TAMISEMI

 
Kwan kavunja sheria gan kuulizaa?
Kama ulijiskia kutokumjib siungekaa kimyaa!!
 
Jipya ni kuendelea kusubiri hadi itakapotangazwa na mamlaka husika.
 
duh watangaze bana!!! mtaani kunachosha. wapuuzi wachache watakuja kutokwa povu "jiajirini" wanadhani kujiajiri ni rahisi kama kufungua zipu. wamwulize Lutengwe(RC) kukosa ajira kunavoumiza!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…