Tanesco itangazwe mufilisi

Ebwana puuuu, hyo ni so common sana na ni rahs kushtukiwa, ninghdpenda kufafanua kwamba hapo ni how to dealwith energy meter fault iliyonayo na sidhan kama hili tanesco wameweka protection yoyote. Bt my doubt ni kwamba inabidi uwe careful ktk kutengeneza hiyo 0 potential kwani unstability in it, might lead to damage of your apliances.
 
Kuna kitu nilikiona mitaa ya Guangzhou China ni kama plag unachomeka kwenye switch socket mojawapo inafanya meter ipunguze speed sana.Ila siku elewa kama technolojia hiyo inaweza fanya kazi hata kwenye LUKU.
 

ok! Kwetu ndo tumefanya hvyo. Luku 3000 umeme mwezi mzima.
Wacha tugawane deni la dowans cjui Al Hadaiwi kesha pata blion zake.
 
Umeme utaflow vipi kwenye vifaa bila kuflow kwenye meter?
 
@Kang, ni kwamba ili mita ifanye kaz ya kucount down the units ni lazma umeme uanze kuflow ktk + then - potentias za hiyo counte baada ya circuit kuwa completed with certain appliance pluged in socket. Sasa kuondokana na hilo thts y nkasema inabidi uwe na neutral yako ya kutengeneza apart from tanescos neutral, then u will only need + supply from them. Inamaanisha kwamba ktk mita kutakuwa na passage ya current only na utakuwa unaishia ktk neutral yako ulotengeneza. So kwa hili nadhan counter haitafanya kaz kwan kutakuwa no complete of ckt on it instead the ckt wil be completed with tanescos' + terminal and neutral u created. Nadhan umenielewa vzur. How do u see that....?
 
huku wengine wakijadili jinsi ya kukabiliana na mafisadi, hawa wanajadili jinsi ya kufisadi!! kaaazi kweli kweli!
 
hebu msiwatie hasira, wakatukomoa.. maana hawana hasira wanakomoa, sikwambii 2kiwananinhhiii!
 
Kuna kitu kinaitwa "Power factor correction unit", hiki ni kifaa kinafungwa kwenye mfumo wa umeme, kazi yake ni kuwezesha umeme halisi unaotumia tu ndo utakaokuwa counted kwenye meter. Mara nyingi tunalipia apparent electricity ambayo ni kubwa kuliko matumizi halisi. Kwa kuwa mimi sio mtalaamu wa umeme, siwezi elezea zaidi, kama wapo wahandisi umeme watuelimishe.
 
Ingawa nawahurumia Tanesco labda fanya hivi.

Fanya collection ya receipt zote za luku ulizonunua. may be through zile number unaweza kupata algorithm inayotumika Ukijua algorthm wanyotumia then unaweza uchakachua huo umeme kwa njia "endeleveu" na green zaidi teh teh teh teh.

By the way tunazijua zile meter kwa jina la ubatizo la "Luku" lakini jina lake halisi ni lipi na zinatengezwa na kampuni gani?
 
hiyo neutral inatengenezwa vp?nadhani kuna umuhimu wa kudadavua.tanesco ni pumbav sana.
 

This method inaweza kugharimu maisha pamoja na vitu vyako vya thamani, usikubali vishoka na mafundi umeme wa mtaani wakuingizie direct nyumbani, utaenjoy free umeme lakini kukiwa na high voltage ile fluctuation ni very costly! Umeme ni hatari...

Kwa matumizi bora ya umeme na kutumia vifaa kwa umeme mdogo niPM
 

230V ina way 3. Live, Neutral na Earth. Live na neutral ndio njia ya umeme kutiririka zikiwa zimeungwa kati ya chombo husika. Earth ni kwa ajili ya USALAMA wa mtumiaji itakapotokea leakage au short circuit..
 

Umesema weli kuna rafiki yangu yeye aliwai kunishawishi ninunue luku za mazabe yyeye kwake sijui alikuwa ana unit 10,000. Ila siku alistukiwa hiyo hela aliyoambiwa kulipa.....

So eng N can you share with us njia yenye risk ndogo kupunguza gharama za umeme?
 
Kwa style uliyoieleza umeme utasomwa kwenye meter na hutakwepa chochote maana hata usipotumia neutral ya TANESCO there will be a flow of current to the load whether its a lamp, ground i.e. earth or anything else.

Kama hakuna flow of current, then no energy consumption...hivyo hakuna umeme utakaotumika...

Jihadhari na vishoka...
 

Pole sana, Luku za mazabe zinagundulika through zero purchase report, kama ulikuwa na wastani wa kununua au kutumia unit kadhaa kisha ikashuka drastically inajionyesha kwenye sales report za LUKU

Njia bora ni kuhakikisha unatumia energy servers kwenye taa, kama una AC nyumbani na feni, viwashe kwa pamoja after 10minutes kutakuwa cool, unazima AC unaendelea na feni

Jiko laumeme tumia sufuria pana na bapa inayojaza pote, friji usiliache tupu likiwa full umeme unatumika kidogo,

Usiload vitu vingi kwenye source moja yaani pasi,simu,tv etc..na mengineyo meengi nimesahau kidogo demand side management ya umeme
 

Unaweza kuzijua hizi meter zinzoitwa za luku jina lake halisi au jina la watengenezaji wake halisi ?
 
ok! Kwetu ndo tumefanya hvyo.
We endelea tuu na huo mchezo wako siku kukiwa na mi fluctuation ya ajabu ajabu kutokana na mauzembe ya kibongo bongo everything in your house, including yourself, will be cooked and that's when you'll wonder (if that will even be possible cuz you'll be a finango) whether it was a good idea saving pennies and losing dollars in the first place.

Hata hivyo kama Tanesco wanatumia BPL system wataweza kujua tuu kama unawaibia kwasababu wataweza kusoma utumiaji wa umeme 'digitally" directly from the office.
 

mkuu je kifaa kinachoitwa cut out unakijua? Kinajua kuwapora umeme si kawaida,ofsi za mjini zinatumia sana hii kitu.
 
mkuu je kifaa kinachoitwa cut out unakijua? Kinajua kuwapora umeme si kawaida,ofsi za mjini zinatumia sana hii kitu.

How? ebunipm shule kidogo,huy RA tugawane kidogo hasara!
 
mkuu je kifaa kinachoitwa cut out unakijua? Kinajua kuwapora umeme si kawaida,ofsi za mjini zinatumia sana hii kitu.

Cut out naifahamu ila wizi wa umeme thru hii pia unagundulika, ofisi nyingi za mjini zimefungiwa AMR hizi ni automatic meter readers, chochote utakachofanya hata kufungua panel msg itajituma kwenye control room..na umeme utakatwa remotely...kesho yake utakuwa visited with a fee note and disconnection notice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…