TANESCO: Kigamboni tumekosa nini jamani?

TANESCO: Kigamboni tumekosa nini jamani?

ngalyas_t

Senior Member
Joined
Dec 5, 2012
Posts
175
Reaction score
58
Ni takribani muda wa mwezi mmoja tangu mvua za masika zianze. Lakini kuanza kwa mvua naona imekuwa kama sababu kuu kwa TANESCO. Umeme hauna tena faida kwetu ni kama tunapewa ofa vile ya umeme. Kigamboni umeme ukwepo kwa siku mbili mfululizo wanaona kama kosa la jinai vile.

Nashindwa hata kujua kigamboni na baadhi ya maeneo ya Manispaa ya Temeke dau letu ni dogo au hatustahili kuwa umeme? Operation cost kigamboni zinapanda kwa sababu ya umeme. Vijiofisi vyetu imekuwa taabu kuviendesha.

Nakumbuka miezi ya january na february walikua na operation ya uboreshaji wa miundo mbinu, ilikua kiini macho au ????. Jamani kuweni serious kidogo japo hata tukipata kwa wiki mara tano sio mbaya lakini si kwa style hii. TANESCO amukeni bwana sio kila siku tuimbe nyinyi bwana mna boa.

Sijui pande za huko maeneo ya kwako mwana jf kukoje?
 
Ni takribani muda wa mwezi mmoja tangu mvua za masika zianze. Lakini kuanza kwa mvua naona imekuwa kama sababu kuu kwa TANESCO. Umeme hauna tena faida kwetu ni kama tunapewa ofa vile ya umeme. Kigamboni umeme ukwepo kwa siku mbili mfululizo wanaona kama kosa la jinai vile. Nashindwa hata kujua kigamboni na baadhi ya maeneo ya Manispaa ya Temeke dau letu ni dogo au hatustahili kuwa umeme? Operation cost kigamboni zinapanda kwa sababu ya umeme. Vijiofisi vyetu imekuwa taabu kuviendesha.
Nakumbuka miezi ya january na february walikua na operation ya uboreshaji wa miundo mbinu, ilikua kiini macho au ????. Jamani kuweni serious kidogo japo hata tukipata kwa wiki mara tano sio mbaya lakini si kwa style hii. TANESCO amukeni bwana sio kila siku tuimbe nyinyi bwana mna boa. Sijui pande za huko maeneo ya kwako mwana jf kukoje?

Vumilia.., hata sisi Tabata ilikuwa hivyo hivyo.., sasa hivi kuna vigogo wengi wanaishi huku so wameacha kukata.., yaan shwaar.., vuteni subra..
 
Vumilia.., hata sisi Tabata ilikuwa hivyo hivyo.., sasa hivi kuna vigogo wengi wanaishi huku so wameacha kukata.., yaan shwaar.., vuteni subra..
kigamboni imekuwa too much,kuna mtaa unaitwa tuamoyo yaan pale kuna laini ambayo ni pamoja na hospital ya kigamboni kwa kweli pale ni majanga matupu mpaka muda huu hakuna umeme,pamoja na kwamba ni laini ambayo inaunganisha eneo nyeti la hospitali lkn hakuna anayejali,haijawahi tokea siku ikaisha bila kukata umeme kwenye ile laini,mwenye namba zao za simu tafadhari anisaidie niwatwangie hawa washenzi maana hata matibabu watu hawayapati kisa umeme haupo hospitali
 
Musomakwetu hata ukiwapigia hawa jamaa majibu yaleyale ya siku zote kuwa tunamarekebiho ya miundombinu. Mm nipo office za kampuni jirani na branchi ya tanesco hapa kigamboni. Kila wanapokata ni lazima tuulize kuwa utarudi baada ya muda gani. Lakini majibu yao ni vichekesho kabisa. Yaani inafika mahala wanakatisha tamaa kabisa. Ukianagalia gharama za genereta ni kubwa. Kwa ujumla tanesco maeneo ya kigamboni naona wameshindwa kuwajibika.
 
tanesco imeshafilisika karibu arusha umeme full time
 
Vumilieni wanakigamboni, wazungu wakishahamia huko kutakuwa kama NYC.
 
Wauzieni vigogo maeneo wajenge huko shida ya umeme itakuwa historia.
 
Almost kila jpli lazima umeme ukatike siku nzima
 
Ni takribani muda wa mwezi mmoja tangu mvua za masika zianze. Lakini kuanza kwa mvua naona imekuwa kama sababu kuu kwa TANESCO. Umeme hauna tena faida kwetu ni kama tunapewa ofa vile ya umeme. Kigamboni umeme ukwepo kwa siku mbili mfululizo wanaona kama kosa la jinai vile. Nashindwa hata kujua kigamboni na baadhi ya maeneo ya Manispaa ya Temeke dau letu ni dogo au hatustahili kuwa umeme? Operation cost kigamboni zinapanda kwa sababu ya umeme. Vijiofisi vyetu imekuwa taabu kuviendesha.
Nakumbuka miezi ya january na february walikua na operation ya uboreshaji wa miundo mbinu, ilikua kiini macho au ????. Jamani kuweni serious kidogo japo hata tukipata kwa wiki mara tano sio mbaya lakini si kwa style hii. TANESCO amukeni bwana sio kila siku tuimbe nyinyi bwana mna boa. Sijui pande za huko maeneo ya kwako mwana jf kukoje?

Nyie si CCM? Haya kuleni jeuri yenu.
 
Back
Top Bottom