Tamthilia zinamomonyoa ndoa ya mshkaji...

Jamaaa anamfikisha kweli mkewe? Maana kama wanafikishana wote hiyo tamthilia haiwezi kuwa sababu au shida.
Pili Mwambie huyo jamaaa asikariri kula uroda sio mpaka kitandani hata pale pale sebuleni anaweza kumega. mwambie ajaribu style inaitwa jipimie huku mkewe anaangalia tamthilia yeye kampakata. teh teh teh teh Kila mtu anafaidi kitu roho inapenda.

Mwambie achague position moja anaweza kuibatiza jina "tamthilia position "
Rear entry sex positions and lovemaking techniques
na hausi gelo naye utamfukuza? au ndg wengine hapo home wataenda wapi wakati mnakiduana?
 
Ndoa inakutanisha watu wenye tabia tofauti, kama mama anapenda tamthilia jamaa asilaumu sana, mpe mama haki yaki aangaliae, huenda inampa piece of mind kubwa sana asijaribu kumvuruga, acha aendelee tu ila tafuta jinsi ya kumvuta room nunua ka luninga kadogo weka room mwana, anapokuwa anaangalia usilale na kulalama tu kuwa close naye mpe mahaba bin mahubati nakuhakikishia mwenyewe atawahi kuingia room saa mbili sasa badala ya saa tatu
hivi luninga ya chumbani lazima iwe ndogo?
 
Jamaaa anamfikisha kweli mkewe? Maana kama wanafikishana wote hiyo tamthilia haiwezi kuwa sababu au shida.
Pili Mwambie huyo jamaaa asikariri kula uroda sio mpaka kitandani hata pale pale sebuleni anaweza kumega. mwambie ajaribu style inaitwa jipimie huku mkewe anaangalia tamthilia yeye kampakata. teh teh teh teh Kila mtu anafaidi kitu roho inapenda.

Mwambie achague position moja anaweza kuibatiza jina "tamthilia position "
Rear entry sex positions and lovemaking techniques

Sasa hapo lazima mke achague kimoja Tamthilia au Kapumpusha Maana huwezi fanya vyote kwa pamoja na kufika kileleni kwa itakuwa ndoto:becky::becky::becky::becky:
 
Back
Top Bottom