaka 2030.
DODOMA: SERIKALI imeliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) liharakishe mchakato wa kuwakopesha wateja wapya majiko ya umeme.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Dotto Biteko ametoa agizo hilo wakati wa uzinduzi wa programu ya utoaji majiko ya umeme kwa bei ya ruzuku kwa wafanyakazi 11,000 wa Tanesco.
Kufikia 2030 ,zaidi ya 50% ya Watanzania watakuwa wanatumia Nishati safi ya umeme,gesi na mkaa Mbadala ambapo lengo la serikali ni kufikia 70% ya watu mwaka 2030.
DODOMA: SERIKALI imeliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) liharakishe mchakato wa kuwakopesha wateja wapya majiko ya umeme.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Dotto Biteko ametoa agizo hilo wakati wa uzinduzi wa programu ya utoaji majiko ya umeme kwa bei ya ruzuku kwa wafanyakazi 11,000 wa Tanesco.