Tamu na Chungu katika mahusiano

VINS

JF-Expert Member
May 10, 2014
293
195
Kila mtu anapoingia kwenye mahusiano huwa anatarajia mambo furani(mfano; amani, furaha, upendo, heshima, etc) atayapata kwa mwenzi wake. Mara nyingi hasa siku za mwanzo mwanzo, mambo yanakuwa ya furaha sana.
Kadri siku zinavyosonga tukiwa ndani ya mapenzi, mambo huwa yanaanza kubadilika, na vitu kama hasira, chuki, nk vinaanza kujitokeza. Hapa kwa kifupi mambo yanaanza kuwa mabaya. Ebu tujadili kama wanna JF, nini tufanye mahusiano yawe ni ya shida na raha?



 

Attachments

  • 1400780322721.jpg
    33.2 KB · Views: 400
  • 1400780337938.jpg
    17.8 KB · Views: 354
  • 1400780597554.jpg
    54.5 KB · Views: 336
  • 1400780617007.jpg
    18 KB · Views: 333
tangia nianze mahusiano na huyu mtu hayajawah kuchuja wala kupungua makali hata siku moja utathan tuna wiki kumbe tuna miez kumi tayari, kila siku inakuwa zaidi ya jana. hili huwezekana tu kama wote mpo really.. hamdanganyan, i really enjoy the life
 
tangia nianze mahusiano na huyu mtu hayajawah kuchuja wala kupungua makali hata siku moja utathan tuna wiki kumbe tuna miez kumi tayari, kila siku inakuwa zaidi ya jana. hili huwezekana tu kama wote mpo really.. hamdanganyan, i really enjoy the life


guuuuud
 
mkuuu kikubwa nikijua umuhimu wa mahusiano pia kila mmoja anapokosea akubali lisa haraka na aombe msamaha, pia kila mmoja ajifunze kishusha presha ya mpenzi wake pindi anapo kasirika
 
Nini kifanyike ili mahusiano yawe ni ya shida na raha?

looh mkuu nahisi kuna kitu unataka kusema ila kufafanua umeshindwa ila nitajaribu kuchangia


MAHUSIANO YA RAHA NA SHIDA INABIDI WOTE MUWEKE MEZANI MIOYO YENU KUSIWE NA TOFAUTI KUBWA NA HATA IKITOKEA MNAKUA WILLING KUREKEBISHA NA KUENDELEA

au labda ulikua unaongelea hela

huwezi lazimisha amani kama hamna hela(shida side)
INAEZA FIKIA HATUA HATA KUSIMAMISHA HUSIMAMISHI
UNAWAZA TU PESA
ila pia raha ya material thing ni ya kudumu kwa sharti moja kuu USIFILISIKE
SASA MKUU KUFILISOKA KUPO KUFULIA KUPO LAKINI KUPATA PIA KUPO huwezi force chochote kila kitu hutokea
 
Moyo wa mtu kichaka. Kama umempenda wewe mpende tu,hakuna namna utajua kama naye atakupenda kwa shida na raha.
Ni kwa Neema tu!!!
 
tangia nianze mahusiano na huyu mtu hayajawah kuchuja wala kupungua makali hata siku moja utathan tuna wiki kumbe tuna miez kumi tayari, kila siku inakuwa zaidi ya jana. hili huwezekana tu kama wote mpo really.. hamdanganyan, i really enjoy the life

Ni mapema mno!!
 
Mbona umemalisa ile maneno yote ya kwelyi mamayeyoo kila kitu imesema hii ndito ni kuweli kapisa ngoja nifae surpale nije.Takwenya
 
Mbona umemalisa ile maneno yote ya kwelyi mamayeyoo kila kitu imesema hii ndito ni kuweli kapisa ngoja nifae surpale nije.Takwenya

kwenu kuna ngombe

maana kwa vyovyote vile utaambiwa utoe

MI MASAI BWANA NASEMA MI MASAI TAMADUNI ILIOBAKI YENYE NGUVU AFRICA

r.i.p mr Ebo
 
tangia nianze mahusiano na huyu mtu hayajawah kuchuja wala kupungua makali hata siku moja utathan tuna wiki kumbe tuna miez kumi tayari, kila siku inakuwa zaidi ya jana. hili huwezekana tu kama wote mpo really.. hamdanganyan, i really enjoy the life

Mambo huwa yanaanza kubadilika baada ya miezi 2 hadi miaka 2; subiri itakukuta tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…