Translator
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 286
- 297
Hivi TANESCO wana tofauti gani na mamantilie anayeuza chakula na ana duka la mafusuria?
Ukienda kusema, “Nipe wali samaki,”
Anakwambia, “Nunua sufuria nikupikie”
Unanunua, anapika, anakutengea.
Kisha anasema, “Sahani shilingi 3000.”
Unakula na kulipa tena.
Ukimaliza kula unamwambia, “Nimemaliza nipe sufuria yangu.”
Anakutazama kwa dharau kisha anasema, “Sufuria yako! Umelogwa nini?”
Inaonekana kuna mgando wa hatari wa mawazo kwenye nchi hii.
Hivi watu wooooooote TANESCO hakuna aliye creative hata mmoja?
Je, nchi hii creativity ni katika kubuni njia za kupatiana posho tu?
Na pamoja na kuwa soko loooooote nchini ni lenu lakini bado mnathubutu kulia ukata!
Shame on us!
Ukienda kusema, “Nipe wali samaki,”
Anakwambia, “Nunua sufuria nikupikie”
Unanunua, anapika, anakutengea.
Kisha anasema, “Sahani shilingi 3000.”
Unakula na kulipa tena.
Ukimaliza kula unamwambia, “Nimemaliza nipe sufuria yangu.”
Anakutazama kwa dharau kisha anasema, “Sufuria yako! Umelogwa nini?”
Inaonekana kuna mgando wa hatari wa mawazo kwenye nchi hii.
Hivi watu wooooooote TANESCO hakuna aliye creative hata mmoja?
Je, nchi hii creativity ni katika kubuni njia za kupatiana posho tu?
Na pamoja na kuwa soko loooooote nchini ni lenu lakini bado mnathubutu kulia ukata!
Shame on us!