Nimejaribu kucheki kwenye gazeti la jana nimekuta linasomeka hivi kuhusu nafasi ya kazi toka Tanesco
1.0 Open Position: OFFICE MANAGEMENT ASSISTANT/SECRETARY
Ziko nafasi tano.
Academic Qualifications/requirements
. Holder of Form four/form six certificate.
.Diploma in Secretarial or full secretarial certificate
Typing speed 50WPM(Stage III)
Office Practice stage II
Secretarial duties stage II
English stage II
Shorthand/Hati mkato80/100
Experience and Skills you must posses
3-5 years exp.
Tanesco hafai wanapwana kazi
mda mfup nmefanya enterview tanesco shinyanga tulifanya watu 10 wasichana 7 wavulan 3 na walikua wanaitaji ass acounts wa 5 but amin usiamin waliwachua wasichana tu 5