Tanesco;embu punguzeni rushwa kidogo

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,974
22,166
Nipita katika moja moja ya mahitaji yangu nikakutana na hawa mabwana wanaitwa tanesco pale magomeni;kumejaa uchafu mtupu sidhani kama wana kiongozi anaewaendesha;yaani kuanzia unapoingia;sura zimekaa njoo kwa njoo kwangu;unapokaribia;ndipo unajua amekuja kazini kucheza ama kuangalia miti ya umeme;

unaomba file lako na majuzi umeliona wanatafuta wanakwambia alionekani labda kumbuka aliekutafutia nyie watu mmeaga kuja kazini kweli;
umelipia kuingiziwa umeme nina mwezi wa tatu sasa jamani naenda narudi naenda narudishwa naambiwa uko kwenye list watu walionikuta wameshaingiziwa umeme huu uhaini utaisha lini tanzania jamani;iweke wazi kuna pesa nyingine ya kulipia baada ya pesa ya kawaida watu wapate umeme.....

kyeruuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…