mzee wa magumashi
Senior Member
- Oct 10, 2012
- 137
- 44
Kimsingi me nasafer sana kuhusu uhamisho Wa watumishi aliye karbu nao lini majina yatatoka waliokamilisha taratibu.
Mungu anakuonaFanyeni kazi acheni kufikiri upuuzi wa kuhama allah! Tena kama hamtaki acheni ila ahami mtu mwaka huu.
TunafanyajeMimi nipo bunda nataka Dar