TANESCO, jambo hili ni kweli?

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,197
25,516
Nimesikia kwa kuambiwa kuwa magari yote ya TANESCO ya mikoa ya Pwani na Dar es Salaam (hasa yale ya Emergency) yanajaza mafuta yake katika kituo kimoja cha mafuta. Kituo husika cha kujaza mafuta hayo ni cha TOTAL cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (kona ya kwenda na kutoka Mwenge).

Ndiyo kusema, magari yote ya TANESCO ya Wilaya zote za Dar es Salaam na Pwani yanajaza mafuta yake pale. Kuyaleta magari ya Chalinze, Bagamoyo na Kisarawe kuja kujaza mafuta pale ni ubadhirifu wa fedha. Kwa umbali wake, magari hayo hutumia mafuta mengi wakati wa kuja na kuondoka kujaza mafuta.

Nawauliza TANESCO ,jambo hili lina ukweli wowote? Kama ni kweli, fanyeni hima kurekebisha jambo hili. Kumbukeni kuwa pesa zinazotumika TANESCO ni pesa za umma.Hata kama ni makubaliano, makubaliano yanaweza kufanywa na vituo vya mafuta vya maeneo ya karibu ya Wilaya husika.
 
Sawa kabisa,nashauri magari ya Morogoro na Dodoma

Sent from my Siemens A-35 using JamiiForums mobile app
 
Duh,,iyo itakuwa kali, ,gari itoke kisarawe hadi Dar kujaza mafuta tu,, Ila wanabana matumizi sio mbaya kama kweli,,,Kwa hili wanastahili pongezi kwa moyo wa dhati kabisa
 
Nimesikia kwa kuambiwa kuwa magari yote ya TANESCO ya mikoa ya Pwani na Dar es Salaam (hasa yale ya Emergency) yanajaza mafuta yake katika kituo kimoja cha mafuta. Kituo husika cha kujaza mafuta hayo ni cha TOTAL cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (kona ya kwenda na kutoka Mwenge).

Ndiyo kusema, magari yote ya TANESCO ya Wilaya zote za Dar es Salaam na Pwani yanajaza mafuta yake pale. Kuyaleta magari ya Chalinze, Bagamoyo na Kisarawe kuja kujaza mafuta pale ni ubadhirifu wa fedha. Kwa umbali wake, magari hayo hutumia mafuta mengi wakati wa kuja na kuondoka kujaza mafuta.

Nawauliza TANESCO ,jambo hili lina ukweli wowote? Kama ni kweli, fanyeni hima kurekebisha jambo hili. Kumbukeni kuwa pesa zinazotumika TANESCO ni pesa za umma.Hata kama ni makubaliano, makubaliano yanaweza kufanywa na vituo vya mafuta vya maeneo ya karibu ya Wilaya husika.
ni kweli kabisa hata gari ya huku chalinze uwa wanadai wanaenda dar kujaza mafuta wakati kuna vituo vingi tu vya mafuta morogoro rd
 
Nimesikia kwa kuambiwa kuwa magari yote ya TANESCO ya mikoa ya Pwani na Dar es Salaam (hasa yale ya Emergency) yanajaza mafuta yake katika kituo kimoja cha mafuta. Kituo husika cha kujaza mafuta hayo ni cha TOTAL cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (kona ya kwenda na kutoka Mwenge).

Ndiyo kusema, magari yote ya TANESCO ya Wilaya zote za Dar es Salaam na Pwani yanajaza mafuta yake pale. Kuyaleta magari ya Chalinze, Bagamoyo na Kisarawe kuja kujaza mafuta pale ni ubadhirifu wa fedha. Kwa umbali wake, magari hayo hutumia mafuta mengi wakati wa kuja na kuondoka kujaza mafuta.

Nawauliza TANESCO ,jambo hili lina ukweli wowote? Kama ni kweli, fanyeni hima kurekebisha jambo hili. Kumbukeni kuwa pesa zinazotumika TANESCO ni pesa za umma.Hata kama ni makubaliano, makubaliano yanaweza kufanywa na vituo vya mafuta vya maeneo ya karibu ya Wilaya husika.
Haya ni matumizi sio mabaya tu ila ya ovyo ya pesa za walipa kodi..
TANESCO hili kama lina ukweli tafadhalini sana lazima mlibadilishe tena haraka.
 
we work by reducing cost and increase productivity, point yako imekaa kimajungu mkuu unajua wanachofanya wahandisi wewe?
Unajua ukiwa unaongea kwa woga wa kuitwa mchochezi na kuwafurahisha watu fulani unaishia kujichanganya kama mimi, labda huu ni ushauri wa Profesa wa Bunguruni, who knows!
 
Kama ni kweli, wahusika wachunguzwe na TAKUKURU
Mkuu, hilo mbona dogo, gari nyingi za tanesco na hasa za wenyewe wanaita coastal zone(Dar,Pwani,Moro) zinafanyiwa SERVICE LAL GARAGE iliyoko Tanga. Sasa gari inatoka Dar kwenda kufanyiwa service Tanga, inaingia akilini???

Eksi loyo famile
 
Mkuu, hilo mbona dogo, gari nyingi za tanesco na hasa za wenyewe wanaita coastal zone(Dar,Pwani,Moro) zinafanyiwa SERVICE LAL GARAGE iliyoko Tanga. Sasa gari inatoka Dar kwenda kufanyiwa service Tanga, inaingia akilini???

Eksi loyo famile
Mkuu, usijali. Wahusika wanakusanya data hapa. Zitafanyiwa kazi.
 
Duh,,iyo itakuwa kali, ,gari itoke kisarawe hadi Dar kujaza mafuta tu,, Ila wanabana matumizi sio mbaya kama kweli,,,Kwa hili wanastahili pongezi kwa moyo wa dhati kabisa
Na dereva analipwa night kiroho safi hii nchi ngumu Sana;
 
Unajua mtakuja kua watu kwa njaa na pressure...jamani mnataka kubana kila kona tutakula wapi?

Msidhani wananchi wa kawaida ndo wanaumia!!!; naona watoto wetu wataacha kusoma majuu ili warudi Shule za kata sasa.
 
Mkuu, hilo mbona dogo, gari nyingi za tanesco na hasa za wenyewe wanaita coastal zone(Dar,Pwani,Moro) zinafanyiwa SERVICE LAL GARAGE iliyoko Tanga. Sasa gari inatoka Dar kwenda kufanyiwa service Tanga, inaingia akilini???

Eksi loyo famile
Maajabu yote ya dunia tunayo sisi Tu,
kuna mambo yanatokea hapa tu.
 
Back
Top Bottom