A
Tanapa na Kinapa sasa inamilikiwa na Kizmkazi.Hali si shwari ndani ya Shirika la Hifadhi za Taifa maarufu kama TANAPA, baada ya kubainika kuwepo matumizi mabaya ya mabilioni ya fedha za shirika.
Balaa hilo limegundulika baada ya timu mbili za wakaguzi wa hesabu kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii kufanya ukaguzi kwa maelekezo ya Waziri wa wizara hiyo.
Sehemu kubwa ya fedha hizo zinatajwa kuchepushwa kupitia kampuni tanzu ya TANAPA ijulikanayo kama Tanapa Investment Limited (TIL).
Kuna taarifa za matumizi mabaya ya fedha, ambapo timu ya kwanza ya wakaguzi kutoka wizara ya Utalii ilibaini kiasi cha Sh bilioni 14.
Lakini taarifa za uhakika zinasema Wizara ilituma timu ya pili wiki chache zilizopita, ambapo timu hiyo inatajwa kubaini Sh bilioni 19.
Taarifa zinasema sehemu kubwa ya fedha hizo za umma, zilienda Kampuni ya Tanapa Investment Limited (TIL), kampuni ambayo Mtendaji Mkuu (CEO) wake ni Dkt Matolo, akalazimishwa kukabidhi ofisi siku chache zilizopita, pamoja na taarifa kuwa kulikuwa na mkakati wa kumuongezea muda.
Pia ubadhirifu huo umefanywa chini ya uratibu wa aliyekuwa Kamishna mkuu wa Tanapa, Kunji ambaye naye amelazimishwa kustaafu ghafla baada ya ukaguzi huo wa wizara.
Kunji alipaswa kustaafu tangu Desemba mwaka jana, lakini aliendelea kuwa ofsni kwa nguvu ya baadhi ya vigogo wizarani ambao nao wanatajwa kuwa wanufaika wa mnyororo wa fedha za ubadhirifu kutoka Tanapa.
Hata hivyo, kulazimishwa kustaafu ghafla kwa vigogo hao wawili wa Tanapa, kumeleta mshtuko kwa baadhi ya wafanyakazi wa taasisi hiyo, hususan wa Kurugenzi ya fedha.
Mpaka sasa taarifa za uhakika zinasema kwamba wahasibu wawili wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi.
Wanataka ukaguzi wa milion 300 ambazo hapo ni mwizi mmoja tu anatumia kununua Land Cruiser moja 250 na mambo yanaendelea ukitaka kucheka huko CAG hatoi taarifa anaishia Halmashauri..Kina tlaahtlaah na Lukas mwashambwa wanataka ukaguzi wa fedha CHADEMA!
TANAPA ni kitovu cha rushwa, ubadhirifu na ulaji wa fedha toka wakati wa Mwakilema aliyeondolewa kwa madudu na kuwa Mkuu wa Wilaya huko Tanga.Hali si shwari ndani ya Shirika la Hifadhi za Taifa maarufu kama TANAPA, baada ya kubainika kuwepo matumizi mabaya ya mabilioni ya fedha za shirika.
Balaa hilo limegundulika baada ya timu mbili za wakaguzi wa hesabu kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii kufanya ukaguzi kwa maelekezo ya Waziri wa wizara hiyo.
Sehemu kubwa ya fedha hizo zinatajwa kuchepushwa kupitia kampuni tanzu ya TANAPA ijulikanayo kama Tanapa Investment Limited (TIL).
Kuna taarifa za matumizi mabaya ya fedha, ambapo timu ya kwanza ya wakaguzi kutoka wizara ya Utalii ilibaini kiasi cha Sh bilioni 14.
Lakini taarifa za uhakika zinasema Wizara ilituma timu ya pili wiki chache zilizopita, ambapo timu hiyo inatajwa kubaini Sh bilioni 19.
Taarifa zinasema sehemu kubwa ya fedha hizo za umma, zilienda Kampuni ya Tanapa Investment Limited (TIL), kampuni ambayo Mtendaji Mkuu (CEO) wake ni Dkt Matolo, akalazimishwa kukabidhi ofisi siku chache zilizopita, pamoja na taarifa kuwa kulikuwa na mkakati wa kumuongezea muda.
Pia ubadhirifu huo umefanywa chini ya uratibu wa aliyekuwa Kamishna mkuu wa Tanapa, Kunji ambaye naye amelazimishwa kustaafu ghafla baada ya ukaguzi huo wa wizara.
Kunji alipaswa kustaafu tangu Desemba mwaka jana, lakini aliendelea kuwa ofsni kwa nguvu ya baadhi ya vigogo wizarani ambao nao wanatajwa kuwa wanufaika wa mnyororo wa fedha za ubadhirifu kutoka Tanapa.
Hata hivyo, kulazimishwa kustaafu ghafla kwa vigogo hao wawili wa Tanapa, kumeleta mshtuko kwa baadhi ya wafanyakazi wa taasisi hiyo, hususan wa Kurugenzi ya fedha.
Mpaka sasa taarifa za uhakika zinasema kwamba wahasibu wawili wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi.
Kama tumeweza azima majaji napendekeza tuazime CAG wa Rwanda ama Ghana wakatusaidieTanapa ni sehemu ya upigaji mkubwa huko wakitaka ukaguzi wa wazi wampeleke CAG hapo hizo wanazosema ni ndogo wanachagua watu wa kuwakagua wakati CAG yupo ni kazi yake atoe na taarifa mbona mtakimbia hapo...
Rushwa, ubadhirifu, ufujaji, utapeli TANAPA ni toka kitambo... Kabla hata ya Mwakilema. Sema yule mwamba alichongewa kwa Mkaza mwanae Samia wakigombania gari la kifahari msaada kutoka FZS.TANAPA ni kitovu cha rushwa, ubadhirifu na ulaji wa fedha toka wakati wa Mwakilema aliyeondolewa kwa madudu na kuwa Mkuu wa Wilaya huko Tanga.
Mkuu;Serikali ya ss imejaa mijizi mno. Na mbaya zaidi yakiiba Yana tesa tu mjini kiongozi. Mkuu anasema tuwaseme mpk waone aibu!!
Kazi ni kipimo cha utu
Rushwa TANAPA ni jadi, hata miradi ya World Bank.Rushwa, ubadhirifu, ufujaji, utapeli TANAPA ni toka kitambo... Kabla hata ya Mwakilema. Sema yule mwamba alichongewa kwa Mkaza mwanae Samia wakigombania gari la kifahari msaada kutoka FZS.
Ni hatari...Rushwa TANAPA ni jadi, hata miradi ya World Bank.
Mradi wa uwanja wa ndege Mikumi nasikia mzawa aliyeshinda kazi akatupwa kapuni na akapewa "mchina wao" wa kula naye, ambaye kaboronga kazi kaboronga kazi