Tamthiliya ya "The Promise"

Tamthiliya ya "The Promise"

Nilijua tu lazima ui describe ki unyonge. Wanawake ndio mlivo hua mkiangalia TV mnadhani mtaolewa na mA HB ka wale kumbe wao hawana time.mtu kama salman khan ana miaka 50 kama sio 60 na hajaoa
dah nimecheka jamani! mwaya nimeolewa sura yake kwakeli naiona poa tu sijui ndo mahaba yamenzidia lol.
 
  • Thanks
Reactions: naa
Haha nilikuwa sikosagi aisee,mzee katuzingua sana kisa hii tamthilia
ilikua balaa kwakweli, akati inaanza nlikua boarding afya ikawa mgogoro nikarudishwa day school nilifurahije sasa hahah,maana uhakika wa kuiona kila siku ukawepo lol.
 
Nilijua tu lazima ui describe ki unyonge. Wanawake ndio mlivo hua mkiangalia TV mnadhani mtaolewa na mA HB ka wale kumbe wao hawana time.mtu kama salman khan ana miaka 50 kama sio 60 na hajaoa
acha tu, na kikweli nlistrugle hasa na wenye visura vyao adi nlipokuja kujua am wasting my time bora kukomaa na hawa hawa sura ngunju tu.
 
Hahaha ulifanya uamuzi wa busara sana. Hata kwa sisi wanaume tunakumbana na tabu kwa hivi vidada vyenye sura nzuri, vihuni na vinapenda hela. Itabidi nikitaka kuoa nitafute sura pasonooo!!!
acha tu, na kikweli nlistrugle hasa na wenye visura vyao adi nlipokuja kujua am wasting my time bora kukomaa na hawa hawa sura ngunju tu.
 
ilikua balaa kwakweli, akati inaanza nlikua boarding afya ikawa mgogoro nikarudishwa day school nilifurahije sasa hahah,maana uhakika wa kuiona kila siku ukawepo lol.
Nilikiuwa nampenda sana bea Bianca ,dah Ile love story ilikuwA NZURI sana
 
Nimeitafuta sana nashindwa kuipata,
Wale jamaa wanajua sana
labda ujaribu youtube waweza ipata japo sjawah itafta huko nakumbuka walirudiaga kipande kipindi inakaribia mwisho halaf nikakorokocha tv jibu la baba likawa utulie hakuna tv wallah mama akanambia niende kuna rafiki aje mmoja hivi nikaangalie nije kumhadithia nikaenda nikakuta wamekirudia kipande nilishukuru nikarud nyumban nikamwambia mama ikabidi baba alete fundi tu na usiku wake ikaisha
 
Hahaha ulifanya uamuzi wa busara sana. Hata kwa sisi wanaume tunakumbana na tabu kwa hivi vidada vyenye sura nzuri, vihuni na vinapenda hela. Itabidi nikitaka kuoa nitafute sura pasonooo!!!
hahahh,kila lakheri mkuu Mungu akufanyie wepesi upate wa kufanana nae inshalllah.
 
labda ujaribu youtube waweza ipata japo sjawah itafta huko nakumbuka walirudiaga kipande kipindi inakaribia mwisho halaf nikakorokocha tv jibu la baba likawa utulie hakuna tv wallah mama akanambia niende kuna rafiki aje mmoja hivi nikaangalie nije kumhadithia nikaenda nikakuta wamekirudia kipande nilishukuru nikarud nyumban nikamwambia mama ikabidi baba alete fundi tu na usiku wake ikaisha
lol i wish mama angu angekua supportive kiasi hiko , wangu alikuaga anapeleka tv chumbani kwake,yaani mmekaa mnaangalia sauti ya chini sijui hata anasikiaje mnashangaa anakuja hasemesh mtu anabeba tv anaipeleka chumbani hahahah! kesho yake akiwa kazini mnaenda angalia marudio huko huko chumbani kwake kwenye antena mnachomeka uma mambo burudani kabisa .
 
lol i wish mama angu angekua supportive kiasi hiko , wangu alikuaga anapeleka tv chumbani kwake,yaani mmekaa mnaangalia sauti ya chini sijui hata anasikiaje mnashangaa anakuja hasemesh mtu anabeba tv anaipeleka chumbani hahahah! kesho yake akiwa kazini mnaenda angalia marudio huko huko chumbani kwake kwenye antena mnachomeka uma mambo burudani kabisa .
hahahhaa umenichekesha sana

Me alinambia kabisa nenda uje unihadithie mana tulikua tunaifatilia wawili halaf tulikuwaga na yale madishi ambao s kama ya sasa yale ambayo mnapataga channels kibao kwa kuiba frequency kwa watu basi nilikorokocha hakukua na channel hata moja the long wait nilikua naifatilia mpaka mwisho yan hakuna kulala mpaka uangalie na marudio hivohivo labda niwe shule au madrasa ntayakosa
 
acha tu, na kikweli nlistrugle hasa na wenye visura vyao adi nlipokuja kujua am wasting my time bora kukomaa na hawa hawa sura ngunju tu.
Mtu mwenye SURA YAKE PERSONAL
 
  • Thanks
Reactions: naa
Limoyo langu lilimdondokeaga huyu mwanamama Amore, yaani watu walikua wapo busy na Yna na Angelo mimi nisipomuona yeye usiku unakua wa mauzauza sana.

Madam Claudia nilikua napenda ule ukatili wake ila akianza kumtesa Amore nachukia sana.
 
Afu da ivi unaweza kuchek kwenye CMU ikiwa taari imetafsiriwa
 
*THE PROMISE*

```Kwa Wahenga wenzangu..!```

*_Nazungumzia ile Original...ila ambayo kulikuwa na yule mdada mzuriii wa kifilipino wakuitwa YNA MORATA na Mpenzi wake ANGELO...Na ndugu zao akina ANTY AMORE, MAMA AMORE...Mtu anikumbushe kale katoto kalikokuwa rafiki yake ANGELO wakati huo ANGELO alikuwa ameumia MGUU...!_*

_TELL US ULIKUWA WAPI WAKATI UNAFUATILIA HIYO KITU...?_

*TELL US THE IMAGE YOU HAD IN YOUR MIND WAKATI ULIKUWA UNAANGALIA HIYO TAMTHILIA...!?*

_NAJUA WENGI WENU MLIKUWA BADO MAKINDA MNAWAHI KULALA..._
Kale karafiki lake Angelo kalikuwa kama kashost fln hiv,dah u remind me those day in kigoma
 
Back
Top Bottom