Tetesi: TAMISEMI yawaomba walimu wanafunzi kujitolea bure kwenye Shule za Kata na itawatunuku vyeti watakaojitolea

Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.[/ Mkuu hiki sio kipaule cha chama, tuache kununua wabunge na madiwani tuajili walimu!!!! Hujui vipaumbele wewe?
 
Mkuu hiki sio kipaumbele changu au cha chama! Tuachekufanya mambo ya muhimu kama kununua wabunge na madiwani was upinzani ilitushinde kwa 100% 2020 na kuua kabisa upinzani tuajili walimu!!!!
 
Uliona ile interview ya nafasi za afya jeshini pale Lugalo watu walivyojaa??
Wewe mwenzetu unatumia kipimo gani kuona hakuna ajira mtaani??
Ngoja suala la kukosa ajira limkute ndugu yako ndiyo utajua kama ukosefu wa ajira upo au laa?
Suala la ukosefu wa ajira Serikali ya CCM inalitambua ndio maana kwenye Ilani yake liko addressed na kwa vitendo tunaona Serikali inavyolishughulikia. Viwanda vimeongezeka, kupeleka umeme hadi vijijini ni sehemu ya kuongoza wigo wa watz kujiajiri kwa kufungua viwanda vidogo huko hata vya kusaga unga n.k. Tatizo lenu kufikiri mmemuachia Lema.
 
kupeleka umeme hadi vijijini ni sehemu ya kuongoza wigo wa watz kujiajiri kwa kufungua viwanda vidogo huko hata vya kusaga unga n.k. Tatizo lenu kufikiri mmemuachia Lema.
Suala nyeti kama hili la ukosefu wa ajira wewe unaingiza siasa, usidhani kila mtu anayetoa maoni tofauti na yako tayari ni mwanasiasa kama ulivyo wewe.

Hivi unajua gharama za kufungua kiwanda cha kusaga unga pekee si chini ya 7+ milioni?? Huo mtaji anatoa wapi??
 
Tunatarajia kununua ndege ya mizigo kwahiyo kufunga mkanda na kujitolea ni muhimu kwa wazareendo
Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.

In God we Trust
 
Ina maana kwa sasa serikali yetu haina pesa?
Kwahiyo wakiondoka kurudi chuoni wanafunzi watabaki na nani?......Mimi ningeshauri serikali kama hawana pesa, waalimu wapo wengi mtaani, itangaze volunteers wakujitolea kwakuwalipa subsistance tu bila ajira ya kudumu na pia iwahidi kuwajili ikipata pesa . Mbona watajitokeza wengi

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Suala nyeti kama hili la ukosefu wa ajira wewe unaingiza siasa, usidhani kila mtu anayetoa maoni tofauti na yako tayari ni mwanasiasa kama ulivyo wewe.

Hivi unajua gharama za kufungua kiwanda cha kusaga unga pekee si chini ya 7+ milioni?? Huo mtaji anatoa wapi??
Inaonekana una akili ndogo sana. Halmashauri zinatoa mikopo kwa watu ambao wakiungana wanapewa hela kutegemeana na andiko la mradi wao. Hio Mil 7 ni pesa ndogo sana. Wewe kama huna ajira toka ndani ingia mtaani jichanganye na wana utapata dili usiangalie kama una degree au vipi...toka kwenye mitandao ya kijamii huku sisi tunaingia kupumzika baada ya majukumu ya kazi.
 
hakuna kitu kizuri kama elimu na sera moja wapo ya kumtawala mtu mnyime elimu ya uhakika ndicho kinacho fanyika sasa
 
Inaonekana una akili ndogo sana. Halmashauri zinatoa mikopo kwa watu ambao wakiungana wanapewa hela kutegemeana na andiko la mradi wao.toka kwenye mitandao ya kijamii huku sisi tunaingia kupumzika baada ya majukumu ya kazi.
Angalau umeongea jambo kwa vijana wenzako.
Kwa umri wangu saivi nakula pension tu labda kama unataka tugawane
 
Mkuu dadavua wenye sup wakiwa vyuon au waliowah kupata sup ??
je kama ni walio wah kupata sup ni kwel kua ukipata sup huwez ajiliwa???


Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan walikuwa wanapata ajira hd walio na sup, mtu ana kimeo lkn jina linatoka kapangiwa kituo. Na hii imewatesa wengi kwsbb baada ya kupata ajira walibweteka wakashindwa kwenda kumalizia vimeo vyao kwhy hawakuwa na vyeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyeti hii imepenyezwa kutoka UDOM. Wanafunzi Wanaosoma education wameambiwa wajitolee kufundisha bila malipo kwa muda wote wa likizo Hii fupi itakayoanza rasmi mwezi March. Wameahidiwa kupewa vyeti na Tamisemi endapo watatekeleza zoezi hilo.

My note:
Serikali inatambua uwepo wa uhaba wa walimu. Kwa nini sasa isiajili wakati jemedari mkuu anatamba kila kukicha kuwa hazina kuna mafungu ya kutosha?

Je, hivyo vyeti vitakuwa na impact gani kwa hao vijana?

Serikali iache ubabaishaji, mtaani kuna walimu waliohitimu mafunzo tangu mwaka 2015. Badala ya ubabaishaji wa Aina hii ni vyema ikawaajili hao Vijana.
Wajitolee bure!wafundishe bila malipo!hakika CCM nchi imewashinda!
Hawa vijana wanataka vipato,waendeshe maisha hao,wana ndoto zao za kutimiza,
Kwanini hili ombi wasipewe mawaziri,kwamba wakiwa bungeni wasipokee malipo yoyote maana wana malipo ya uwaziri!
Kwanini serikali isifute baadhi ya vyeo,na kuungsnisha baadhi ya wilaya?
Eneo LA nchi haliongezeki,kinachoongezeka ni idadi ya watu,kuongeza jimbo hakuna tija kama kuongeza idadi ya vituo vya afya,shule,hospitari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom