Loyal_Merchant
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 623
- 267
Ebwana puuuu, hyo ni so common sana na ni rahs kushtukiwa, ninghdpenda kufafanua kwamba hapo ni how to dealwith energy meter fault iliyonayo na sidhan kama hili tanesco wameweka protection yoyote. Bt my doubt ni kwamba inabidi uwe careful ktk kutengeneza hiyo 0 potential kwani unstability in it, might lead to damage of your apliances.
hiyo neutral inatengenezwa vp?nadhani kuna umuhimu wa kudadavua.tanesco ni pumbav sana.@Kang, ni kwamba ili mita ifanye kaz ya kucount down the units ni lazma umeme uanze kuflow ktk + then - potentias za hiyo counte baada ya circuit kuwa completed with certain appliance pluged in socket. Sasa kuondokana na hilo thts y nkasema inabidi uwe na neutral yako ya kutengeneza apart from tanescos neutral, then u will only need + supply from them. Inamaanisha kwamba ktk mita kutakuwa na passage ya current only na utakuwa unaishia ktk neutral yako ulotengeneza. So kwa hili nadhan counter haitafanya kaz kwan kutakuwa no complete of ckt on it instead the ckt wil be completed with tanescos' + terminal and neutral u created. Nadhan umenielewa vzur. How do u see that....?
Uktaka kuchakachua, kama una nyumba unaishi na familia yako tu (sio na wapangaji) halafu unawaamini, fanya hv:
nunua luku meter halafu ingiza umeme lakini tofautisha nyaya mbili moja iwe direct kwenye luku na uweke taa chache na ule mwingine uende drect toka nje kwenda meter ya kawaida ambayo imefichwa na usupply jwa matumizi mengi km frj,jko,pac, hta, etc.
mengi zaidi watafute vshoka watakufanyia.
Kuna ki2 nimefikiria na nadhan inawezekana ikawa ni loophole ya kuwaibia tanesco. Nilikuwa nadhan ktk 3 pin plug ukitumia live (230 v) peke yake na kuachana na neutral yao then with suitable grounding (0 potential), nadhani energy meter yao haitafanya kazi kwa kuwa haitaweza kufanya kazi kwani there will not be flow of electricity ktk meter. Wana umeme mnaonaje hapo.? Hyo co loophole..?
This method inaweza kugharimu maisha pamoja na vitu vyako vya thamani, usikubali vishoka na mafundi umeme wa mtaani wakuingizie direct nyumbani, utaenjoy free umeme lakini kukiwa na high voltage ile fluctuation ni very costly! Umeme ni hatari...
Kwa matumizi bora ya umeme na kutumia vifaa kwa umeme mdogo niPM
Umesema weli kuna rafiki yangu yeye aliwai kunishawishi ninunue luku za mazabe yyeye kwake sijui alikuwa ana unit 10,000. Ila siku alistukiwa hiyo hela aliyoambiwa kulipa.....
So eng N can you share with us njia yenye risk ndogo kupunguza gharama za umeme?
Pole sana, Luku za mazabe zinagundulika through zero purchase report, kama ulikuwa na wastani wa kununua au kutumia unit kadhaa kisha ikashuka drastically inajionyesha kwenye sales report za LUKU
Njia bora ni kuhakikisha unatumia energy servers kwenye taa, kama una AC nyumbani na feni, viwashe kwa pamoja after 10minutes kutakuwa cool, unazima AC unaendelea na feni
Jiko laumeme tumia sufuria pana na bapa inayojaza pote, friji usiliache tupu likiwa full umeme unatumika kidogo,
Usiload vitu vingi kwenye source moja yaani pasi,simu,tv etc..na mengineyo meengi nimesahau kidogo demand side management ya umeme
We endelea tuu na huo mchezo wako siku kukiwa na mi fluctuation ya ajabu ajabu kutokana na mauzembe ya kibongo bongo everything in your house, including yourself, will be cooked and that's when you'll wonder (if that will even be possible cuz you'll be a finango) whether it was a good idea saving pennies and losing dollars in the first place.ok! Kwetu ndo tumefanya hvyo.
Kwa style uliyoieleza umeme utasomwa kwenye meter na hutakwepa chochote maana hata usipotumia neutral ya TANESCO there will be a flow of current to the load whether its a lamp, ground i.e. earth or anything else.
Kama hakuna flow of current, then no energy consumption...hivyo hakuna umeme utakaotumika...
Jihadhari na vishoka...
mkuu je kifaa kinachoitwa cut out unakijua? Kinajua kuwapora umeme si kawaida,ofsi za mjini zinatumia sana hii kitu.
mkuu je kifaa kinachoitwa cut out unakijua? Kinajua kuwapora umeme si kawaida,ofsi za mjini zinatumia sana hii kitu.